King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,041
- 1,349
Nimetumiwa ujumbe na mtendaji wa kata nifuate kibao cha namba za makazi niende na shilingi 5000 ya kulipia , ilipo nyumba nyingine mtendaji kanitumia meseji niende nikalipie 5500 , hivi, hivi vibao vya namba za anuani ya makazi vinalipiwa tena?
Serikali ya awamu ya sita jamaniiiii mbona hivyo , yaani Waziri atembee juu kwa helikopta ya gharama ya juu halafu sisi tulipie vibao vya namba za anuani ya makazi kweli?
Tena kila kata na gharama yake tofauti ?
Hivi hii Serikali jamani mbona makato kila kona .
Serikali ya awamu ya sita jamaniiiii mbona hivyo , yaani Waziri atembee juu kwa helikopta ya gharama ya juu halafu sisi tulipie vibao vya namba za anuani ya makazi kweli?
Tena kila kata na gharama yake tofauti ?
Hivi hii Serikali jamani mbona makato kila kona .