Hili la ENL nimefaidi sana, Ahsanteni vijana wa zamani hizo

Hili la ENL nimefaidi sana, Ahsanteni vijana wa zamani hizo

AnyWayZ

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2022
Posts
4,880
Reaction score
8,424
🕯Salaam Wakuu🕯

1. Nyuzi zinapishana sana
2. Historia imerudi nyuma
3. Mengi yameibuka.
4. Wengi wamezungumza
5. Lakini sioni wa kumwamini

Napata picha ENL alikua mtu mkubwa sana katika siasa ya nchi hii kushinda hata baadhi ya Maraisi wetu.

Mimi kwake nimejifunza kitu kimoja kikubwa - UKIMYA baada ya Maamuzi na Utekelezaji.

Huna haja ya kujitetea wala kushindana mbele ya watu unaowamudu hata kama Wakikuchafua na kujaribu Kukukandamiza.

Jibu la wema na ubaya wake kaondoka nalo mwenyewe, hii ndio nimependa sana.
 
 
Mimi nimejifunza uongozi Tanzania na Africa si swala la maslahi ya taifa na jamii bali interests za watu binafsi na makundi Yao Kwa faida zao binafsi, raia anatumika tu kama means ya watu hao kufikia malengo Yao binafsi
 
Kikubwa kilichonipa Imani, Bado mfumo wetu wa kupata uongozi umedhihirisha unasimamia maslahi mapana ya taifa japo Kwa taabu sana
 
Back
Top Bottom