Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
-
- #21
Waziri kesha pigwa dongo , kama alitaka kuikalia ripoti.Kuna kila dalili watu taarifa wanazikalia maofisini.
Hii scandal inaleta picha mbaya sana.Huenda huu wizi ni nchi nzima
Serikali chukueni hatua
Tatizo la wizi Tanzania linaanzia juu kushuka chiniView attachment 2731210
Huu wizi wa fedha za umma unasitua sana.
Mh Rais Samia amesema wafanyakazi Halmashauri wamejijengea utaratibu wa KUIBIA serikali!
Wizi una baraka zote za TISS, POLISI na watendaji RAS, hadi Mkuu wa Mkoa.
Huu ni wizi wa kuaminiwa na tunategemea serikali kutocheka na nyani!
Tumeshaanza kula mabua!
Tukicheza tuta kula mizizi ya mabusu hivi karibuni, kwani nyani wanaotafuna hata mabusu sasa🤸🤸🤸View attachment 2731210
Huu wizi wa fedha za umma unasitua sana.
Mh Rais Samia amesema wafanyakazi Halmashauri wamejijengea utaratibu wa KUIBIA serikali!
Wizi una baraka zote za TISS, POLISI na watendaji RAS, hadi Mkuu wa Mkoa.
Huu ni wizi wa kuaminiwa na tunategemea serikali kutocheka na nyani!
Tumeshaanza kula mabua!
Huo mkoa nao wapewe DPW. Maana sababu za kupewa DPW wamekidhi..!! Na mikoa majirani waliopokea mfumo huo nao wapewe DPW..!!View attachment 2731210
Huu wizi wa fedha za umma unasitua sana.
Mh Rais Samia amesema wafanyakazi Halmashauri wamejijengea utaratibu wa KUIBIA serikali!
Wizi una baraka zote za TISS, POLISI na watendaji RAS, hadi Mkuu wa Mkoa.
Huu ni wizi wa kuaminiwa na tunategemea serikali kutocheka na nyani!
Tumeshaanza kula mabua!
Tulishasema kuwa POPOTE penye wizi, tunampa DPWTatizo la wizi Tanzania linaanzia juu kushuka chini