Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Mafisadi Nchi nzima Yalifurahi sana. Yalifanya sherehe na kushukuru. Hapa nikafunguka macho. Huyu mtu kwa nini alichukiwa na Mafisadi? Hili lilinishtua sana.
Nikaanza kujiuliza upya ni wapi nlikosea. Ndiyo....ni wapi nlikosea maana mimi mara ya kwanza sikuwa nakubaliana na mambo kadhaa ya Magufuli. Lakini hapa katika hili Check Engine taa ikawaka. Nikagundua kuna namna.
Sasa ndo naelewa. Naona jinsi ambavyo watu wamekuwa vigeu geu. Hali ya maisha imekuwa ngumu. Panya road wamechukua nchi, ajali kila kukicha, watu wanauana na kujiua kutokana na ugumu wa maisha.
Ambao HAWALALAMIKI NI WALE WANAOLAMBA ASALI TU. HIKI NI KIPINDI AMBACHO VIONGOZI WENGI WAMETULIA. SI KWA WOGA. LA HASHA. KWA KUWA WANALAMBA ASALI.
wananchi wao wanalamba Shubiri...itawasaidia wapone. Tunakoenda hali itakuwa mbaya zaidi. Magufuli hakuwa Malaika... Ila alisaidia nchi ikawa inaeleweka. Sasa inakwenda mzoba mzoba. Inchi imefunguliwa kwa mikopo isiyo na Tija.
Tozo zimekuwa kama zote na ufanisi hakuna. Hata Saa mbovu mara mbili kwa siku inasema ukweli. Job Nduga mmoja ya Spika wa hovyo kupata kutokea Nchini. Alisema ukweli.
Nikaanza kujiuliza upya ni wapi nlikosea. Ndiyo....ni wapi nlikosea maana mimi mara ya kwanza sikuwa nakubaliana na mambo kadhaa ya Magufuli. Lakini hapa katika hili Check Engine taa ikawaka. Nikagundua kuna namna.
Sasa ndo naelewa. Naona jinsi ambavyo watu wamekuwa vigeu geu. Hali ya maisha imekuwa ngumu. Panya road wamechukua nchi, ajali kila kukicha, watu wanauana na kujiua kutokana na ugumu wa maisha.
Ambao HAWALALAMIKI NI WALE WANAOLAMBA ASALI TU. HIKI NI KIPINDI AMBACHO VIONGOZI WENGI WAMETULIA. SI KWA WOGA. LA HASHA. KWA KUWA WANALAMBA ASALI.
wananchi wao wanalamba Shubiri...itawasaidia wapone. Tunakoenda hali itakuwa mbaya zaidi. Magufuli hakuwa Malaika... Ila alisaidia nchi ikawa inaeleweka. Sasa inakwenda mzoba mzoba. Inchi imefunguliwa kwa mikopo isiyo na Tija.
Tozo zimekuwa kama zote na ufanisi hakuna. Hata Saa mbovu mara mbili kwa siku inasema ukweli. Job Nduga mmoja ya Spika wa hovyo kupata kutokea Nchini. Alisema ukweli.