Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
- #21
Waziri kesha pigwa dongo , kama alitaka kuikalia ripoti.Kuna kila dalili watu taarifa wanazikalia maofisini.
Madudu ni mengi, naye waziri anaweza kukatiwa kitu kidogo na aka kaa kimya!