Hili jambo linanitafuna sana.

Hili jambo linanitafuna sana.

Jaribu kuhama huo mkoa Ila ukitaka kutoboa Kwa haraka tafuta energy ilimradi iwe haina madhara hasi.

Naona ukiendelea kukaa hapo utachelewa kufanikiwa .

Energy itafute ikufanye kukubalika kila unapoenda .

Muda mwingine jitahidi ufungue code maisha sio magumu kiasi hicho
Tafuta Energy? Unamaanisha Aoe, au Aende kwa Mwamposa? Au una masna ya Energy atoe kafara kwa Mganga?
 
Toka nakuwa na ufahamu nimeona wazazi wangu wakipambana sana, lakini bahati haijawa upande wetu, mama kavunja sana kokoto, baba nae kapambana sana lakini wapi.

Wazazi wangu wamenisomesha kwa shida sana, hadi chuo kikuu ambapo serikali ilinipa mkopo, wazazi walitegemea sana niwe mkombozi wa familia Baada ya masomo. LAKINI imekuwa tofauti Sana.

Toka mwezi wa Saba nimemaliza, nimejaribu kupambana kutafuta kazi ya fani yangu ya ualimu lakini pote napokwenda nakosa, application zaidi ya kumi na sita lakini wapi.

Nimejichanganya mitaani, wakuu Kila kazi napiga lakini malipo ni madogo sana , kazi takutumia nguvu hazina malipo mazuri kabisa. Pesa inaishia nyumbani, na mahitaji ya wadogo wangu, wazazi wamechoka sana na umri wao umeenda Sana


Kwa wiki napata kazi mara mbili tena hapo Kwa kutafuta na hungaika sana, malipo ya saidia fundi huku kwetu ni elfu Saba siku nzima.
Napesa yenyewe haikai, natoa sapoti nyumbani ( maisha yetu ni kama msumari na nyundo ).

Sina mtu, Wala ndugu anaweza nishika mkono au kunipa mtaji , ikifika jioni najikunja nakuwaza sana. Hii kitu inaniuma sana Sana.

Nawaza hivi kwa maisha haya kweli tatoboa, Kweli takuwa na mafanikio. Bahati Mbaya ajira zenyewe ngumu I feel too bad 😓😓😓
Umesomea course gani?
 
Kuna mdau MarkHilary kasema kusomea ualimu ni kosa la kwanza, kusoma hiyo kozi na umetoka familia masikini huwa ni changamoto sana kwa kijana wa kiume kutoboa, nakumbuka wazazi walinisihi sana nisome ila niliwajibu ndiyo kumaliza ugomvi niende shule ilihali sio nilichoenda kusoma,

Utajiri na connections ni mindset, uwezo pamoja na watu unaokutana nao na vyote hivyo vinachochewa na mazingira,
Ukisomea ualimu direct unakua umejitoa kwenye hayo mazingira kutokana na nature ya kazi labda wachache wanaobahatika kuchomokea private na wenye akili kubwa sana ya kutoboa kivyaovyao

Pambana na mtaa huku ukisikilizia kazi kama option itakayojileta yenyewe, ikikukuta hujajipata nenda nayo ila ikikukuta umejipata uache iende.
Lakini pia toka kijijini nenda mjini, sisi wa vibatari tukimaliza chuo huwa haturudi nyumbani maana ni kwenda kujizika.
 
Pole sana nikiona kijana wa kiume anahangaika hivi huwa naona huruma kwa sbb ww kijana wa kiume ni kila kitu katika familia..inanifanya nipambane kwa ajili ya kuandaa mustakabali wa maisha ya vijana wangu baadae...maana hali si hali...
Ila endelea kupambana kesho yako ni njema kuliko leo..
 
Toka nakuwa na ufahamu nimeona wazazi wangu wakipambana sana, lakini bahati haijawa upande wetu, mama kavunja sana kokoto, baba nae kapambana sana lakini wapi.

Wazazi wangu wamenisomesha kwa shida sana, hadi chuo kikuu ambapo serikali ilinipa mkopo, wazazi walitegemea sana niwe mkombozi wa familia Baada ya masomo. LAKINI imekuwa tofauti Sana.

Toka mwezi wa Saba nimemaliza, nimejaribu kupambana kutafuta kazi ya fani yangu ya ualimu lakini pote napokwenda nakosa, application zaidi ya kumi na sita lakini wapi.

Nimejichanganya mitaani, wakuu Kila kazi napiga lakini malipo ni madogo sana , kazi takutumia nguvu hazina malipo mazuri kabisa. Pesa inaishia nyumbani, na mahitaji ya wadogo wangu, wazazi wamechoka sana na umri wao umeenda Sana


Kwa wiki napata kazi mara mbili tena hapo Kwa kutafuta na hungaika sana, malipo ya saidia fundi huku kwetu ni elfu Saba siku nzima.
Napesa yenyewe haikai, natoa sapoti nyumbani ( maisha yetu ni kama msumari na nyundo ).

Sina mtu, Wala ndugu anaweza nishika mkono au kunipa mtaji , ikifika jioni najikunja nakuwaza sana. Hii kitu inaniuma sana Sana.

Nawaza hivi kwa maisha haya kweli tatoboa, Kweli takuwa na mafanikio. Bahati Mbaya ajira zenyewe ngumu I feel too bad 😓😓😓
Hivi ulishawahi kuwaza mpira wa kona kuwa katika adhabu ya mpira wa miguu? Sababu ni kwamba unatengeneza mazingira ya kupambana katika lango la gori la adui yako kiasi kwamba nafasi kumshinda kwa kuingiza gori ni rahisi sana. Ndivyo ilivyo kwa taaluma tunazosomea Chuo. Ukisomea Ualimu nafasi ya kutoboa ni finyu sana kama utaendelea kutegemea ualimu. Pambana kwa kutumia maarifa mapana ya Chuo na sio Ualimu!
 
Toka nakuwa na ufahamu nimeona wazazi wangu wakipambana sana, lakini bahati haijawa upande wetu, mama kavunja sana kokoto, baba nae kapambana sana lakini wapi.

Wazazi wangu wamenisomesha kwa shida sana, hadi chuo kikuu ambapo serikali ilinipa mkopo, wazazi walitegemea sana niwe mkombozi wa familia Baada ya masomo. LAKINI imekuwa tofauti Sana.

Toka mwezi wa Saba nimemaliza, nimejaribu kupambana kutafuta kazi ya fani yangu ya ualimu lakini pote napokwenda nakosa, application zaidi ya kumi na sita lakini wapi.

Nimejichanganya mitaani, wakuu Kila kazi napiga lakini malipo ni madogo sana , kazi takutumia nguvu hazina malipo mazuri kabisa. Pesa inaishia nyumbani, na mahitaji ya wadogo wangu, wazazi wamechoka sana na umri wao umeenda Sana


Kwa wiki napata kazi mara mbili tena hapo Kwa kutafuta na hungaika sana, malipo ya saidia fundi huku kwetu ni elfu Saba siku nzima.
Napesa yenyewe haikai, natoa sapoti nyumbani ( maisha yetu ni kama msumari na nyundo ).

Sina mtu, Wala ndugu anaweza nishika mkono au kunipa mtaji , ikifika jioni najikunja nakuwaza sana. Hii kitu inaniuma sana Sana.

Nawaza hivi kwa maisha haya kweli tatoboa, Kweli takuwa na mafanikio. Bahati Mbaya ajira zenyewe ngumu I feel too bad 😓😓😓
Acha ubwege unachagua kazi unaona aibu naamka saa 11 alfajiri mpaka saa 3 or 4 asubuhi nishafunga 15 mpaka 18.saa hii nimelala tu nasubiri saa 9 nipigie show mpaka 12,30 nifunge 10 mpaka 15,AIBU HURUMA KUTUMWA NI UKOSEFU WA MAARIFA?
 
Toka nakuwa na ufahamu nimeona wazazi wangu wakipambana sana, lakini bahati haijawa upande wetu, mama kavunja sana kokoto, baba nae kapambana sana lakini wapi.

Wazazi wangu wamenisomesha kwa shida sana, hadi chuo kikuu ambapo serikali ilinipa mkopo, wazazi walitegemea sana niwe mkombozi wa familia Baada ya masomo. LAKINI imekuwa tofauti Sana.

Toka mwezi wa Saba nimemaliza, nimejaribu kupambana kutafuta kazi ya fani yangu ya ualimu lakini pote napokwenda nakosa, application zaidi ya kumi na sita lakini wapi.

Nimejichanganya mitaani, wakuu Kila kazi napiga lakini malipo ni madogo sana , kazi takutumia nguvu hazina malipo mazuri kabisa. Pesa inaishia nyumbani, na mahitaji ya wadogo wangu, wazazi wamechoka sana na umri wao umeenda Sana


Kwa wiki napata kazi mara mbili tena hapo Kwa kutafuta na hungaika sana, malipo ya saidia fundi huku kwetu ni elfu Saba siku nzima.
Napesa yenyewe haikai, natoa sapoti nyumbani ( maisha yetu ni kama msumari na nyundo ).

Sina mtu, Wala ndugu anaweza nishika mkono au kunipa mtaji , ikifika jioni najikunja nakuwaza sana. Hii kitu inaniuma sana Sana.

Nawaza hivi kwa maisha haya kweli tatoboa, Kweli takuwa na mafanikio. Bahati Mbaya ajira zenyewe ngumu I feel too bad 😓😓😓
Usikate Tamaaa Mungu mweza yote ipo siko Yako itafika
 
Pole sana mdogo wangu lakini nakushauri usikate tamaa endelea kupambana ipo siku milango ya riziki itafunguka Wala usijali. Kwa Mungu hakuna kuwahi Wala kuchelewa
 
Back
Top Bottom