Hili jambo linanigharimu sana

Hili jambo linanigharimu sana

Japo uelewi ukija kuwa muelewa utajuta kukigawa sina stress nanani kakuambia huyu uliyenaye hakutumii kwa faida zake .?? Eh mie nakuambia ukweli kama wewe ni ke jua me anakufaidi ndio maana upo naye kama ni me jua ke anakutumia kwa kiasi fulani hujui lolote kuhusu kuivunja hii amri saivi huenda unaona mie chizi ila ipo siku utajua kuwa mie sio chizi
Ila una make sense, so unamaanisha wote Ke/Me tunapokuwa on ''bed chaos'' tuwe na akili mbili kwamba uthamani upooo au ndo having fun to the fullest without regret later na mtu ujiandae kuwa uthamani upo (ndoa) au just for fun. But utajuaje uthamani upo au unatumiwa zingatia kuna pretending on both parties?
 
Hapo thatha...😂, ila how come mwanaume ufikie hatua hiyo to pretend be woman and mind consumed with that wacky thinking
How comes wewe ni mwanamke halafu unaonea watu wivu na wewe ndio shida yakukosa mume maana uliye naye kakuchoka mbeya mnafiki umeshindwa kustahimili wivu na rohi mbaya kila siku una id mpya ili ukashifu wenzako mind your shit not other people s business huwezi kuwafanya watu waishi utakavyoo tutaishi utakavyo naninakujua unapenda sana kuwalazimisha watu wawe character uipendayo wewe mf. Unaniambie mie mwanaume mara mie mlevi sijui hivi vile faida ipo wapi na hulipwi kila id ya kike wewe yakiume wewe sijui shida nini
 
Ila una make sense, so unamaanisha wote Ke/Me tunapokuwa on ''bed chaos'' tuwe na akili mbili kwamba uthamani upooo au ndo having fun to the fullest without regret later na mtu ujiandae kuwa uthamani upo (ndoa) au just for fun. But utajuaje uthamani upo au unatumiwa zingatia kuna pretending on both parties?
Yes, it's true
 
Back
Top Bottom