πππ Sasa ivi nimekuwa Nyhabhing mkuuKula mjani mkuu !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππ Sasa ivi nimekuwa Nyhabhing mkuuKula mjani mkuu !!
Hapana sikumdharau ila inaweza akawa na yeye aliambiwa na mtu. Hata mimi naweza mwanbia mtu huu ni dawa ila uthibitisho sina. .Kwa hiyo ulipata MTU ambaye angekueleza kwa undani ukampoteza ukitegemea Wana JF?kwa Nini ulimdharau aliyekuwa anakuelezea hiyo taarifa
Aisee hii nomaMti shamba ili uwe dawa, lazima ujue namna ya kkutumia.
Huko Nachingwea, barabara ya kwenda magereza, zamani kulikua mikorosho, kuna siku mwendesha baiskeli, akapishana na Dada askari magereza, ambae alijaaliwa kuwa na makalio makubwa yenye uwiano na mwili wake.
Mwendesha baiskeli alivyopishana nae kamkatia shingo, huku anamwendo wa baiskeli, ikampata ajari ya kujigonga mkoroshini, na kufariki pale pale. Ule mkorosho kufikia kesho yake, magome ya chini yalibanduliwa yote, Sijui walienda kutengeneza dawa ya nini.
Mkuu hiyo ni mali,nimekuwa nikiutafuta sana kwa ajili ya jambo fulani,pia hata jani moja sikosi millioni 2Umughaka wa Maya upo? Niko manzese
Hebu tufafanulie faida zake kwanza na wengine tujue...
Mkuu unakaa kabisa na dhahabu halafu unabaki kushangaa shangaaUmughaka wa Maya upo? Niko manzese
Hebu tufafanulie faida zake kwanza na wengine tujue...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] duuuh mjan umestawi huooMjani ni mmoja tu duaniani wa kufukuza wachawi [emoji23][emoji23][emoji23] jaribu hii mkuu !!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] duuuh mjan umestawi huoo
[/QUOTEmali safi mkuuππ
Dr. Mariposa ni dr. Wa mitishamba?
Dr. Mariposa ni dr. Wa mitishamba?
kwa sababu yeye ndo wa kwanza kunijib huu sio msharifuHuo sio Msharifu
Hahah jamaa unalima ngeba?bila shaka hapo ni chugga π πMjani ni mmoja tu duaniani wa kufukuza wachawi πππ jaribu hii mkuu !!
Hapana Arusha mjani hauwezi kung'aa hivyo πππHahah jamaa unalima ngeba?bila shaka hapo ni chugga π π
Basi moro hapoππHapana Arusha mjani hauwezi kung'aa hivyo πππ
Aisee hii noma
Ila kuna kipindi nilikuw naumwa sana meno. Jamaa mmoja akanamboa njoo asubuhi uchukue dawa. Asubuhi nilivyofika akachukua panga na kubangua mkorosho huku akitazama jua linapotoka. Kweli sijawahi vunja meno..
Kilichonishangaza lazima ubangue asubuhi na lazima uelekeo.uwe wa jua linapochomozea. .