Hili kosa linafaa kumuacha kabisa huyu binti?

Kuna maamuz nmeamua niyafanye ambayo atajutia na hatorudia tena
 
Wait!!! Kwani ulipanga kumpa ngapi akiwa anaondoka? Au ulijiandaa na "thank you baby it was fantastic and enjoyable"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] badala ya kutoa Hela anageuka mchambuzi wa game waliyopiga
 
Toa pesa mkuu
 
Imagine dada mzuri rangi kama anaoga maziwa kumbe anapekua mifuko ya boyfriend [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani mimi siyo malaika kabisa ila kusema uongo, kuiba na kusaliti, kusingizia ni dhambi maziogopa mno maishani mwangu. Yaani siwezi. Sometimes tabia zako mbaya ndo zinakudecorate aisee.
 
Hata kama mmezoeana kihvyo syo tiket ya kukuibia yaan hapo kapekua na kakuibia kabisa, mm nimezoeana na mme wangu lakin hata kama nna shida gan huwa sichukui pesa yake bila idhini, hata kwenye wallet yake sipekui, aisee kafanya umafua kabisa huyo
 
Naweza piga niue. Hiki kiburi kimepitiliza. Yaan hapo maana yake ni kwamba hela amechukua na huna utakachomfanya.

Binafsi nikamwomba partner wangu some amount na akanijibu hana naheshimu. Hata nikamkuta ana million 10 sitahangaika. Nitaamini hizo fedha tayari ziko ktk bajet hivyo niwe mvumilivu until next time. Kufikia stage ya kuchukua fedha ya mwenzio kibabe hivyo hapo hakuna mapenzi. Yaan mwanamke anayekupenda atakuhurumia sana hasa juu ya kipato chako hata uwe bilionea.
 
Kama unataka kuoa huyo sio mke sahihi hata Kama ni kisura huyo inavyoonesha Kwanza hajakupenda ila unajipendekeza kwake,,, huyo ananifaa mim , awe anakutana na book mbili jero, harafu dagaa kwa kwenda mbele ,,, kiufupi sio mke sahihi bila kupepesa macho
 
Well done mwana,, daa unamdogo wako nije oe?
 
Si bora huyo kakupiga peksheni na kuchukua mpunga akatambaa na kukutumia text kwamba ameshajipa per diem yake!!! Hakutaka mambo yawe mengi.
 
Mkuu nitumie namba nimuombe arudishe japo laki, asifanye hivyo mkuu. Aisee yoteee kapita nayo, duuuh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…