Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Habari za mchana wandugu,
Nyumbani kwangu kumeota mmea flani hivi. Kuna mshikaji alikuja home kunisabahai akaniambia linaitwa Kongwa huko Zanzibar. Akasema huko kwao Tanga linaitwa msharifu. Anadai kuwa huu mmea unatumika kuua nguvu za uchawi na waganga wengi sana.
Sikutaka kumuliza maswali huyu jamaa kwa sababu ni dereva nimempatia bodaboda. Binafsi sikutaka kuweka mazoea ya karibu kupitiliza. Ila nimebakiwa na maswali kichwani na najua huku jamiiforums hakukosi wajuzi.
Je, una idea na hiii kitu? Je, kama kweli linatumika kuua uchawi napenda kujua limatumikaje.
Nyumbani kwangu kumeota mmea flani hivi. Kuna mshikaji alikuja home kunisabahai akaniambia linaitwa Kongwa huko Zanzibar. Akasema huko kwao Tanga linaitwa msharifu. Anadai kuwa huu mmea unatumika kuua nguvu za uchawi na waganga wengi sana.
Sikutaka kumuliza maswali huyu jamaa kwa sababu ni dereva nimempatia bodaboda. Binafsi sikutaka kuweka mazoea ya karibu kupitiliza. Ila nimebakiwa na maswali kichwani na najua huku jamiiforums hakukosi wajuzi.
Je, una idea na hiii kitu? Je, kama kweli linatumika kuua uchawi napenda kujua limatumikaje.