Hili la mlinzi wa Rais kutembea mguu nje ikoje?

Hili la mlinzi wa Rais kutembea mguu nje ikoje?

Neno lako la mguu nje sijalielewa maana naona kama amevaa kiatu kilichofunika mguu
 
Aisee wadau mnachunguza.

Ila ni kama haijakaa poa, sijawahi kuona mlinzi wa raisi kavaa hivyo vinaitwa vibajaji sijui ni sawa yuko peku tu hapo.

Ndo tushaaminishwa analindwa sana, eti hata ukiwaza tu kumshambulia unadakwa 😂😂😂, aiseee.
 
mbona hamhoji kama ushungi aliovaa haukumzuia kuona 180°,hiyo kiatu B kwa ajiri ya kuvua fasta kuingia mosque na kuivaa fasta wakati wa kutoka,baada ya kuingia ktk gari kuna kiatu rasmi.

tuache majungu.
 
Mtoa mada ana point, alivyovaa hivyo inakuwa inamlit mwendo ikiwa atataka kuongeza kasi au kukimbia kwa ghafla
 
Naomba picha kwa nyuma ya Mlinzi aliyevaa Kibajaji ...Napenda sana wadada wa kiislam wakivaa hizo nguo halafu awe na mkia [emoji39][emoji39][emoji39]
 
Aisee wadau mnachunguza.

Ila ni kama haijakaa poa, sijawahi kuona mlinzi wa raisi kavaa hivyo vinaitwa vibajaji sijui ni sawa yuko peku tu hapo.

Ndo tushaaminishwa analindwa sana, eti hata ukiwaza tu kumshambulia unadakwa 😂😂😂, aiseee.
Licha ya hivyo amechomoa mguu na kukikanyagia hapo ndipo point ya mtoa mada ilipo
 
Hao walinzi basi, walinzi hasa wapo kwenye perimeter huko, hao mara kibao wanafeligi kuzuia attempts.
Wataalam wa masuala ya ulinzi wa Rais hii kitu nimeona niilete tuone imekaaje, kutembea mguu mmoja ukiwa nje ya kiatu.
View attachment 2241981

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan alihudhulia ibada ya Ijumaa katika msikiti mkuu wa Bakwata Kinondoni jijini Dar es Salaam hapo jana.
 
Nashangaa wewe umeuliza kiatu ila majibu sasa! Mara rusha jiwe blah blah
Masta afadhali wewe umeona shida kubwa iliyopo ya vijana wa New Age, wanasoma na kuandika yale ambayo akili zao zinawatuma!.
 
Back
Top Bottom