Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 5,119
- 4,569
Katika hafla ya kumbukizi ya siku ya kifo cha Sokoine leo, Makonda amesema tarehe 15 April atawataja hadharani anaowatuhumu kufadhili wanaomtukana rais mtandaoni. Kwamba anawajua na baadhi yao ni mawaziri.
Hili inaweza kumletea matatizo makubwa ya kisheria. Linaweza hata kupelekea kuwekwa tena benchi.
Alishawahi kufanya hivyo huko Dar es Salaam akiwa mkuu wa mkoa huo alipowataja hadharani watuhumiwa vigogo wa madawa ya kulevya. Madhara yake tuliyaona.
Kwa mtindo wa aina hiyo, tulishuhudia Musiba kuhukumiwa kumlipa waziri mstaafu Membe mabilioni ya pesa. Ni vizuri Makonda akashauriwa kuyapeleka hayo majina kwa vyombo husika badala ya kuyatoa hadharani.
Hili inaweza kumletea matatizo makubwa ya kisheria. Linaweza hata kupelekea kuwekwa tena benchi.
Alishawahi kufanya hivyo huko Dar es Salaam akiwa mkuu wa mkoa huo alipowataja hadharani watuhumiwa vigogo wa madawa ya kulevya. Madhara yake tuliyaona.
Kwa mtindo wa aina hiyo, tulishuhudia Musiba kuhukumiwa kumlipa waziri mstaafu Membe mabilioni ya pesa. Ni vizuri Makonda akashauriwa kuyapeleka hayo majina kwa vyombo husika badala ya kuyatoa hadharani.