Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Lakini si ana haki ya kupewa child support mkuuSiyo hata 100, 000 ni tsh 10,000. Asipopeww anakuja anzisha uzi JF. Yaani mtu unampa Mimba na pesa anataka apewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini si ana haki ya kupewa child support mkuuSiyo hata 100, 000 ni tsh 10,000. Asipopeww anakuja anzisha uzi JF. Yaani mtu unampa Mimba na pesa anataka apewe?
Kulea mtoto si kazi ya mwanaume. Kuna bingwa mmoja kaelezea. Niambie wanyama gani madume wanalea? Kwa asilimia kubwa? Yaani unampa mimba na tena support ya pesa?Lakini si ana haki ya kupewa child support mkuu
Heb weka namba zake hapa tuone namna ya kumsaidiaInaumiza sana. Yaani hizi tambo zetu humu JF n.k si wa Mikoani wala Dar ambao wamefanikiwa. Sisi tunadharaulika. Yaani tuna wagegeda akina sijui nini flower wana mastress kibao tunaacha watu wa maana huko wanalalamika wapo single na hawajawahi pewa Mimba.
Halima mpaka leo ni single na hana mtoto. Imagine. Halima anaongea maneno haya na upo na Mzee wako au Mama yako mnaangalia TV au mnasikiliza Radio.
Anakuonaje? Anakuona Zebwe sana... Halafu upo upo tu unasema Simba itachukua Ubingwa sijui Yanga ninii... Anakutizama anasema hiiii.... Hamna kitu hapo. Unaacha mambo ya msingi yenye maana. Unahangaika kuwapa mimba akina KIOKOTE humu JF.
Inashangaza. Vikao vyetu mara nyingi tunazungumzia hili suala. Mimba wapewe wanawake wanaojiweza. Hawa wengine ni kuwaonea tu. Unampa mimba TURUDIE choka mbaya. Usipompa tu tsh 10,000 ya matumizi anakuja kukupost JF.
Inashangaza sana Halima ni mwanamke mzuri tu anafaa na bado wanaume tumeshindwa deal naye. Mimi naitisha kikao Wekeend hii tuteue mtu mmoja ashughulikie hilo. Kama mtataka mimi nikaongee naye sawa. Maana isionekane najipigia debe. Na mwenyekiti wetu anaonekana ame fail. Ni bora mniteua mimi niwaongoze ili tufike mbali.
Kwa hiyo hizi sheria za child support ni kandamizi kwa wanaume. Sisi tuwe tunatia mimba tu wakomae wao kutunza watotoKulea mtoto si kazi ya mwanaume. Kuna bingwa mmoja kaelezea. Niambie wanyama gani madume wanalea? Kwa asilimia kubwa? Yaani unampa mimba na tena support ya pesa?
Kusaidiana hakuhitaji sheria wala madai.Kwa hiyo hizi sheria za child support ni kandamizi kwa wanaume. Sisi tuwe tunatia mimba tu wakomae wao kutunza watoto
Mkuu hizo mimba 3 zinakaa upande gani,😂Umehakiki? Na je angelalamikaje kuwa ni single na hana mtoto? Mmekuwa waoga sana nyie vijana. Sisi miaka yetu ile angekuwa ana watoto hata wa5 kwa sasa. Toka atamke hivyo alipaswa apewe mimba hata 3
🙄🙄🙄😁😁😆😆😆😆😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🙆🙆🙆🙆🤣🤣🤣🤣🤣 sipat picha muhusika akiiona hii comment atajisikiaje jaman,atalia,atacheka au atasikitika.Ingia kichwa kichwa uambulie dildo za makalio. Ukute anazo za kila size. Akivaa strap on anakwambia call me daddy na ule msauti wake.
Inasadikika vidole vyake vyepesi kama vina mota, huo ulimi sasa akianza kupiga deki kitumbua unaweza kuta mkeo anakusahau na jina kabisa.
Huyo hajaolewa na kukosa mtoto kwa matakwa yake. Anataka kuoa yeye.
Unique FlowerInaumiza sana. Yaani hizi tambo zetu humu JF n.k si wa Mikoani wala Dar ambao wamefanikiwa. Sisi tunadharaulika. Yaani tuna wagegeda akina sijui nini flower wana mastress kibao tunaacha watu wa maana huko wanalalamika wapo single na hawajawahi pewa Mimba.
Halima mpaka leo ni single na hana mtoto. Imagine. Halima anaongea maneno haya na upo na Mzee wako au Mama yako mnaangalia TV au mnasikiliza Radio.
Anakuonaje? Anakuona Zebwe sana... Halafu upo upo tu unasema Simba itachukua Ubingwa sijui Yanga ninii... Anakutizama anasema hiiii.... Hamna kitu hapo. Unaacha mambo ya msingi yenye maana. Unahangaika kuwapa mimba akina KIOKOTE humu JF.
Inashangaza. Vikao vyetu mara nyingi tunazungumzia hili suala. Mimba wapewe wanawake wanaojiweza. Hawa wengine ni kuwaonea tu. Unampa mimba TURUDIE choka mbaya. Usipompa tu tsh 10,000 ya matumizi anakuja kukupost JF.
Inashangaza sana Halima ni mwanamke mzuri tu anafaa na bado wanaume tumeshindwa deal naye. Mimi naitisha kikao Wekeend hii tuteue mtu mmoja ashughulikie hilo. Kama mtataka mimi nikaongee naye sawa. Maana isionekane najipigia debe. Na mwenyekiti wetu anaonekana ame fail. Ni bora mniteua mimi niwaongoze ili tufike mbali.
Hao wavulana ndo haraka huwa upindeNimeona post kadhaa za vijana waoga., Hawa hata kikaoni watatujaza uoga, aamin nawaambia tarehe kama ya leo mwakani shemeji yenu atafurahi