Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
Dah maeneo ya msasani kuna kituo kinaitwa Kilima Nyege.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii rombo hii. Daah haya banaKiboro
we kweli ni new member unadanganya hadharani? Tarime tarafa gani hiyo sehemu inapatikana. ongopa nikuumbue haraka.huko Tarime kuna sehemu inaitwa TombaNyasoko.
Sio Musoma, ni MaguNyamshimo..........musoma
Mkuu, hii kali. naona kama umenogesha tu, sidhani kama lipoKati ya lindi na ikwiriri kuna sehemu maarufu panaitwa mkundusimali.
Rombo?![emoji21]tamka neno rombo kwa haraka mara tatu mfululizo.Hii rombo hii. Daah haya bana
Aaaa kiongozi,Tandale hapo kuna mtaa unaitwa "Mkunduge".Kuna watu wana majina magumu ila kuna sehemu pia kuna majina ni magumu aiseee, last weeek nilikua Tabora, kuna Wilaya moja kuna sehemu inaitwa "Shamba la Nyege", sasa mimi ndio nilikua Facilitator, wakati wanajitambulisha si ndio Mshiriki mmoja akasema anatoka Shamba la Nyege?? Duh nilichoka aiseeeee, mwezi uliopita nikafika Bukoba pia sehemu inaitwa Katerero, aaagh nikachoka, sidhani kama kuna sehemu nyingine zenye majina magumu zaidi ya haya.
Sasa hiyo Kiboje itamke "Kiboo je"Mtombaji-moro
Kiboje-zanzibar
Senge-Singida, miaka ya 90 wakati Alhaj Ali Hassan Mwinyi akiwa rais aliwahi kwenda na kuhutubia mkutano, akaanza na kusema wananchi wasenge oyeee[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]