playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Moja ya vitu vinavyofanya ni.kubali Ali Kiba au King Kiba ni kuwa na tabia za kiume..kutoongea sana, kutojionesha nk pamoja na mambo yoooote nashangaa sioni mkizungumzia jamaa kutaka kupewa uraia wa oman pamoja na kujengewa kasri lenye wafanyakaz 30 wataomubudumia maisha yake yote pamoja na kuwa anamlipa dollar 50000/= kila mwezi endapo tu atakubali ombi la mfalme wa Oman la kubadili uraia kutokana na mfalme huyo kukubali na kukoshwa na kipaji cha Ali Kiba baada ya kufuatilia show yake aloifanya huko Oman, ila navyojua suala hili lingekuwa upande wa pili mwezi mzima mitandao yote habari ingekuwa ni hiyo tu..na ndo maana hata mnaposema Kiba hana hela sina shaka coz naamini huenda siku akiamua kusema anavyomiliki kuna watu watapelekwa ICU nakumbuka hata ghorofa ya Tabata mlisema si yake...go on King bt usibadili uraia bwana we still need u..