Hili la kuweka vibao viwili Kwa Nchi Moja Tanzania na Zanzibar limekaaje?

August

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2007
Posts
9,327
Reaction score
5,206
Hii ndiyo unaambiwa "Kusoma hujui, hata picha huoni?"
 
Nathububu kusema ni stage moja, kuelekea kule waasisi walikokukemea!
-ipo haja ya ku format upya muungano, for much strength!,

-Tanganyika ipate na kumiliki ardhi zanzibar, (permanent) alkadhalika zanzibar upate eneo/Ardhi bara!(permanent) .... (kwa ukubwa wa kutosha)

LILE LA KUCHANGANYA MCHANGA LIMEPITWA NA WAKATI KWA SASA LETS GO DEEP!

Hili lita reinforce na kuustawisha umoja wetu

-Bara imiliki miradi zanzibar ya kiubia, na zanzibar imiliki miradi bara mfano, liquidation ya gasi asilia zanzibar imiliki hisa kwa 25%,bara 50% mwekezaji 25%,
.
Haya yatafanya yeyote mwenye hila chafu ashindwe mapema sana, na usiwezekane kuvunjika forever ever!
#mafioso_crocodiletooth
CC, #Ionwe!
 
Niaminivyo mimi, wewe johnthebaptist, tukitoka kwenye mizaha, we ni moja ya vichwa hapa JF. Nashangaa, hili swali 'gumu', umetoa jibu jepesi sana!
Soma Katiba

Ni muungano wa Serikali 2

1. Serikali ya Jamhuri ya Muungano

2. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

Zanzibar ni Nchi ndio sababu Komandoo hakuwahi kuingia Baraza la Mawaziri na Nyerere alikuwepo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ukiwa na akili za kichama hutaelewa hili
 
Huyo chura kiziwi wenu ataiacha hii nchi vipande vipande
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…