Hili jina limenishinda kutamka

Hili jina limenishinda kutamka

.
Screenshot_20191218_082326.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Senge-Singida
Hilo ni jina la Mtemi maarufu wa Wanyaturu huko Singida akiitwa Mtemi Senge.

Mtemi Senge alikuwa maarufu sana hususan kwa uwindaji na kuwajuwa wanyama. Tunahadithiwa kuwa watu waliamini anaweza kusikia lugha za wanyama jinsi alivyowafahamu. Hadithi zingine zinasema simba wa porini, sio wa kufuga, wakimuona wanakuwa kama mbwa kwa boss wao, wanaufyata.
 
Back
Top Bottom