Hili la Mbeya, wafanyakazi kuiba mapato ya Serikali, linasitua sana

Hili la Mbeya, wafanyakazi kuiba mapato ya Serikali, linasitua sana

Huenda huu wizi ni nchi nzima
Serikali chukueni hatua
Hii scandal inaleta picha mbaya sana.
Kuna idara za serikali nazo zinajimilikisha mapato bila serikali kuu kuwa na habari.
Hata siujui nilielezeje suala hili, maana its as if kuna wafanyakazi serikalini wako juu ya sheria na wanakula tu hela za wananchi bila wasiwasi wowote.
 
Hivi unasikiliza porojo za ‘bi tozo’ angekuwa anataka hela ya serikali itumike sahihi au makusanyo yasichezewe angemuweka Angela Kairuki kwenye hiyo wizara.

Hadithi tu za kutaka kuonekana anakwera deep down hajali. Zaidi ya kutaka aonekane na wambea waliompa habari anafanyia kazi taarifa zao. Hila amna lolote ndio maana baada ya porojo watu wanaendelea na nafasi zao.
 
View attachment 2731210

Huu wizi wa fedha za umma unasitua sana.
Mh Rais Samia amesema wafanyakazi Halmashauri wamejijengea utaratibu wa KUIBIA serikali!
Wizi una baraka zote za TISS, POLISI na watendaji RAS, hadi Mkuu wa Mkoa.
Huu ni wizi wa kuaminiwa na tunategemea serikali kutocheka na nyani!
Tumeshaanza kula mabua!
Tatizo la wizi Tanzania linaanzia juu kushuka chini
 
View attachment 2731210

Huu wizi wa fedha za umma unasitua sana.
Mh Rais Samia amesema wafanyakazi Halmashauri wamejijengea utaratibu wa KUIBIA serikali!
Wizi una baraka zote za TISS, POLISI na watendaji RAS, hadi Mkuu wa Mkoa.
Huu ni wizi wa kuaminiwa na tunategemea serikali kutocheka na nyani!
Tumeshaanza kula mabua!
Tukicheza tuta kula mizizi ya mabusu hivi karibuni, kwani nyani wanaotafuna hata mabusu sasa🤸🤸🤸
 
View attachment 2731210

Huu wizi wa fedha za umma unasitua sana.
Mh Rais Samia amesema wafanyakazi Halmashauri wamejijengea utaratibu wa KUIBIA serikali!
Wizi una baraka zote za TISS, POLISI na watendaji RAS, hadi Mkuu wa Mkoa.
Huu ni wizi wa kuaminiwa na tunategemea serikali kutocheka na nyani!
Tumeshaanza kula mabua!
Huo mkoa nao wapewe DPW. Maana sababu za kupewa DPW wamekidhi..!! Na mikoa majirani waliopokea mfumo huo nao wapewe DPW..!!
 
Back
Top Bottom