Zanzibar 2020 Hili la Jecha kuchukua fomu limeitia doa kubwa CCM

Jecha? Hata aibu kidogo hana?!

Amefanya tu makusudi kwenda kuchukua fomu ili kuivua nguo na kuiumbua ccm! Kuna uwezekano alisalitiwa na miccm myenzake baada ya kumuingiza madarakani Dr. Shein kwa bao la mkono wakati ule.

Usikute alisahauliwa au hakupewa 'mzigo' wa kutosha hivyo akaamua aje atengeneze headline.
 
Kama na wewe ni wale wale, basi usisahau kuwaambia wakubwa zako kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho.

Endeleeni tu kutuletea dharau. Muda utakapofika, mtaikimbia hii nchi.
Tulia akili kwanza,mimi nakuja July 15 kuanza kazi ya kuwasaka Mafias
 
Ccm walisha kata pumzi hivyo hata mipango yao ni ya zima moto tu
 
Kumbe huyu kenge alikuwa fisiemu muda wote. Nyambafu kabisa chama la majambazi.
 
Hao wamelaaanika
 
Kwanini sikuzaliwa ile nchi nayopakana mayo, Ee Mungu wewe ndio wajua.
 
Kwa tume hii ccm itaongoza Tanzania mpaka mwisho Wa dunia.Yaani INA matawi kila sehemu, sio kwa msajiri, tume,takukuru, mahakamani wala bungeni. Ulisikia wapi kocha Wa timu ndo anachagua refarii?
 
Kuna mambo yanashangaza sana katika siasa zetu, hili linatuacha bila nguo za ndani.
 
safari hii ACT wanachukua nchi zenj chini ya HAMAD! laana ya wazanzibari haitawaacha salama ccm
 
Hilo mbona liko wazi tu teuzi nyingi kama sio kada wa CCM sahau kuzipata, ndio maana hata Jecha aliona upepo wa kukosa ugali unaninyemelea nikimtangaza Maalim Seif suluhisho akaona bora tu afute matokeo ya urais, ukizingatia kauli za namba moja kuwa nikuteue mimi, gari nikupe, mshahara nikulipe halafu umtangaze mpinzani.
Acha tu wajidhihirishe kuwa hii ndo rangi yetu halisi hao CCM.
 
Ata Coca-Cola walikua hawaruhusu wafanyakazi wao na familia zao kushiriki bahati nasibu zao iweje Leo Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi awe nae ni mgombea katika uchaguzi.

Ni lazima tukubaliane kuna mambo huwezi kuyafanya yote kwa pamoja lazima uchague moja uache moja. Ni kama kumuoa mwanamke halafu umuoe binti yake haiwezekani
 
Anataka urais na hiyo miss ya plug je?
Hao ndo fisiemu bado watu wanaamini bila tume huru ya uchaguzi watatoboa!!!
 
Najaribu kunukuu baadhi ya maneno yake "...NIKAWA MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGIZI ZANZIBAR KUANZIA MWAKA MATAP TAP TAB TAB HUIHUI..."
Huu ushahidi tosha wa kukataa tume hizi za uchaguzi inapaswa "watu wazalendo wasemwe wamekosa uzalendo kwa hili..."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…