Sijaelewa. Ilitakiwa atembee mguu ukiwaje?!Wataalam wa masuala ya ulinzi wa Rais hii kitu nimeona niilete tuone imekaaje.
View attachment 2241981
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alihudhulia ibada ya ijumaa katika msikiti mkuu wa Bakwata kinondoni Jijini Dar es Salaam hapo jana.
Huo mrejesho atauleta akiwa India hospitali mana kipigo chake hakina tiba nchini.Kwani mlinzi ni yeye peke yake tu hapo?
Kama vipi jaribu kuingilia huo msafara kisha uje hapa ufungue thd ya kuleta mrejesho.
Kwanza huyo sio mwanamke....Wataalam wa masuala ya ulinzi wa Rais hii kitu nimeona niilete tuone imekaaje.
View attachment 2241981
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan alihudhulia ibada ya Ijumaa katika msikiti mkuu wa Bakwata Kinondoni jijini Dar es Salaam hapo jana.
🤣🤣🤣🤣Huo mrejesho atauleta akiwa India hospitali mana kipigo chake hakina tiba nchini.
Mkuu hapo hamna cha mie mkristo siingii msikitin...Wataalam wa masuala ya ulinzi wa Rais hii kitu nimeona niilete tuone imekaaje.
View attachment 2241981
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan alihudhulia ibada ya Ijumaa katika msikiti mkuu wa Bakwata Kinondoni jijini Dar es Salaam hapo jana.
Ondoa mashaka mkuu, ..ile kubazi ya mlimzi isikupe mawazoMkuu umeelewa nilichoandika?.
Walinzi ni hao huko nyuma hao wengine ni wapambe.Wataalam wa masuala ya ulinzi wa Rais hii kitu nimeona niilete tuone imekaaje.
View attachment 2241981
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan alihudhulia ibada ya Ijumaa katika msikiti mkuu wa Bakwata Kinondoni jijini Dar es Salaam hapo jana.
Ujinga wa Tweeter uacheni hukohukoHuo mguu unaona mbele hadi Km 100, ni zaidi ya binocular, pia unaona siraha, mabomu, hadi mawazo ya mtu akitaka kumshambulia raisi anaonekana na kushikwa chap.
Nadhani utakuwa umeridhika, au niongezee
Hahahahahahaha nimecheka kwa SautiKwani mlinzi ni yeye peke yake tu hapo?
Kama vipi jaribu kuingilia huo msafara kisha uje hapa ufungue thd ya kuleta mrejesho.
Huo mrejesho atauleta akiwa India hospitali mana kipigo chake hakina tiba nchini.