Lugha rahisi tunaweza kusema ni propaganda za kisiasa .Kwa nini atumwe? Kwani hao jamaa hawawezi kuchukuliwa hatua za kinidhamu au za kisheria bila kwanza kutajwa hadharani? Huo ni utaratibu wa nchi gani duniani?
Tunasahaulishwa ya RUFIJIMnatuchosha wazee...
Mtajijua huko
Anamtisha anayemuita mamaye kama musiba na jiwe la chumvi?Sindano anajichoma mwenyewe yule kiazi asiyejua majukumu ya ukuu wa mkoa.
Alipotaja wauza ngada nlwalikaa kimya sembuse hii ya kutukana. Ngoja wataachia simu zao siku sio nyingi kumpa legitimacy Makonda.Katika hafla ya kumbukizi ya siku ya kifo cha Sokoine leo, Makonda amesema tarehe 15 April atawataja hadharani anaowatuhumu kufadhili wanaomtukana rais mtandaoni. Kwamba anawajua na baadhi yao ni mawaziri.
Hili inaweza kumletea matatizo makubwa ya kisheria. Linaweza hata kupelekea kuwekwa tena benchi.
Alishawahi kufanya hivyo huko Dar es Salaam akiwa mkuu wa mkoa huo alipowataja hadharani watuhumiwa vigogo wa madawa ya kulevya. Madhara yake tuliyaona.
Kwa mtindo wa aina hiyo, tulishuhudia Musiba kuhukumiwa kumlipa waziri mstaafu Membe mabilioni ya pesa. Ni vizuri Makonda akashauriwa kuyapeleka hayo majina kwa vyombo husika badala ya kuyatoa hadharani.
Ukifungua tu kesi juu yake, ujue ww ndiye unahusika.Hizo sheria zingekuwepo pale alipo ilibidi awe mahali anasubiri kitanzi lakini ndiyo kwanza anavaa na kuvua nyazifa mbalimbali
Unafikiri ni nani wa kufungua kesi dhidi yake na itaendeshwa wapi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mawaziri ni nyani?Kwani kamtaja mtu!
NI kima!Mawaziri ni nyani?
Kwamba Raisi anawaogopa hao mawaziri?Naamini Samia kamtuma Makonda aseme vile
Uko sawa kipara takoNI kima!
Sidhani kama ni hivyo,hao mawaziri ni Rais mwenyewe ndiye kawateua na kuwaapisha kama ana taarifa kuwa wanawalipa watu wanaomtukana anashindwaje kuwawajibisha hadi amtume Makonda kuwatisha? Ina maana Samia anawaogopa watu aliowateua mwenyewe? Na kama ni hivyo basi hatuna Rais.Naamini Samia kamtuma Makonda aseme vile
Tanzania, Bongo Land. Ndio utajua hii ni nchi ya kipekee, iliyobarikiwa. Nchi ya ahadi.Kwa nini atumwe? Kwani hao jamaa hawawezi kuchukuliwa hatua za kinidhamu au za kisheria bila kwanza kutajwa hadharani? Huo ni utaratibu wa nchi gani duniani?
Mbinu tofauti za kiuongozi. Kila kiongozi ana mbinu zake.Sidhani kama ni hivyo,hao mawaziri ni Rais mwenyewe ndiye kawateua na kuwaapisha kama ana taarifa kuwa wanawalipa watu wanaomtukana anashindwaje kuwawajibisha hadi amtume Makonda kuwatisha? Ina maana Samia anawaogopa watu aliowateua mwenyewe? Na kama ni hivyo basi hatuna Rais.