Hili la mlinzi wa Rais kutembea mguu nje ikoje?

Huo mguu unaona mbele hadi Km 100, ni zaidi ya binocular, pia unaona siraha, mabomu, hadi mawazo ya mtu akitaka kumshambulia raisi anaonekana na kushikwa chap.

Nadhani utakuwa umeridhika, au niongezee
Propaganda za Nyerere era. Eti Tz ilikuwa ya tatu kwa ujasusi nyuma ya USA na Cuba
 
Neno lako la mguu nje sijalielewa maana naona kama amevaa kiatu kilichofunika mguu
 
Aisee wadau mnachunguza.

Ila ni kama haijakaa poa, sijawahi kuona mlinzi wa raisi kavaa hivyo vinaitwa vibajaji sijui ni sawa yuko peku tu hapo.

Ndo tushaaminishwa analindwa sana, eti hata ukiwaza tu kumshambulia unadakwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, aiseee.
 
mbona hamhoji kama ushungi aliovaa haukumzuia kuona 180Β°,hiyo kiatu B kwa ajiri ya kuvua fasta kuingia mosque na kuivaa fasta wakati wa kutoka,baada ya kuingia ktk gari kuna kiatu rasmi.

tuache majungu.
 
Mtoa mada ana point, alivyovaa hivyo inakuwa inamlit mwendo ikiwa atataka kuongeza kasi au kukimbia kwa ghafla
 
Naomba picha kwa nyuma ya Mlinzi aliyevaa Kibajaji ...Napenda sana wadada wa kiislam wakivaa hizo nguo halafu awe na mkia [emoji39][emoji39][emoji39]
 
Licha ya hivyo amechomoa mguu na kukikanyagia hapo ndipo point ya mtoa mada ilipo
 
Hao walinzi basi, walinzi hasa wapo kwenye perimeter huko, hao mara kibao wanafeligi kuzuia attempts.
 
Nashangaa wewe umeuliza kiatu ila majibu sasa! Mara rusha jiwe blah blah
Masta afadhali wewe umeona shida kubwa iliyopo ya vijana wa New Age, wanasoma na kuandika yale ambayo akili zao zinawatuma!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…