Hili kosa naliona sana na sijui kwanini linajirudia na linaniumiza zaidi kwakuwa wanaolifanya ni Wasomi kabisa

Hili kosa naliona sana na sijui kwanini linajirudia na linaniumiza zaidi kwakuwa wanaolifanya ni Wasomi kabisa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Jamani tunapojitambulisha hasa katika Matukio au Maeneo mbalimbali hatupaswi kusema ....Majina yangu ni GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE JamiiForums bali tunatakiwa kusema / kujitambulisha kwa kusema.....Jina langu ni GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE JamiiForums sawa? Kosa hili likifanywa na Watu wasiosoma wala sishangai na sitoumia ila naumia kwakuwa linafanywa na Watu ambao Kutwa wanatamba Wamesoma na wanamiliki Degrees, Masters na Doctorates zao.
 
Me nakerekwa sana pale mtu anapotumia maneno kama tuvitu, tudogo, twendage, sijui ndiyo maana kamili ya wabantu na mchanganyiko wa makabila.
 
Huwa naasikia jitambulishe kwa majina yako matatu hivi nao huwa wanakosea au inabidi watwambieje
 
Back
Top Bottom