Hili la JWTZ kumiliki maeneo ya mipakani ndilo, KDF ilipaswa kuja kujifunza

Hili la JWTZ kumiliki maeneo ya mipakani ndilo, KDF ilipaswa kuja kujifunza

Mbona hao Alshababs wasishambulie Uganda au hata Ethiopia waliopo karibu nao kwasababu walipeleka majeshi Somalia?.

Tatizo hapa ni kwamba, Inawezekanaje adui wa nje ya nchi anaweza kuingia na kutoka katika nchi yenu Kama apendavyo, kazi ya jeshi ni ipi Kama sio kudhibiti mipaka ya nchi, au katika hili unakiri kwamba Alshababs wamelizidi ujanja jeshi lenu?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kwani huna habari kwamba Al Shabab wamewahi kuivamia Uganda kwa sababu walipeleka jeshi lao Somalia?
 
Kwa kauli hii, rasmi alshabab wataendelea kuipiga Kenya kwa kadiri watakavyo.
Sisi wanatujua ndiyo maana wametulia. Wewe unafikiri hawajawahi kututest, halafu wakachezeshwa kwata na jaramba.
Hakuna siku Al Shabab imewahi kuivamia Tanzania. Wale vijana wa kibiti sio Al Shabab. Wale magaidi wa Mtwara sio Al Shabab.

Cc joto la jiwe
 
Jeshi la kenya ukiwa na maarifa unalichakaza balaa. Mbinu rahisi tu, ukitaka kuwanasa wee warushie maboflo. Wanatupa silaha wanaanza kugombaniana maboflo. Ndiyo maana pale westgate walihangaishwa sana, maana hakuna aliyekuwa anafikiria kudhibiti alshabab, bali walifikiria namna gani waibe mali supermarket na kula mikate.
😝 😁 😄🤣
Tutawatumia special forces ya Kenya. Wao hawana haja na vitu vidogo kama chakula. Nyie jeshi lenu lina kitengo cha special forces kweli? Au special forces yenu ni wale wavunja matofali kwa mikono mikavu wakati wa tamasha la kitaifa?
 
Tutawatumia special forces ya Kenya. Wao hawana haja na vitu vidogo kama chakula. Nyie jeshi lenu lina kitengo cha special forces kweli? Au special forces yenu ni wale wavunja matofali kwa mikono mikavu wakati wa tamasha la kitaifa?

Nyie wazee wa maboflo, si mlikuwa mnajigamba kwamba mlipeleka special forces westgate, halafu wakaishia kugombaniana maboflo!!?
😝 🤣😄
 
Hakuna siku Al Shabab imewahi kuivamia Tanzania. Wale vijana wa kibiti sio Al Shabab. Wale magaidi wa Mtwara sio Al Shabab.

Cc joto la jiwe

Aha haaa
Sasa shida yenu mnafikiri kila mwizi anafukuzwa kwa kelele.
Wengine mnawakimbiza kimya kimya!!?
😁 😝 🤣
 
Nyie wazee wa maboflo, si mlikuwa mnajigamba kwamba mlipeleka special forces westgate, halafu wakaishia kugombaniana maboflo!!?
[emoji13] [emoji1787][emoji1]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani huna habari kwamba Al Shabab wamewahi kuivamia Uganda kwa sababu walipeleka jeshi lao Somalia?
Mara Moja tu, tena lilikua ni tukio la kigaidi, hawakwenda na silaha Wala sare za jeshi na kuteka watu au gari, toka siku hiyo wamedhibitiwa hawajarudi tena, Sasa hapo kwenu wamejenga makazi ya kudumu huko Boni forest, hii inaonyesha udhahifu mkubwa Sana, kwanini wasiingie Ethiopia?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna siku Al Shabab imewahi kuivamia Tanzania. Wale vijana wa kibiti sio Al Shabab. Wale magaidi wa Mtwara sio Al Shabab.

Cc joto la jiwe
Aibu na fedheha kubwa kwa mipaka ya nchi kuchezewa kiasi hiki. Ninakuhakikishia KDF haiwezi kuwashinda M23, wale Wana silaha Bora zaidi ya Alshabab

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Aibu na fedheha kubwa kwa mipaka ya nchi kuchezewa kiasi hiki. Ninakuhakikishia KDF haiwezi kuwashinda M23, wale Wana silaha Bora zaidi ya Alshabab

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hujui unachosema wewe. Kwamba M23 wana silaha gani ambayo imeizidi suicide bombers,IED na VBED? Nikusaidie tu IED ina maana ya improvised explosive device. VDED ina maana ya vehicle bourne explosive device. Hizi ndio silaha za Al Shabab. Na pia wanatumia silaha za kawaida kama grenade, rpg na machine guns. M23 ni ujinga mtupu mbele ya Al Shabab.
 
Tanganyikan askari wapasua matofali kwa bichwa😺😺😺
 
Kwani huna habari kwamba Al Shabab wamewahi kuivamia Uganda kwa sababu walipeleka jeshi lao Somalia?
Hapo Kenya wanawachezea mkuu, siwaombeagi mabaya, nina relatives huko.
Ila hilo tukio la kupiga lecture basi for hours, ni la kibabe sana mzee. Msilichukulie poa. Those are calm evolved matured and calculated terrorists. Msije relax mkijua problem's solved. The problem might be quadrapling
 
Hapo Kenya wanawachezea mkuu, siwaombeagi mabaya, nina relatives huko.
Ila hilo tukio la kupiga lecture basi for hours, ni la kibabe sana mzee. Msilichukulie poa. Those are calm evolved matured and calculated terrorists. Msije relax mkijua problem's solved. The problem might be quadrapling
Hatujawachukulia poa. Asante kwa mawaidha
 
Hujui unachosema wewe. Kwamba M23 wana silaha gani ambayo imeizidi suicide bombers,IED na VBED? Nikusaidie tu IED ina maana ya improvised explosive device. VDED ina maana ya vehicle bourne explosive device. Hizi ndio silaha za Al Shabab. Na pia wanatumia silaha za kawaida kama grenade, rpg na machine guns. M23 ni ujinga mtupu mbele ya Al Shabab.
Kwani hizo suiced bombs SI ni mpaka awakaribie, kwanini KDF wanashindwa kuwazuia Alshababu ili wasiwakaribie?. M23 wapo na Artillery zenye kufika umbali wa 20Km, wanavyo vifaa vizuri vya mawasiliano na silaha za kisasa Sana toka Rwanda, KDF can't defeate them, I am very sure, Uganda army is much stronger than stupid KDF.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 

MY TAKE; Huko kwa jirani, Alshabab wanaweka vizuizi barabarani, wanakagua abiria, wanatoa hotuba na kulipisha Kodi, KDF hawajulikani walipo.
Tony254
Don YF
Nicxie
@

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

You are just lucky that Tanzania currently have no internal or external security threats . Otherwise from the video you soldiers are poorly equipped .I wonder how much ground the platoon would cover .
 
Tutawatumia special forces ya Kenya. Wao hawana haja na vitu vidogo kama chakula. Nyie jeshi lenu lina kitengo cha special forces kweli? Au special forces yenu ni wale wavunja matofali kwa mikono mikavu wakati wa tamasha la kitaifa?
Duh!...
T14 Armata
 
Back
Top Bottom