Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Mimi siku zote nimekuwa nikifahamu "mwamba" ni mtu jasiri, mwenye kuweza kupambana katika hali ngumu sana na mambo ya kutisha au kugofya, sasa huwa nashangaa hata watu midebwedo kabisa wanaitwa au wanaitana mwamba.
Yani yule mtu ambaye hata akisikia mbwa koko anabweka ghafla anaweza kuanguka kwa presha au kutimua mbio unakutwa anaitwa mwamba!
Yani yule mtu ambaye hata akisikia mbwa koko anabweka ghafla anaweza kuanguka kwa presha au kutimua mbio unakutwa anaitwa mwamba!