Hili la JWTZ kumiliki maeneo ya mipakani ndilo, KDF ilipaswa kuja kujifunza

Hili la JWTZ kumiliki maeneo ya mipakani ndilo, KDF ilipaswa kuja kujifunza

Propaganda max flight altitude. 14,000 metres (46,000 ft)
Yani hapo unajiona umeandika. Unajua maana ya attitude na range? Ungejua tofauti yake usingejichoresha hapa. Ikiwa na max. altitude hiyo kwahiyo ndege ziifuate pale ilipo ndipo izishambulie?

Altitude ni umbali kutoka chini kwenda juu, range ni umbali kutoka ilipo kwenda eneo jingine. Range ya Buk missile max. yake ni 50km. Na hata hiyo altitude yake ni ndogo kwa silaha za sasa, hizo ni 14km angani wakati ndege nyingi tu zinaenda more than 18km altitude. Tukianza na Ugandan Su-30
 
Unaongea kwa ujasiri bandia kwa sababu Al Shabab hawajawahi kuvamia Tanzania. Sio kwa sababu wanawaogopa bali kwa sababu mliogopa kutuma jeshi lenu Somalia. Waoga nyie, kazi yenu kuingiza mkia kati kati ya miguu. Hata DRC najua mtakataa kutuma jeshi lenu la EAC huko.
Utulivu uliopo tanzania Ni Sign tosha kuwa our Millitary Mighty is Super
 
Tanzanian brigadier general Stevens Mnkande current commander foreign intervention brigade alongside south African,Nepal and Kenyan troops .(you can easily pick out the Tanzanian uniform)
View attachment 2284007

Goli ushahamisha kirahisi hivyo tu!
Ulichopost ni hii picha.
Tangu lini sare za jeshi la Congo zikawa za TPDF?
IMG_2641.jpg

Hapa uliandika nini?
Huu ujinga wa kupotosha huwa ni topic kwenye masomo yenu nadhani!
 
Utulivu uliopo tanzania Ni Sign tosha kuwa our Millitary Mighty is Super
Ni kwa ajili ya ushamba, upole, lack of exposure na utulivu wenu tu, hamna maisha ya janja janja kwa wingi, sio security kilaza 😂 😂 😂 😂 hili jaribio 👇👇👇ni dhibitisho mko hovyo.., hakuna ulinzi wa hakika Tanzania., ukarimu wenu usikudanganye eti mko safe.,
1657262375895.png
 
Ni kwa ajili ya ushamba, upole, lack of exposure na utulivu wenu tu, hamna maisha ya janja janja kwa wingi, sio security kilaza [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hili jaribio [emoji116][emoji116][emoji116]ni dhibitisho mko hovyo.., hakuna ulinzi wa hakika Tanzania., ukarimu wenu usikudanganye eti mko safe.,
View attachment 2284213
Hivi unaelewa "isolated cases", waulize baada ya Hilo tukio nini kiliwakuta na kwanini hawajarudi tena?.

Tatizo lenu Alshababs wanaingia na kutoka Kenya vile wapendavyo kwa zaidi ya miaka kumi Sasa, KDF imeshindwa kabisa kuwadhibiti

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hivi unaelewa "isolated cases", waulize baada ya Hilo tukio nini kiliwakuta na kwanini hawajarudi tena?.

Tatizo lenu Alshababs wanaingia na kutoka Kenya vile wapendavyo kwa zaidi ya miaka kumi Sasa, KDF imeshindwa kabisa kuwadhibiti

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile
Flimsy excuse, mko hovyo nani, eti isolated cases., Al shabaab ni borderless nyambaff, kama tu wale walio msumbiji walio vuka border wazi wazi na kuwachazara raiya wa Tanzania bila huruma, shukuru jeshi la Kagame lililo saidia ku neutralize hao majangili katika sehemu kadhaa, u can't control an ideology with a bullet u idiot,. The terror group in Mozambique has links to forces allied with the so-called Islamic State in the Democratic Republic of Congo and has also recruited fighters from Tanzania and South Africa. Yaani wewe umeganda akili kuelewa simple things, ama unajitia hamnazo ili kuikweza Tanzania taifa lililo hovyo na fukara., if they want to f**ck Tanzania they will wakati wowote, ila coz of wide spread Islam in your country, pale ni nyumbani kwao, hawawezi kukunya kwa sahani inayo walisha 😂 😂 😂 Have followed preachings of your sheikhs kilaza., Dar is their bedrock., financiers ni matajiri wanao wakandamiza pale Dar nyie watumwa wao mnao ishi kwenye uswazi houses sprawled across😂😂😂😂, usitetee ujinga kilaza.
 
Silaha za kijinga sana mnatumia hapo. Nimeona gofu la world war 2 hapo lenye migurudumu miwili.
Sasa hayo ni mazoezi tu yakuwa tishia raia wavunjifu wa sheria za mipakan..ww ulitaka waje na silaha gani hapo wakat hamna cha mana hapo kiiivyooo
 
Flimsy excuse, mko hovyo nani, eti isolated cases., Al shabaab ni borderless nyambaff, kama tu wale walio msumbiji walio vuka border wazi wazi na kuwachazara raiya wa Tanzania bila huruma, shukuru jeshi la Kagame lililo saidia ku neutralize hao majangili katika sehemu kadhaa, u can't control an ideology with a bullet u idiot,. The terror group in Mozambique has links to forces allied with the so-called Islamic State in the Democratic Republic of Congo and has also recruited fighters from Tanzania and South Africa. Yaani wewe umeganda akili kuelewa simple things, ama unajitia hamnazo ili kuikweza Tanzania taifa lililo hovyo na fukara., if they want to f**ck Tanzania they will wakati wowote, ila coz of wide spread Islam in your country, pale ni nyumbani kwao, hawawezi kukunya kwa sahani inayo walisha [emoji23] [emoji23] [emoji23] Have followed preachings of your sheikhs kilaza., Dar is their bedrock., financiers ni matajiri wanao wakandamiza pale Dar nyie watumwa wao mnao ishi kwenye uswazi houses sprawled across[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], usitetee ujinga kilaza.

Wewe sasa ndo umefanikiwa kufichua ujinga na upuuzi wa wakenya! Unaandika tu hapa madudu wakati wenzenu huko wanapata tabu, alshabab wanaingia na kutoka wanavyotaka kwenye nchi yenu dhaifu. Go and help protect mipaka yenu badala ya kuja kuandika pumba hapa.
 
Flimsy excuse, mko hovyo nani, eti isolated cases., Al shabaab ni borderless nyambaff, kama tu wale walio msumbiji walio vuka border wazi wazi na kuwachazara raiya wa Tanzania bila huruma, shukuru jeshi la Kagame lililo saidia ku neutralize hao majangili katika sehemu kadhaa, u can't control an ideology with a bullet u idiot,. The terror group in Mozambique has links to forces allied with the so-called Islamic State in the Democratic Republic of Congo and has also recruited fighters from Tanzania and South Africa. Yaani wewe umeganda akili kuelewa simple things, ama unajitia hamnazo ili kuikweza Tanzania taifa lililo hovyo na fukara., if they want to f**ck Tanzania they will wakati wowote, ila coz of wide spread Islam in your country, pale ni nyumbani kwao, hawawezi kukunya kwa sahani inayo walisha [emoji23] [emoji23] [emoji23] Have followed preachings of your sheikhs kilaza., Dar is their bedrock., financiers ni matajiri wanao wakandamiza pale Dar nyie watumwa wao mnao ishi kwenye uswazi houses sprawled across[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], usitetee ujinga kilaza.
Stop your stupidity, how many times did they manage to cross border to Tanzania?. Terrorist attacked WTC in New York once, does it enough to say USA army is weak?.

If an enemy attacks the country by surprise like what happen in WTC and in Mtwara, it is the responsibility of any strong army to send the message by retaliation and make sure that, thant incident can't happen again, that is exactly what USA and Tanzania did following terror attacks in these countries.

Why these attacks don't happen again in USA and Tanzania, but they almost happen every month in Kenya?.

Listen you stupid kunyaman, the security of your people is the most important thing, you have to protect your people by any cost, whether from terrorist or any other enemy, this excuses you are giving us here that terrorism is borderless therefore you can't stop them from killing your people, only failed states like Kenya can do that.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Stop your stupidity, how many times did they manage to cross border to Tanzania?. Terrorist attacked WTC in New York once, does it enough to say USA army is weak?.

If an enemy attacks the country by surprise like what happen in WTC and in Mtwara, it is the responsibility of any strong army to send the message by retaliation and make sure that, thant incident can't happen again, that is exactly what USA and Tanzania did following terror attacks in these countries.

Why these attacks don't happen again in USA and Tanzania, but they almost happen every month in Kenya?.

Listen you stupid kunyaman, the security of your people is the most important thing, you have to protect your people by any cost, whether from terrorist or any other enemy, this excuses you are giving us here that terrorism is borderless therefore you can't stop them from killing your people, only failed states like Kenya can do that.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
How secure do you think Tanzanian Borders are?....do you think there are no informal border crossings?... do you think there is no human / other forms of smuggling happening in your country?.....why do you think despite US and mexico border wall smuggling still happens?
The only reason you don't experience terror incidences is because you have no internal or external security threats at the moment.
 
You are just lucky that Tanzania currently have no internal or external security threats . Otherwise from the video you soldiers are poorly equipped .I wonder how much ground the platoon would cover .
From the video huh.
We endelea kujidanganya hapo kariobangi
 
How secure do you think Tanzanian Borders are?....do you think there are no informal border crossings?... do you think there is no human / other forms of smuggling happening in your country?.....why do you think despite US and mexico border wall smuggling still happens?
The only reason you don't experience terror incidences is because you have no internal or external security threats at the moment.
Why do you think we don't have internal and security threats while we are surrounded by countries which suffer from security threats, do you think is by chance?.

Do you know the original of terrorists in Mozambique?, Do you remember the "Kibiti killings" and how we managed to contain it?.

We are peaceful and stable not by chance. When terrorist from Mozambique crossed the border and killed our people, we chased them inside of their hide outs and did teach them a lesson which they understood it very well.

We have very strong army, whoever wants to destabilize us must think twice before to do it, that's why they never try.https://youtu.be/xhhslOLs1j4

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wewe sasa ndo umefanikiwa kufichua ujinga na upuuzi wa wakenya! Unaandika tu hapa madudu wakati wenzenu huko wanapata tabu, alshabab wanaingia na kutoka wanavyotaka kwenye nchi yenu dhaifu. Go and help protect mipaka yenu badala ya kuja kuandika pumba hapa.
Yaani wewe ni zaidi ya kakako kwa upumbavu na ujinga, afadhali ungefyata tu, hakuna lolote umepata, nyambaf 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Stop your stupidity, how many times did they manage to cross border to Tanzania?. Terrorist attacked WTC in New York once, does it enough to say USA army is weak?.

If an enemy attacks the country by surprise like what happen in WTC and in Mtwara, it is the responsibility of any strong army to send the message by retaliation and make sure that, thant incident can't happen again, that is exactly what USA and Tanzania did following terror attacks in these countries.

Why these attacks don't happen again in USA and Tanzania, but they almost happen every month in Kenya?.

Listen you stupid kunyaman, the security of your people is the most important thing, you have to protect your people by any cost, whether from terrorist or any other enemy, this excuses you are giving us here that terrorism is borderless therefore you can't stop them from killing your people, only failed states like Kenya can do that.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
You are such an idiot joto la jiwe , USA can't be mentioned in the same sentence as Tanzania kilaza., if u understand what terrorism is., yaani wewe ni kilaza zaidi ya nilivyo dhania., 😂 😂 😂 😂
 
Hahahaha, lini KDF watapata silaha za kisasa Kama hizi?





We are not lucky but strong and smart, Mozambique and DRC are our neighbours who are struggling with terrorism and civil war, why not Tanzania?, they tried to attack us, what happened to them?. KDF is very weak army.

Onyesha nchi yoyote hapa Afrika mashariki yenye kumiliki vifaa vya kisasa Kama hivi


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Moja ya upuuzi tunaofanya ni kuonesha udhaifu wetu hapo uwanjani..


Unapitisha iveco bora ingekuwa local made za kwetu where adui hawezi jua uwezo wake ..na hayo mandege ya mwaka 70's tofauti na kelele pindi yapotapo yanaweza fanya nn kingne
 
Moja ya upuuzi tunaofanya ni kuonesha udhaifu wetu hapo uwanjani..


Unapitisha iveco bora ingekuwa local made za kwetu where adui hawezi jua uwezo wake ..na hayo mandege ya mwaka 70's tofauti na kelele pindi yapotapo yanaweza fanya nn kingne
Wewe ni chizi wacha kujidhalilisha, ingia Google soma kuhusu J-7, ndege za 3rd generation unasema ni ndege za zamani, onyesha ni nchi gani Afrika yenye 4th generation jet fighters, how Kenya bado wapo na 2nd generation f-5 fighter jets na bado wanapiga kelele kuwa na jeshi imara, Kama hujui kitu Bora unyamaze

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni chizi wacha kujidhalilisha, ingia Google soma kuhusu J-7, ndege za 3rd generation unasema ni ndege za zamani, onyesha ni nchi gani Afrika yenye 4th generation jet fighters, how Kenya bado wapo na 2nd generation f-5 fighter jets na bado wanapiga kelele kuwa na jeshi imara, Kama hujui kitu Bora unyamaze

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kujisifu una passo 2nd generation ni bora prado 1st generation...j7 ni toleo la tatu kwenye ndege zipi..je mataifa makubwa wanatumia ..
 
Back
Top Bottom