Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
We joblessKama uni mwenyewe ni huyu😆, lazima apagawe🤣🤣
View attachment 2894020
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We joblessKama uni mwenyewe ni huyu😆, lazima apagawe🤣🤣
View attachment 2894020
Kama hauna amani move on kipenzi, maisha mafupi hayaYaani mie nipo kwenye mahusiano ya mtu anayekera sana
Akiri za Mwafrica zina waza utegemezi tuTulia panga mipango yako vizuri unaweza kuolewa na mzungu. Mlio shindikana ndo mna kismati cha wazungu. Sijawahi kuona mswahili geti kali kaolewa na mzungu
Nadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu .
Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.
Nimekuja kujua tunda lakati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati ,kupata shida ya vizazi,kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa .
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi ithink nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic .
Unatakiwa kufanyiwa marekebisho ya kiroho na kisaikorojiaNadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu .
Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.
Nimekuja kujua tunda lakati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati ,kupata shida ya vizazi,kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa .
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi ithink nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic .
Nope hapa ndio nimeanza kurekebika kwa kutambua makosaUnatakiwa kufanyiwa marekebisho ya kiroho na kisaikorojia
Tafuta msaada wa kisaikorojia unahitaji kupata taarifa sahihi zitakazo kupa nguvu ya kubadirika na kukupa matumaini. Na pia ukaombeweNope hapa ndio nimeanza kurekebika kwa kutambua makosa
Sina shida yeyoteTafuta msaada wa kisaikorojia unahitaji kupata taarifa sahihi zitakazo kupa nguvu ya kubadirika na kukupa matumaini. Na pia ukaombewe
Acha uoga, njoo unionjeshe na mie.Nadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu .
Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.
Nimekuja kujua tunda lakati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati ,kupata shida ya vizazi,kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa .
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi ithink nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic .
Unique Flower anahitaji pipe ili akae vizuri. Nyege wakati mwingine zinafanya mwanamke awehuke. Nadhani wanaume wameelewaNadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu .
Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.
Nimekuja kujua tunda lakati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati ,kupata shida ya vizazi,kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa .
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi ithink nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic .
Washabutua wangapi so far!!!!
Heh!Unique Flower anahitaji pipe ili akae vizuri. Nyege wakati mwingine zinafanya mwanamke awehuke. Nadhani wanaume wameelewa
Umechelewa nimefunga mkataba na shetani ya uzinifuAcha uoga, njoo unionjeshe na mie.
AkuuEndelea kuliwa TU,hakuna namna
Duuh yaan atubu kisa kwa events ambazo hakueza kuzicontrol 😁😁😁😁Ukiendelea kujielewa hivi muda sio mrefu utafutwa machozi Kwa kumpata !
Huwa nawaambia baadhi ya madem kwamba mume wako ulishampata siku nyingi sana SEMA ndio hivyo ulimkataa kisa Hana kitu kabisa au ulikua na mtu mwenye hela ukamkataa anaetaka kukuoa!!
Tubu kwanza Mungu akusamehe dhambi ya kumkataa aliekupa kabla hajakupa chaguo la pili!!
Hakuna pepo au roho ya mkosi inayomkaa mwanamke zaidi ya genye zake tuu. Wewe endelea kuliwa mpaka akili ijiupdate upyaHeh!
Unazidi kuharibu cv yako.Ulizani mie nimekuja kuliwa kama ugali wa samaki aku tulipeana vya kupeana akaenda