Hili jina limenishinda kutamka

Hili jina limenishinda kutamka

Umesahau mchamba wima
Na haya majina mwembe Zenji ndio hatari[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
1. Mwembe beni
2. Mwembe mimba
3. Mwembe tayari
4. Mwembe hatari
5. Mwembe ladu
6. Mwembe mchomeke
7. Mwembe makumbi
8. Mwembe madema
9. Mwembe ki.papuchi
10. Mwembe togwa
11. Mwembe mdogo
12. Mwembe shauri
13. Mwembe dezo
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huko Tarime kuna sehemu inaitwa TombaNyasoko.

Miaka ya nyuma niliwaki kukutana na mjeda mmoja Lugalo alikuwa anaitwa Mkundukuwaka halafu tena miaka hiyohyo nikakutana na bwana mmoja nafikiri alikuwa anafanya kazi wizara ya maji nae aliitwa Tombaneni mwenyeji wa Songea?
 
Hebu niambie ukienda kusoma hilo jiji na chuo afu ukarudi maskani, hata maza anakuulizia mwanangu Japan mlitembelea mjini gani ama huko Japan ulisomea chuo gani ivi.
Usimame bungeni ukisema kuwa vijana wetu kadhaa wa kitanzania wamefanikisha scholarship yao to Kumamoto university
Ni Jiji, na wana mpaka Chuo Kikuu kinaitwa Kumamoto University!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtombaji-moro
Kiboje-zanzibar
Senge-Singida, miaka ya 90 wakati Alhaj Ali Hassan Mwinyi akiwa rais aliwahi kwenda na kuhutubia mkutano, akaanza na kusema wananchi wasenge oyeee[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
😂😂😂
 
Back
Top Bottom