Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Mh Kuna ya kurudia ukikosea kweli.
Kama hiyo ipo haijakaa sawa. Maana hapo zikiharibiwa zilizokosewa. Kuna uhakikia gani hakutakua na njama za kujaribu za mgombea Fulani na kuhesabiwa Kama zilizokosewa.
Au je Kama mtu akipiga Mara mbili au zaidi kwa kisingizio Cha kukosea Kisha kujumlishiwa kwa mchaguzi wake?
Utaratibu wa hizo rejects umekaaje?
Idadi ya Kura iwe moja kwa mmoja. Suluhisho la kukosea liwe elimu ya upigaji kura kabla ya kupiga.
"Kama kweli Kuna hiyo yakurudia" kwa mtu mmoja.
Utarudia kabla hujatumbukiza karatasi husika kwenye box... utamjulisha msimamizi wa kituo kuwa umekosea na karatasi lazima awaoneshe mawakala kuwa umeharibu kwa bahati mbaya na itahesabika imeharibika na utapewa karatasi nyingine la kupigia kura!
NB hii ni kabla hujatumbukiza karatasi kwenye box kama ukigunduavumekosea