TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Wataalam wa masuala ya ulinzi wa Rais hii kitu nimeona niilete tuone imekaaje, kutembea mguu mmoja ukiwa nje ya kiatu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan alihudhulia ibada ya Ijumaa katika msikiti mkuu wa Bakwata Kinondoni jijini Dar es Salaam hapo jana.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan alihudhulia ibada ya Ijumaa katika msikiti mkuu wa Bakwata Kinondoni jijini Dar es Salaam hapo jana.