Kuzimu ndio wapi?umewahi kufika?Jamani Dar es salaam ni noma, nimeona clip kuna club za usiku watu wanacheza uchi wa mnyama na wengine wanaenda mbali zaidi wanavunja mri ya sita hadharani. Mungu atunusuru na kuzimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuzimu ndio wapi?umewahi kufika?Jamani Dar es salaam ni noma, nimeona clip kuna club za usiku watu wanacheza uchi wa mnyama na wengine wanaenda mbali zaidi wanavunja mri ya sita hadharani. Mungu atunusuru na kuzimu.
Huko nlifikaga aise si mchezoDaslm ni kama Copa Cabana kitambo sana...
Wadada mabinti wengi sahv marinda hawanaBar za vichochoroni na mitaani wapo stejini wanakalia chupa ya serengeti kubwa mpaka inapotea eti ni burudani kwa wanywaji.
[emoji1]Hili jiji hata FIRAUNI angekuwa anaishi hapa lingemshinda. Maana kinachoendelea watu wanamfundisha shetani nini cha kufanya na sio yeye shetani awafundishe watu nini cha kufanya. Wanayoyafanya binadamu katika jiji hili hata shetani hajawahi kuyafanya!!
Ajipigepige avuke mpaka aingie na Nairobi hapo kawaida tu.Wadada mabinti wengi sahv marinda hawana
Ova
Hebu weka kwanza Kavideo tuoneInawezekana kuna ukweli lakini bila Picha au Video itakuwa ngumu kuamini.
Hii idea ni nzuri kwa wanawake vichwa majiHuko club mpeleke mke wako
Atakayoyaona huko atakutii mpaka umauti.
Leta ushahidiJamani Dar es salaam ni noma, nimeona clip kuna club za usiku watu wanacheza uchi wa mnyama na wengine wanaenda mbali zaidi wanavunja mri ya sita hadharani. Mungu atunusuru na kuzimu.
Acha tu yaani full laana ile ile, wahuni wapo. Hawapoi hawaboi 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🚬🚬🚬🏃🏾♂️🏃🏾♂️🏃🏾♂️[emoji1]
Na ikipigwa singeli amapiano misomisondo chupa lazima zikaliwe
Wanaingiza hadi mtaroni
Ova
Kwanini unefikiri hivi mkuu, ni kipi kitafanya akutii? [emoji849]Huko club mpeleke mke wako
Atakayoyaona huko atakutii mpaka umauti.
We jamaa umenifanya nicheke aisee. Umewaza nini mpaka kuandika hiviShetani kamshika mungu pabaya hapumui
iko wapi iyo clip?Jamani Dar es salaam ni noma, nimeona clip kuna club za usiku watu wanacheza uchi wa mnyama na wengine wanaenda mbali zaidi wanavunja mri ya sita hadharani. Mungu atunusuru na kuzimu.
Shetani mwenyewe anashangaa [emoji3][emoji3][emoji3]Sishangai hata kidogo kama tu mchana kweupe wanawake wanacheza hadi kubaki tupu,sembuse kwenye kuta za club. Shetan mwenyewe alipo anashangaa jinsi mambo yanavyoenda