Hili la JWTZ kumiliki maeneo ya mipakani ndilo, KDF ilipaswa kuja kujifunza

Hili la JWTZ kumiliki maeneo ya mipakani ndilo, KDF ilipaswa kuja kujifunza

Unaongea kwa ujasiri bandia kwa sababu Al Shabab hawajawahi kuvamia Tanzania. Sio kwa sababu wanawaogopa bali kwa sababu mliogopa kutuma jeshi lenu Somalia. Waoga nyie, kazi yenu kuingiza mkia kati kati ya miguu. Hata DRC najua mtakataa kutuma jeshi lenu la EAC huko.
M 23 nani aliwanyamazisha acha kutuzaraulia jeshi letu tukufu
Kama vp jiinueni tukate mzizi wa fitina
Nalikubali jeshi langu na ninaliombea kwa Mungu siku zote za maisha yangu
 
Nunieni silaha za kisasa. Wacheni kupoteza muda na vitu vya kipuuzi kama hivyo. Mkija vita na Kenya tutawanyorosha sawa sawa.

Cc joto la jiwe
Nyie kuleni miraa muombe amani na Al shabab vita na Tz hamuwezi sisi hata tukituma wanajeshi wa monduli tu kenya yote itanuka mavi mbichi
 
Tutawatumia special forces ya Kenya. Wao hawana haja na vitu vidogo kama chakula. Nyie jeshi lenu lina kitengo cha special forces kweli? Au special forces yenu ni wale wavunja matofali kwa mikono mikavu wakati wa tamasha la kitaifa?
Kwanza wanawake wakenya walikuwa wanalalamika wanaume wa kenya hawana nguvu mbona hamjaonyesha u-special force wenu kwa wanawake wenu ndo mtaweza kucheza na Ak47 mara mjitete kuwa magaidi wanabunduki kubwa M16 nyie mnayo G3 kwa dunia ya sasa G3 unapeleka wapi labda ukawindie ndovu
 
You are just lucky that Tanzania currently have no internal or external security threats . Otherwise from the video you soldiers are poorly equipped .I wonder how much ground the platoon would cover .
We can't show each and every things to our enemies if you think we're poorly equipped try to cross the boundaries
 
Unakuaga mjinga kweli [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23], yaani wewe ni kumbafu sana ki fikra[emoji23][emoji23][emoji23] , Al Shabaab is bordeless coz it is an ideology, based on extreme Islamic beliefs , so ukiona Alshabaab in Kenya ni wakenya sana sana, ata hapo Dar wako sana kama hauna taarifa., ila hawawezi kukunya kwa sahani wanao kulia, if u know u know.
Hakuna kitu kama hiyo TANZANIA WILL NEVER EVER NEGOTIATE WITH TERRORISTS
 
Back
Top Bottom