Hili jiji ni balaa

Hili jiji ni balaa

Mbona kawaida hiyo

Hayo ndiyo maendeleo

Kizazi kipya hicho cha burdan

Ajira nje nje

Ova
 
Hili jiji hata FIRAUNI angekuwa anaishi hapa lingemshinda. Maana kinachoendelea watu wanamfundisha shetani nini cha kufanya na sio yeye shetani awafundishe watu nini cha kufanya. Wanayoyafanya binadamu katika jiji hili hata shetani hajawahi kuyafanya!!
[emoji1]

Na ikipigwa singeli amapiano misomisondo chupa lazima zikaliwe
Wanaingiza hadi mtaroni

Ova
 
Inawezekana kuna ukweli lakini bila Picha au Video itakuwa ngumu kuamini.
Hebu weka kwanza Kavideo tuone
20231222_133145.jpg
 
[emoji1]

Na ikipigwa singeli amapiano misomisondo chupa lazima zikaliwe
Wanaingiza hadi mtaroni

Ova
Acha tu yaani full laana ile ile, wahuni wapo. Hawapoi hawaboi 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🚬🚬🚬🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️
 
Sio Dar tu hata Dodoma mitaa ya NBC vuka barabara uwe kama unaitafuta Taratara nyuma ya tango bar ile bararara yoote watu wananyanduana live bila hata kujibanza ukutani, wala vpn haitumiki ni macho yako na nguvu yako ya miguu kusimama mda mrefu kushuhudia mtanange
 
Back
Top Bottom