Hili la Jonas Mkude kuingia kambini akiwa kapendeza sio poa kabisa

Nenda kamshtaki CAS
 
Sikatai kulewa unaweza kulewa muda wowote, lakini kwa mchezaji Tena anayeenda kambini kweli,

Jonas mkude hajitambui
 
Huyu jamaa si aachwe tu,.....

yani utafikiri ni bonge la player kumbe ni average player with confidence......
 
Siku moja Asubuhi ataamka Jonas Mkude pale kambini kwao Bunju na atachoma moto kambi nzima ndio watajua mwamba ana matatizo makubwa ya kisaikolojia
 
Siku moja Asubuhi ataamka Jonas Mkude pale kambini kwao Bunju na atachoma moto kambi nzima ndio watajua mwamba ana matatizo makubwa ya kisaikolojia
Simba walishampima akili,ila sikumbuki matokeo ya vipimo.
 
wachezaji wakubwa wa uingereza walikuwa walevi mbwa wakiongozwa na steve g na jt
Ndiyo maana viwango vyao vilikuwa vile vilivyokuwa tofauti kabisa kwa Cristian Ronaldo na Messi.Mwisho wao mbaya katika soka
 
Daah kuna wanaume ni wambea sana kama mademu.
Nasemea wewe mleta thread
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…