Hili la Makonda kuwataja hadharani anaowatuhumu kumtukana raisi mtandaoni, linaweza kumletea matatizo makubwa ya kisheria

Hili la Makonda kuwataja hadharani anaowatuhumu kumtukana raisi mtandaoni, linaweza kumletea matatizo makubwa ya kisheria

Dr Akili

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2011
Posts
5,119
Reaction score
4,569
Katika hafla ya kumbukizi ya siku ya kifo cha Sokoine leo, Makonda amesema tarehe 15 April atawataja hadharani anaowatuhumu kufadhili wanaomtukana rais mtandaoni. Kwamba anawajua na baadhi yao ni mawaziri.

Hili inaweza kumletea matatizo makubwa ya kisheria. Linaweza hata kupelekea kuwekwa tena benchi.

Alishawahi kufanya hivyo huko Dar es Salaam akiwa mkuu wa mkoa huo alipowataja hadharani watuhumiwa vigogo wa madawa ya kulevya. Madhara yake tuliyaona.

Kwa mtindo wa aina hiyo, tulishuhudia Musiba kuhukumiwa kumlipa waziri mstaafu Membe mabilioni ya pesa. Ni vizuri Makonda akashauriwa kuyapeleka hayo majina kwa vyombo husika badala ya kuyatoa hadharani.
 
Katika hafla ya kumbukizi ya siku ya kifo cha Sokoine leo, Makonda amesema tarehe 15 April atawataja hadharani anaowatuhumu kufadhili wanaomtukana rais mtandaoni. Kwamba anawajua na baadhi yao ni mawaziri.

Hili inaweza kumletea matatizo makubwa ya kisheria. Linaweza hata kupelekea kuwekwa tena benchi.

Alishawahi kufanya hivyo huko Dar es Salaam akiwa mkuu wa mkoa huo alipowataja hadharani watuhumiwa vigogo wa madawa ya kulevya. Madhara yake tuliyaona.

Kwa mtindo wa aina hiyo, tulishuhudia Musiba kuhukumiwa kumlipa waziri mstaafu Membe mabilioni ya pesa. Ni vizuri Makonda akashauriwa kuyapeleka hayo majina kwa vyombo husika badala ya kuyatoa hadharani.

Tulieni Sindano iingie

Makonda Mbele yake ni Nafasi kubwa

Tuombe uzima
 
Katika hafla ya kumbukizi ya siku ya kifo cha Sokoine leo, Makonda amesema tarehe 15 April atawataja hadharani anaowatuhumu kufadhili wanaomtukana rais mtandaoni. Kwamba anawajua na baadhi yao ni mawaziri.

Hili inaweza kumletea matatizo makubwa ya kisheria. Linaweza hata kupelekea kuwekwa tena benchi.

Alishawahi kufanya hivyo huko Dar es Salaam akiwa mkuu wa mkoa huo alipowataja hadharani watuhumiwa vigogo wa madawa ya kulevya. Madhara yake tuliyaona.

Kwa mtindo wa aina hiyo, tulishuhudia Musiba kuhukumiwa kumlipa waziri mstaafu Membe mabilioni ya pesa. Ni vizuri Makonda akashauriwa kuyapeleka hayo majina kwa vyombo husika badala ya kuyatoa hadharani.
Kwani kamtaja mtu!
 
Siku mjomba akisema wewe mwanaharamu ujuwe anazijua Siri za mama yako ambae ni dada yake waliokulia pamoja.

Makonda anawajua na anaijua timu ya fitna kwenye chama chake hakusema kwa bahati mbaya.
 
Katika hafla ya kumbukizi ya siku ya kifo cha Sokoine leo, Makonda amesema tarehe 15 April atawataja hadharani anaowatuhumu kufadhili wanaomtukana rais mtandaoni. Kwamba anawajua na baadhi yao ni mawaziri.

Hili inaweza kumletea matatizo makubwa ya kisheria. Linaweza hata kupelekea kuwekwa tena benchi.

Alishawahi kufanya hivyo huko Dar es Salaam akiwa mkuu wa mkoa huo alipowataja hadharani watuhumiwa vigogo wa madawa ya kulevya. Madhara yake tuliyaona.

Kwa mtindo wa aina hiyo, tulishuhudia Musiba kuhukumiwa kumlipa waziri mstaafu Membe mabilioni ya pesa. Ni vizuri Makonda akashauriwa kuyapeleka hayo majina kwa vyombo husika badala ya kuyatoa hadharani.

Uoga wako tu
 
Katika hafla ya kumbukizi ya siku ya kifo cha Sokoine leo, Makonda amesema tarehe 15 April atawataja hadharani anaowatuhumu kufadhili wanaomtukana rais mtandaoni. Kwamba anawajua na baadhi yao ni mawaziri.

Hili inaweza kumletea matatizo makubwa ya kisheria. Linaweza hata kupelekea kuwekwa tena benchi.

Alishawahi kufanya hivyo huko Dar es Salaam akiwa mkuu wa mkoa huo alipowataja hadharani watuhumiwa vigogo wa madawa ya kulevya. Madhara yake tuliyaona.

Kwa mtindo wa aina hiyo, tulishuhudia Musiba kuhukumiwa kumlipa waziri mstaafu Membe mabilioni ya pesa. Ni vizuri Makonda akashauriwa kuyapeleka hayo majina kwa vyombo husika badala ya kuyatoa hadharani.

CCM ni masintch, and mostly wanaomsifia mama ni wanafiki, huyo mwigulu alienda kulamba miguu ya JPM pamoja na Nape walimsifia JPM kuwa walikuwa wanatumika na wastaafu, alipokufa tu
Wakaanza kumnanga, ndio CCM na mama Kama ni smart awakemee hao wapuuzi wote kumsifia

Mama Akitaka kufika mbali awe karibu na makonda, huwa ana sniff sana hatari za wanafiki

Mnaona JPM baada ya kumuacha Paul mkuu wa Dar , mambo mengi yalikuwa yanampita wahuni wakafanya yao

Makonda sio wa kumchukulia poa
 
Naungana na wanao sema ametumwa kusema hivyo, pengine uteuzi wake kuwa rc ni wa kimkakati ili kusema mambo kama hayo.
Kwa nini atumwe? Kwani hao jamaa hawawezi kuchukuliwa hatua za kinidhamu au za kisheria bila kwanza kutajwa hadharani? Huo ni utaratibu wa nchi gani duniani?
 
Back
Top Bottom