Hili Kundi la 'Vijana na Samia' limebarikiwa na CCM na Serikali, manake si kwa Kujikomba huko

Hili Kundi la 'Vijana na Samia' limebarikiwa na CCM na Serikali, manake si kwa Kujikomba huko

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na Msemaji wake ni Mtangazaji wa Michezo EFM Radio ambaye hajawahi Kuelewana na Wenzake katika Media anayofanya na Mwenezi wa CCM katika Shina huko Temeke aitwae Twalib Othman Muwa.

UVCCM ina maana pamoja na Kujipendekeza na Kujikomba Kwenu kwa Watawala ( Marais ) wa nchi hii Safari hii mmeonekana hamna jipya na badala yake Vijana Wenzenu Wengine wameamua kuja na Kundi lao la Kumpambania Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Samia liitwalo Vijana na Samia?

GENTAMYCINE naanza Kutabiri kuelekea 2025 yataibuka Makundi mengine ya Kujikomba na Kujipendekeza kwa Rais kama ya Wazee na Samia, Bibi na Samia, Wanawake na Samia, Njaa Kali na Samia, Watoto na Samia, Wazururaji na Samia, Tupo Tupo Hatujielewi na Samia, Vibaka na Samia, Wauza Bangi na Unga na Samia, Wakwepa Kodi Original na Samia, Jobless na Samia, Wanunua Mbunye na Samia na Waathirika wa Akili na Ugonjwa Hatari na Samia, Wabishi wa Kuoga na Kufua na Samia.

UVCCM taratibu mnaanza Kupuuzwa.
 
Wanunua Mbunye na Sa100

hapa sijaelewa popoma, wananunua mbunye pamoja/wakiwa na sa100 au wananunua mbunye pia wananunua na sa100?
 
😂😂😂👊🏼😂 Anasoma JF unajua
Hasa Mimi GENTAMYCINE na nina uhakika wa hili kwani Mmoja wa Watu wake wa Mfumo anayenijua na kuijua hii ID aliniambia na Kudai huwa anacheka mno akinisoma japo muda mwingine huwa anakubali ninavyomsema Yeye ( Kiutendaji wake ) na hasa hasa Wasaidizi wake.

Na katika Utajiri wangu wa Followers 163 hapa JamiiForums nae Kizimkazi Paje Queen ni mmoja Wao.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
UVCCM tuna mipango mingi mno...

Awal kulii kusimamia itikadi na uenezi wa imani yetu.....

Ndani ya kusimamia hayo tunakilinda chama kwa mfumo wa punda afe mzigo ufike....humo ndani tunamlinda na mwenyekiti wetu pia....

UVCCM tunafurahi kuona kuwa kunaibuka makundi tofauti kumuunga mkono mwenyekiti wetu....

Tunalijua hilo ya kwamba katika hatua zao hizo wataitwa majina tofauti ya kedi na dhihaka kama "chawa"....hatujali kwani hayo yamezoeleka.....

#Mwenyezi Mungu amlinde na kumpa nguvu mwenyekiti wetu kamarada Kawaida ,aaamin aaaamin[emoji120]

#SiempreUVCCM[emoji120]
 
UVCCM tuna mipango mingi mno...

Awal kulii kusimamia itikadi na uenezi wa imani yetu.....

Ndani ya kusimamia hayo tunakilinda chama kwa mfumo wa punda afe mzigo ufike....humo ndani tunamlinda na mwenyekiti wetu pia....

UVCCM tunafurahi kuona kuwa kunaibuka makundi tofauti kumuunga mkono mwenyekiti wetu....

Tunalijua hilo ya kwamba katika hatua zao hizo wataitwa majina tofauti ya kedi na dhihaka kama "chawa"....hatujali kwani hayo yamezoeleka.....

#Mwenyezi Mungu amlinde na kumpa nguvu mwenyekiti wetu kamarada Kawaida ,aaamin aaaamin[emoji120]

#SiempreUVCCM[emoji120]

mkunanazi uvccm
0789790002

nimekusaidia kukuwekea mawasiliano.
 
Jana mbichiii....

Mh.Mwenyekiti wetu taifa kamarada Kawaida akiwa na kikao na wasanii waliohudhuria tamasha la Paje Kizimkazi...

Mengi yanafanywa na UVCCM kumuunga mkono mwenyekiti wetu kipenzi mh.Rais Samia Suluhu Hassan[emoji120][emoji120]

#Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake [emoji120]
FB_IMG_16936857625661534.jpg
FB_IMG_16925733024646231.jpg
 
Ziara ya kamati ya utekelezaji kwa mkoa wa dar es salaam ilikuwa moto....UVCCM hawapoi hata kidogo......

Viwanja vya Mbagala Zakhiem hapo.....

#SiempreUVCCM[emoji120]
FB_IMG_16936909599442496.jpg
FB_IMG_16936909735599553.jpg
FB_IMG_16936910109228983.jpg
FB_IMG_16936906525458305.jpg
 
Back
Top Bottom