Hili la mlinzi wa Rais kutembea mguu nje ikoje?

Huo mrejesho atauleta akiwa India hospitali mana kipigo chake hakina tiba nchini.
Kuna wakati unaweza kumheshimu mtu usiyemfaham kulingana na anavyo_apply agenda zake, ole nasema ole wake siku afungue mdomo kuongea, unaweza usiage ukaAct unaenda msalani kutokana na aibu!.
 
Kuna wakati unaweza kumheshimu mtu usiyemfaham kulingana na anavyo_apply agenda zake, ole nasema ole wake siku afungue mdomo kuongea, unaweza usiage ukaAct unaenda msalani kutokana na haibu!.
🥒 Kalia.
 
Uzi una details za kutosha na picha juu,
Cha ajabu codes hazifunguki.
 
Huo mguu unaona mbele hadi Km 100, ni zaidi ya binocular, pia unaona siraha, mabomu, hadi mawazo ya mtu akitaka kumshambulia raisi anaonekana na kushikwa chap.

Nadhani utakuwa umeridhika, au niongezee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1]
 
Anayelindwa mwenyewe anasemaje?
 
Walinzi wanatakiwa ku-blend in, siku ya uchaguzi usishangae kukuta wamevaa jezi ya CCM
 
Labda viatu vikubwa sasa akivaa sawa vinachomoka akaona akanyagie, ila si sawa na haipendezi hata kwa tusio wapambe kukanyagia viatu
 
Labda ni maelekezo ya kwenye Roho Tua ili kuvutia watalii.
 
Pale mwili unapokuwasha iwe rahisi kwake kukupapasa... Kukanyagia kiatu hakuna tatizo...
 
mbona hamhoji kama ushungi aliovaa haukumzuia kuona 180°,hiyo kiatu B kwa ajiri ya kuvua fasta kuingia mosque na kuivaa fasta wakati wa kutoka,baada ya kuingia ktk gari kuna kiatu rasmi.

tuache majungu.
Bila shaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…