alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,197
Kwanza naomba mada hii iachwe hapa jukwaa la siasa.
Huyu msanii wa kizazi kipya na kipenzi cha wafanya siasa pia ni ana ghafirika sasa!Tabia ya ufusika na kuchezea mabinti za watu na kuwadhihaki si jambo jema na si mfano mwema kwa msanii mkubwa km yeye.
Km taswira kwa wengine hapaswi kuwa mtu wa tabia hizo azifanyazo sasa.
Huyu msanii wa kizazi kipya na kipenzi cha wafanya siasa pia ni ana ghafirika sasa!Tabia ya ufusika na kuchezea mabinti za watu na kuwadhihaki si jambo jema na si mfano mwema kwa msanii mkubwa km yeye.
Km taswira kwa wengine hapaswi kuwa mtu wa tabia hizo azifanyazo sasa.