Uchaguzi 2020 Hili la kurudia kupiga kura ukikosea na Vitambulisho Mbadala, kwanini uchaguzi huu?


Utarudia kabla hujatumbukiza karatasi husika kwenye box... utamjulisha msimamizi wa kituo kuwa umekosea na karatasi lazima awaoneshe mawakala kuwa umeharibu kwa bahati mbaya na itahesabika imeharibika na utapewa karatasi nyingine la kupigia kura!

NB hii ni kabla hujatumbukiza karatasi kwenye box kama ukigunduavumekosea
 
He hee heeee....
 
Na je kama mambo yashaongezeka hvo je watu wataruhusiwa kupiga kura sehmu yoyote?
 
Kwamba idadi ya karatasi vituoni inapelekwa kulingana na idadi ya waliojiandikisha.

Mkuu hili hapana siyo kweli ni uongo na uzushi
Hoja hiyo ilijibiwa baada ya kuhoji kwanini Rais asipigiwe kura sehemu yoyote mtu anapokuwepo maadam ana vigezo vyote vya mpiga kura.
 
Kwa hili Tume inafanya kosa la jinai. Kwa wasimamizi dhaifu wasioweza kudhibiti wapiga kura, hiki ni chanzo cha kupigwa kura zaidi ya mara moja. ni chanzo cha mtu kutumbukiza kura na kurudi kushinikiza apewe nyingine sababu ya kwanza amekosea. Ni wakati wa watu kupiga kura, kufuta wino na baadaye kurudi na NIC kwa kisingizio kapoteza kadi kati ya kupigia kura. Lazima watoe muongozo wa kina kwa hili.
 
Kama mshindi wanaye tayari watwambie tu ili tusipoteze muda wetu, tuhangaike na foleni wakati mshindi wao yupo mfukoni wanatembea naye .
 
Kwa maana hyo kutakua na karatas za ziada kwaajili ya marekebisho kwa waliokosea/kubadili mawazo,kwann wasituruhusu tupige kura kituo chochote kwa sisi tuliohama makazi...maana kila kituo kitakua na karatas za ziada tuzitumie izo izo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…