Hili la Diamond ni la Kukemewa na kila mtu!

alexelias

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2017
Posts
2,032
Reaction score
3,197
Kwanza naomba mada hii iachwe hapa jukwaa la siasa.

Huyu msanii wa kizazi kipya na kipenzi cha wafanya siasa pia ni ana ghafirika sasa!Tabia ya ufusika na kuchezea mabinti za watu na kuwadhihaki si jambo jema na si mfano mwema kwa msanii mkubwa km yeye.

Km taswira kwa wengine hapaswi kuwa mtu wa tabia hizo azifanyazo sasa.
 
Eti anakashifu hata kuchanganya ufuska wake na maneno matukufu kwenye utunzi wa kusifikia ngono.
 
Hapa sio mahala pake mode pls peleka celebrity huu uchafu...
 
Hivi hao unaoita mabinti za watu ndio akina Mobeto,Wema n.k?.Nahisi una lingine maana hata wazazi wao hawawezi lalamika kwani wako huru kuchagua mwanamme wa kuwatwanga.
 
Lakini hao kina dada ni watu wazima pia.sidhani kama wanalazimishwa kumkubalia.
 
KWANI NI NANI ASIYEJUA KUWA DIAMOND YUPO NA ZARI NA WEWE UNAJIPELEKA UNAMTEGESHEA MTOTO.FUSKA NI YUPI HAPO NI YULE ASIWEZA KUKATAA KILA KITU ANAKUBALI AU!! MABETO KAJITAKIA NA BADO WENGINE WANATAKA!! HATUKEMEI KITU HAPA UWEZO WA KUKATAA MNAO
 
MNAMKONDESHA MWANAMZIKI WETU KWANI KUSEMA HAPANA HAMUWEZI JAMANI.MUDA WOTE MAPAJA MNAMPANULIA WENYEWE.SIMU ,FACEBOOK ,INSTAGRAM KOTE HUKO MNAWEKA PASSWORD NI KWANINI USIWEKE PASSWORD NA HUKO CHINI YA KIUNO CHAKO.NASISI TUMECHOKA KUKEMEA KWANI UWEZO WA KUKATAA MNAO.MAMBO MENGINE NI KUMCHOSHA TU MUNGU!!!
 
nashukuru sana kaka ujumbe wako nimeupata tatizo walikuwa wananitongoza wenyewe na mie ni rijari simba nikiona swala najisikia kumla afu watoto wenyewe wakali hata ww ungewakataa ningekuona hanithi
ila kwa sasa nimejifunza na nimetulia naomba radhi kwa fans wangu wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…