Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
- Thread starter
- #41
Nimesahau kumaliziaKubangua mkorosho kwa maana ipi Chief? Kama ni magome, akishayabangua anatafuna ama kuchemsha?
Unabangua then unayachemsha kama chai na maji. Kisha unayaacha yapoe. Unayaweka kwenye chupa kama ya uhai hivi. Unakuwa unasukutua mara kwa mara. Huwezi amini zile magome ninayo zaid ya ten years. Kwanza nishayatumia mara nne hivi. .