Hili la bandari kuuzwa likipita utumwa unarudi na Zanzibar inaweza peperuka

Hili la bandari kuuzwa likipita utumwa unarudi na Zanzibar inaweza peperuka

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Wasalaam,

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Habari ndiyo hio, bandari ikiuzwa kama msemavyo wabongo tetesi basi jiandaeni kwa utumwa usiomithirika, sioni Tanzania iliyosalama, sioni muungano ukiendelea.

Mkimuangalia mtavuna mabua alianza ngorongoro, sasa kalekea chumbani kwenye roho ya nchi.

Endeleeni kumchekea Hali si shwari mtu alieshindwa kujiendesha anakimbilia mikopo ili kuficha matobo na kushindwa.

Tanzania nchi ya wapumbavu na malofa. Ningemtukana mtu Ila ngoja.

Tanzania yamejaa mafunza tu vichwa vyote bongo zimeliwa.

Mzee aliuza loliondo for 99years, Malkia wa kuruka nao kaongeza ngorongoro, na bandari. Ulofa ukizidi ni sawa na akili za mashoga.

Nawasilisha .
πŸ™πŸ™πŸ™

Wadiz
 
Wasalaam,
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Habari ndiyo hio, bandari ikiuzwa kama msemavyo wabongo tetesi basi jiandaeni kwa utumwa usiomithirika, sioni Tanzania iliyosalama, sioni muungano ukiendelea.

Mkimuangalia mtavuna mabua alianza ngorongoro, sasa kalekea chumbani kwenye roho ya nchi.

Endeleeni kumchekea Hali si shwari mtu alieshindwa kujiendesha anakimbilia mikopo ili kuficha matobo na kushindwa.

Tanzania nchi ya wapumbavu na malofa. Ningemtukana mtu Ila ngoja.

Tanzania yamejaa mafunza tu vichwa vyote bongo zimeliwa.

Mzee aliuza loliondo for 99years , Malkia wa kuruka nao kaongeza ngorongoro, na bandari. Ulofa ukizidi ni sawa na akili za mashoga.

Nawasilisha .
πŸ™πŸ™πŸ™

Wadiz
Eti una binafsisha ili kuongeza ufanisi wa kiutendaji na kuongeza mapato, hivi serikali imeshindwaje yenyewe kuongeza huo ufanisi mpaka itafte watu binafsi ? Imeshindwa kabisa kuwapeleka wasomi shule huko nje wakajifunze huo ufanisi ?
 
Back
Top Bottom