Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Tafuta Energy? Unamaanisha Aoe, au Aende kwa Mwamposa? Au una masna ya Energy atoe kafara kwa Mganga?Jaribu kuhama huo mkoa Ila ukitaka kutoboa Kwa haraka tafuta energy ilimradi iwe haina madhara hasi.
Naona ukiendelea kukaa hapo utachelewa kufanikiwa .
Energy itafute ikufanye kukubalika kila unapoenda .
Muda mwingine jitahidi ufungue code maisha sio magumu kiasi hicho
Umesomea course gani?Toka nakuwa na ufahamu nimeona wazazi wangu wakipambana sana, lakini bahati haijawa upande wetu, mama kavunja sana kokoto, baba nae kapambana sana lakini wapi.
Wazazi wangu wamenisomesha kwa shida sana, hadi chuo kikuu ambapo serikali ilinipa mkopo, wazazi walitegemea sana niwe mkombozi wa familia Baada ya masomo. LAKINI imekuwa tofauti Sana.
Toka mwezi wa Saba nimemaliza, nimejaribu kupambana kutafuta kazi ya fani yangu ya ualimu lakini pote napokwenda nakosa, application zaidi ya kumi na sita lakini wapi.
Nimejichanganya mitaani, wakuu Kila kazi napiga lakini malipo ni madogo sana , kazi takutumia nguvu hazina malipo mazuri kabisa. Pesa inaishia nyumbani, na mahitaji ya wadogo wangu, wazazi wamechoka sana na umri wao umeenda Sana
Kwa wiki napata kazi mara mbili tena hapo Kwa kutafuta na hungaika sana, malipo ya saidia fundi huku kwetu ni elfu Saba siku nzima.
Napesa yenyewe haikai, natoa sapoti nyumbani ( maisha yetu ni kama msumari na nyundo ).
Sina mtu, Wala ndugu anaweza nishika mkono au kunipa mtaji , ikifika jioni najikunja nakuwaza sana. Hii kitu inaniuma sana Sana.
Nawaza hivi kwa maisha haya kweli tatoboa, Kweli takuwa na mafanikio. Bahati Mbaya ajira zenyewe ngumu I feel too bad πππ
Nina shahada ya kwanza ya elimu na sayansi yaani bachelor of science with education mkuu. Masomo nayo fundisha ni pamoja na biology na geographyUmesomea course gani?
Nyakati ngumu hazidumu, komaa wakati wako utafika
Okay mkuu, ingekuwa mambo ya ufundi wa mitambo ya hydraulic ungepata chimbo.Nina shahada ya kwanza ya elimu na sayansi yaani bachelor of science with education mkuu. Masomo nayo fundisha ni pamoja na biology na geography
Hivi ulishawahi kuwaza mpira wa kona kuwa katika adhabu ya mpira wa miguu? Sababu ni kwamba unatengeneza mazingira ya kupambana katika lango la gori la adui yako kiasi kwamba nafasi kumshinda kwa kuingiza gori ni rahisi sana. Ndivyo ilivyo kwa taaluma tunazosomea Chuo. Ukisomea Ualimu nafasi ya kutoboa ni finyu sana kama utaendelea kutegemea ualimu. Pambana kwa kutumia maarifa mapana ya Chuo na sio Ualimu!Toka nakuwa na ufahamu nimeona wazazi wangu wakipambana sana, lakini bahati haijawa upande wetu, mama kavunja sana kokoto, baba nae kapambana sana lakini wapi.
Wazazi wangu wamenisomesha kwa shida sana, hadi chuo kikuu ambapo serikali ilinipa mkopo, wazazi walitegemea sana niwe mkombozi wa familia Baada ya masomo. LAKINI imekuwa tofauti Sana.
Toka mwezi wa Saba nimemaliza, nimejaribu kupambana kutafuta kazi ya fani yangu ya ualimu lakini pote napokwenda nakosa, application zaidi ya kumi na sita lakini wapi.
Nimejichanganya mitaani, wakuu Kila kazi napiga lakini malipo ni madogo sana , kazi takutumia nguvu hazina malipo mazuri kabisa. Pesa inaishia nyumbani, na mahitaji ya wadogo wangu, wazazi wamechoka sana na umri wao umeenda Sana
Kwa wiki napata kazi mara mbili tena hapo Kwa kutafuta na hungaika sana, malipo ya saidia fundi huku kwetu ni elfu Saba siku nzima.
Napesa yenyewe haikai, natoa sapoti nyumbani ( maisha yetu ni kama msumari na nyundo ).
Sina mtu, Wala ndugu anaweza nishika mkono au kunipa mtaji , ikifika jioni najikunja nakuwaza sana. Hii kitu inaniuma sana Sana.
Nawaza hivi kwa maisha haya kweli tatoboa, Kweli takuwa na mafanikio. Bahati Mbaya ajira zenyewe ngumu I feel too bad πππ
Acha ubwege unachagua kazi unaona aibu naamka saa 11 alfajiri mpaka saa 3 or 4 asubuhi nishafunga 15 mpaka 18.saa hii nimelala tu nasubiri saa 9 nipigie show mpaka 12,30 nifunge 10 mpaka 15,AIBU HURUMA KUTUMWA NI UKOSEFU WA MAARIFA?Toka nakuwa na ufahamu nimeona wazazi wangu wakipambana sana, lakini bahati haijawa upande wetu, mama kavunja sana kokoto, baba nae kapambana sana lakini wapi.
Wazazi wangu wamenisomesha kwa shida sana, hadi chuo kikuu ambapo serikali ilinipa mkopo, wazazi walitegemea sana niwe mkombozi wa familia Baada ya masomo. LAKINI imekuwa tofauti Sana.
Toka mwezi wa Saba nimemaliza, nimejaribu kupambana kutafuta kazi ya fani yangu ya ualimu lakini pote napokwenda nakosa, application zaidi ya kumi na sita lakini wapi.
Nimejichanganya mitaani, wakuu Kila kazi napiga lakini malipo ni madogo sana , kazi takutumia nguvu hazina malipo mazuri kabisa. Pesa inaishia nyumbani, na mahitaji ya wadogo wangu, wazazi wamechoka sana na umri wao umeenda Sana
Kwa wiki napata kazi mara mbili tena hapo Kwa kutafuta na hungaika sana, malipo ya saidia fundi huku kwetu ni elfu Saba siku nzima.
Napesa yenyewe haikai, natoa sapoti nyumbani ( maisha yetu ni kama msumari na nyundo ).
Sina mtu, Wala ndugu anaweza nishika mkono au kunipa mtaji , ikifika jioni najikunja nakuwaza sana. Hii kitu inaniuma sana Sana.
Nawaza hivi kwa maisha haya kweli tatoboa, Kweli takuwa na mafanikio. Bahati Mbaya ajira zenyewe ngumu I feel too bad πππ
Usikate Tamaaa Mungu mweza yote ipo siko Yako itafikaToka nakuwa na ufahamu nimeona wazazi wangu wakipambana sana, lakini bahati haijawa upande wetu, mama kavunja sana kokoto, baba nae kapambana sana lakini wapi.
Wazazi wangu wamenisomesha kwa shida sana, hadi chuo kikuu ambapo serikali ilinipa mkopo, wazazi walitegemea sana niwe mkombozi wa familia Baada ya masomo. LAKINI imekuwa tofauti Sana.
Toka mwezi wa Saba nimemaliza, nimejaribu kupambana kutafuta kazi ya fani yangu ya ualimu lakini pote napokwenda nakosa, application zaidi ya kumi na sita lakini wapi.
Nimejichanganya mitaani, wakuu Kila kazi napiga lakini malipo ni madogo sana , kazi takutumia nguvu hazina malipo mazuri kabisa. Pesa inaishia nyumbani, na mahitaji ya wadogo wangu, wazazi wamechoka sana na umri wao umeenda Sana
Kwa wiki napata kazi mara mbili tena hapo Kwa kutafuta na hungaika sana, malipo ya saidia fundi huku kwetu ni elfu Saba siku nzima.
Napesa yenyewe haikai, natoa sapoti nyumbani ( maisha yetu ni kama msumari na nyundo ).
Sina mtu, Wala ndugu anaweza nishika mkono au kunipa mtaji , ikifika jioni najikunja nakuwaza sana. Hii kitu inaniuma sana Sana.
Nawaza hivi kwa maisha haya kweli tatoboa, Kweli takuwa na mafanikio. Bahati Mbaya ajira zenyewe ngumu I feel too bad πππ