Kuna maamuz nmeamua niyafanye ambayo atajutia na hatorudia tenaMkuu kuwa mwanaume acha kuwa mvulana . Yaani mimi wife akiwa tu na shida ata ya 5000 nikimwambia toa kwenye wallet hawez fungua wallet ataniletea nitoe mwenyewe nimpe sio afungue wallet yangu. Mwanamke unavyoishi nae ndivyo atakavyo kupelekesha. Wana testigi vitu waone teaction .
Kwa mfano apo kachujua laki 2 kwenye suruali bila ridhaa yako ebu niambie utachukua hatua gani kama mwanamme?
Maamuzi yapi ayo ndo utuambie maana ata ukisema sisi hatukujui wala uyo mtu wako hatumjuiKuna maamuz nmeamua niyafanye ambayo atajutia na hatorudia tena
Weeee tuliaMkuu..ndomana nauliza..hvi kosa kama hil...yaan kaniacha siwez nunua hata vocha hapa.....had nipige simu ..na si utaratib wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] badala ya kutoa Hela anageuka mchambuzi wa game waliyopigaWait!!! Kwani ulipanga kumpa ngapi akiwa anaondoka? Au ulijiandaa na "thank you baby it was fantastic and enjoyable"
Na dawa ya wachambuzi ni hivo tu kuwasachi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] badala ya kutoa Hela anageuka mchambuzi wa game waliyopiga
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyo endelea nae anakufaa sana kwa maisha ya mme na mke kwani ukimzingua nae anakuzingua-ukimyima pesa anajichotea.
Toa pesa mkuuWakuu siku mbili tatu hizi kuna majukumu makubwa nimefanya sasa kwa asilimia kubwa nimekwangua mfuko wangu na akiba karibu asilimia 80.
Sasa nikabaki na kapesa kadogo kakusukuma siku mbili tatu.
Sasa kuna bint huyu shemej yenu kaja hapa kwangu tokea siku ya sabasaba kaondoka leo mda si mref...huyu bint yan sijui..akil yake huwa ni nin..huyu bint aliniomba kias flan cha pesa nkamwambia sina kwasasa nmetumia hela nying mda si mref.
Huyu binti toka hiyo siku anaongea vimaneno maneno vya kukera tokea hyo j5 had jana nkamwambia wee ndugu yangu una tatzo gan...akanijib wee kama huna hela mbona tunakula makuku na kunywa kila siku hapa...nkamwambia hvyo unavyokula umeona nimetoka nje kwenda kununua?au unakula vilivyohifadhiwa kwenye jokofu ..unapika na kula...bas toka hyo siku ya j5 anakunja mdomo tu..sasa.
Ndan kwenye surual nilikua kama na lak2 hiv..ya kusukuma gurudum ....sasa sjui kanipekua..yaan huwez amin...binti kachkua hyo hela yoote...hapa nmebak na korodani zangu tuu.
Ila nna hasira had natetemeka..halaf katuma msg..ndio nimechkua hela..
Well...kiukwel mim mtu kuchkua hela bila ridhaa sipend....yaan dah..well..hyo hela sio ishu.magoli yangu yananipa tu hata kesho asubuh...ila sasa unachkuaje hela namna hyo?
Inamana tumezoeana sana ama?
Hiv kosa kama hili si la kumuacha kabisa binti huyu au ni hasira tu wakuu..hahahah
Uzi tayar...
Hakuna mwanamke hapo mkuu, ni walewale tu sema ulichelewa kung'amua.Nilimwambia ntampa hyo hela j5..sio leo..na si mwanamke wa kumlipa..ni demu wangu..aliomba 150k..
Yaani mimi siyo malaika kabisa ila kusema uongo, kuiba na kusaliti, kusingizia ni dhambi maziogopa mno maishani mwangu. Yaani siwezi. Sometimes tabia zako mbaya ndo zinakudecorate aisee.Imagine dada mzuri rangi kama anaoga maziwa kumbe anapekua mifuko ya boyfriend [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata kama mmezoeana kihvyo syo tiket ya kukuibia yaan hapo kapekua na kakuibia kabisa, mm nimezoeana na mme wangu lakin hata kama nna shida gan huwa sichukui pesa yake bila idhini, hata kwenye wallet yake sipekui, aisee kafanya umafua kabisa huyoWakuu siku mbili tatu hizi kuna majukumu makubwa nimefanya sasa kwa asilimia kubwa nimekwangua mfuko wangu na akiba karibu asilimia 80.
Sasa nikabaki na kapesa kadogo kakusukuma siku mbili tatu.
Sasa kuna bint huyu shemej yenu kaja hapa kwangu tokea siku ya sabasaba kaondoka leo mda si mref...huyu bint yan sijui..akil yake huwa ni nin..huyu bint aliniomba kias flan cha pesa nkamwambia sina kwasasa nmetumia hela nying mda si mref.
Huyu binti toka hiyo siku anaongea vimaneno maneno vya kukera tokea hyo j5 had jana nkamwambia wee ndugu yangu una tatzo gan...akanijib wee kama huna hela mbona tunakula makuku na kunywa kila siku hapa...nkamwambia hvyo unavyokula umeona nimetoka nje kwenda kununua?au unakula vilivyohifadhiwa kwenye jokofu ..unapika na kula...bas toka hyo siku ya j5 anakunja mdomo tu..sasa.
Ndan kwenye surual nilikua kama na lak2 hiv..ya kusukuma gurudum ....sasa sjui kanipekua..yaan huwez amin...binti kachkua hyo hela yoote...hapa nmebak na korodani zangu tuu.
Ila nna hasira had natetemeka..halaf katuma msg..ndio nimechkua hela..
Well...kiukwel mim mtu kuchkua hela bila ridhaa sipend....yaan dah..well..hyo hela sio ishu.magoli yangu yananipa tu hata kesho asubuh...ila sasa unachkuaje hela namna hyo?
Inamana tumezoeana sana ama?
Hiv kosa kama hili si la kumuacha kabisa binti huyu au ni hasira tu wakuu..hahahah
Uzi tayar...
Naweza piga niue. Hiki kiburi kimepitiliza. Yaan hapo maana yake ni kwamba hela amechukua na huna utakachomfanya.Mkuu kuwa mwanaume acha kuwa mvulana . Yaani mimi wife akiwa tu na shida ata ya 5000 nikimwambia toa kwenye wallet hawez fungua wallet ataniletea nitoe mwenyewe nimpe sio afungue wallet yangu. Mwanamke unavyoishi nae ndivyo atakavyo kupelekesha. Wana testigi vitu waone reaction .
Kwa mfano apo kachukua laki 2 kwenye suruali bila ridhaa yako ebu niambie utachukua hatua gani kama mwanamme?
Kama unataka kuoa huyo sio mke sahihi hata Kama ni kisura huyo inavyoonesha Kwanza hajakupenda ila unajipendekeza kwake,,, huyo ananifaa mim , awe anakutana na book mbili jero, harafu dagaa kwa kwenda mbele ,,, kiufupi sio mke sahihi bila kupepesa machoWakuu siku mbili tatu hizi kuna majukumu makubwa nimefanya sasa kwa asilimia kubwa nimekwangua mfuko wangu na akiba karibu asilimia 80.
Sasa nikabaki na kapesa kadogo kakusukuma siku mbili tatu.
Sasa kuna bint huyu shemej yenu kaja hapa kwangu tokea siku ya sabasaba kaondoka leo mda si mref...huyu bint yan sijui..akil yake huwa ni nin..huyu bint aliniomba kias flan cha pesa nkamwambia sina kwasasa nmetumia hela nying mda si mref.
Huyu binti toka hiyo siku anaongea vimaneno maneno vya kukera tokea hyo j5 had jana nkamwambia wee ndugu yangu una tatzo gan...akanijib wee kama huna hela mbona tunakula makuku na kunywa kila siku hapa...nkamwambia hvyo unavyokula umeona nimetoka nje kwenda kununua?au unakula vilivyohifadhiwa kwenye jokofu ..unapika na kula...bas toka hyo siku ya j5 anakunja mdomo tu..sasa.
Ndan kwenye surual nilikua kama na lak2 hiv..ya kusukuma gurudum ....sasa sjui kanipekua..yaan huwez amin...binti kachkua hyo hela yoote...hapa nmebak na korodani zangu tuu.
Ila nna hasira had natetemeka..halaf katuma msg..ndio nimechkua hela..
Well...kiukwel mim mtu kuchkua hela bila ridhaa sipend....yaan dah..well..hyo hela sio ishu.magoli yangu yananipa tu hata kesho asubuh...ila sasa unachkuaje hela namna hyo?
Inamana tumezoeana sana ama?
Hiv kosa kama hili si la kumuacha kabisa binti huyu au ni hasira tu wakuu..hahahah
Uzi tayar...
Naweza piga niue. Hiki kiburi kimepitiliza. Yaan hapo maana yake ni kwamba hela amechukua na huna utakachomfanya.
Binafsi nikamwomba partner wangu some amount na akanijibh hana naheshimu. Hata nikamkuta ana million 10 sitahangaika. Nitaamini hizo fedha tayari ziko ktk bajet hivyo niwe mvumilivu until next time. Kufikia stage ya kuchukua fedga ya mwenzio kibabe hivyo hapo hakuna mapenzi. Yaan mwabamke anayekupenda atakuhurumia sana hada juu ya kipato chako hata uwe bilionea.
[emoji28][emoji28] ninaoWell done mwana,, daa unamdogo wako nije oe?
Gari limetokea wapi tena mkuu?Hahahahah akija utapiga atachukua laki 2 ingine tena! 😂
Kibarua ni wewe kutembea na gari bila hela hata ya hongo ya askari!😅 Au kwa miguu mpaka kuipata ATM