Hili la Okrah na Dejan, Juma Ulifanyie Kazi

Hili la Okrah na Dejan, Juma Ulifanyie Kazi

Wachezaji wanaoongoza kwa uchoyo na kujijali wao wenyewe pale Simba Sc ni Sakho, Panda na Okrah, level ya uchoyo na UMIMI kwa hao jamaa ni kubwa sana.

Hii kitu ifanyiwe kazi. Na roho mbaya ni mbaya maan mwisho wa siku watakuwa wanaomba timu ifungwe Tu Ikiwa ni sehemu ya kukomoana.

Ila mtanisamehe Hii ni shida sana ya watu WAFUPI . Watu wafupi hii jamii ni shida sana. Hata kwenye maisha ya kawaida .they are always like that nimesha observe sana hii kitu

I am sorry for my language but I think kuna kaukweli. Ndio maana USA hawataki Rais Mfupi, they also focus na height za marais .
It matters sana.
Mbaya sana.
 
Kwahiyo wachezaji kutokua na nidhamu ndiyo inafanya kua timu ndogo? Yani ukishakua shabiki wa Simba au Yanga kuna kitu kinapungua kwenye uwezo wa kufikiria (unakua mpumbavu fulani hivi).

Attention to details. Small things matter a lot kama ulikuwa hujui. Simba is just under dog [emoji240]. Il inatumia media kulazimisha ukubwa
 
Kwenye Management kuna Theory ya Administrative Theory ambayo imeweka 6 Functions za Management na 14 principles of management . Theory hii hutumika jeshini na kwenye Intelligence Institutions kwa ajili ya UTII na Chain of Command.

Katika hizi 14 principles kuna Chain of command, Authority/ Power , Descipline na Unity of direction.

Ukiwa kama Manager na ukashindwa kusimamia hizi principles , that means wewe ni failure.

Juma inawezekana ni good manager lakini anakosa Fundamental Character Ethics za Management. Aende crush course.

Kitendo cha Dejan kulalamika kutopewa pasi na Okrah despite kwamba yupo kwenye better position Ina nullify Unity of Direction ya timu na kitendo cha kutaka kupigana ina maanisha manager ameshindwa ku executes na ku transfer authority au POWER yake Kama Manager. Kama wameweza Ku misbehaving mbele ya head coach , you can be sure kuwa something is wrong kwenye management ya Juma.

and that means , Kocha has poor management skills .

Mpira wa kisasa unawataka mawinga pia wawe wanashinda magoli hivyo imewapelekea kuwa SELFISH and that is really bad maana lengo la timu ni ushindi na Sio Individual success. Mchezaji kama Okrah hawezi kuwa ni msaada kwenye timu. He is all about himself and immaturity.

Gregory’s theory inasema by nature man is Self centered, so wakati mwîngine as a manager lazima uwe aggressive kuhakikisha kuna Descipline na Utii, otherwise you are going to fail

Klabu ya SIMBA ni kubwa, matukio kama haya yana question UKUBWA wa simba , kuwa hii ni Klabu kubwa au ni Klabu ya wahuni na wavuta Bangi ?

Juma, Hili lifanyie kazi lisijirudie tena .... inaharibu sana CV Yako katika Realms za Management as Head Coach. Hata hivyo kwa miaka 2 sasa benchi la ufundi la simba halina nidhamu. Na hii yote ni dhahiri kuwa failure kwenye management.

The chain of Command.... Order and Power must come from only one person and then it goes down following the chain to the lowest level. Hii kitu simba HAIPO . NI MAMBO YA AJABU NA HOVYO.

Simba, fundisheni Nidhamu wachezaji wenu hasa wale wanaoonekana are not well trained maana ya Team work !
——————
Nina wasiwasi kama watakuelewa kupitia hili somo muhimu kwao!
 
Kwenye Management kuna Theory ya Administrative Theory ambayo imeweka 6 Functions za Management na 14 principles of management . Theory hii hutumika jeshini na kwenye Intelligence Institutions kwa ajili ya UTII na Chain of Command.

Katika hizi 14 principles kuna Chain of command, Authority/ Power , Descipline na Unity of direction.

Ukiwa kama Manager na ukashindwa kusimamia hizi principles , that means wewe ni failure.

Juma inawezekana ni good manager lakini anakosa Fundamental Character Ethics za Management. Aende crush course.

Kitendo cha Dejan kulalamika kutopewa pasi na Okrah despite kwamba yupo kwenye better position Ina nullify Unity of Direction ya timu na kitendo cha kutaka kupigana ina maanisha manager ameshindwa ku executes na ku transfer authority au POWER yake Kama Manager. Kama wameweza Ku misbehaving mbele ya head coach , you can be sure kuwa something is wrong kwenye management ya Juma.

and that means , Kocha has poor management skills .

Mpira wa kisasa unawataka mawinga pia wawe wanashinda magoli hivyo imewapelekea kuwa SELFISH and that is really bad maana lengo la timu ni ushindi na Sio Individual success. Mchezaji kama Okrah hawezi kuwa ni msaada kwenye timu. He is all about himself and immaturity.

Gregory’s theory inasema by nature man is Self centered, so wakati mwîngine as a manager lazima uwe aggressive kuhakikisha kuna Descipline na Utii, otherwise you are going to fail

Klabu ya SIMBA ni kubwa, matukio kama haya yana question UKUBWA wa simba , kuwa hii ni Klabu kubwa au ni Klabu ya wahuni na wavuta Bangi ?

Juma, Hili lifanyie kazi lisijirudie tena .... inaharibu sana CV Yako katika Realms za Management as Head Coach. Hata hivyo kwa miaka 2 sasa benchi la ufundi la simba halina nidhamu. Na hii yote ni dhahiri kuwa failure kwenye management.

The chain of Command.... Order and Power must come from only one person and then it goes down following the chain to the lowest level. Hii kitu simba HAIPO . NI MAMBO YA AJABU NA HOVYO.

Simba, fundisheni Nidhamu wachezaji wenu hasa wale wanaoonekana are not well trained maana ya Team work !
——————
Hii ni nguvu kubwa kuliko tukio
 
Kwahiyo wachezaji kutokua na nidhamu ndiyo inafanya kua timu ndogo? Yani ukishakua shabiki wa Simba au Yanga kuna kitu kinapungua kwenye uwezo wa kufikiria (unakua mpumbavu fulani hivi).
Kwanza kubishana Wachezaji ni ukosefu wa nidhamu?
Sadio Mane alimlalamikia vibaya vinaya Mohammed Salah baad ya kunyimwa pasi hadi akapoozwa na Kocha wao Jurgen Klopp. Kama Mane na Salah ambao ni true professionals wanadaiwa kutokuwa na nidhamu kwa tafsiri yenu, itakuwaje kwa wa kwetu?
 
Kwahiyo wachezaji kutokua na nidhamu ndiyo inafanya kua timu ndogo? Yani ukishakua shabiki wa Simba au Yanga kuna kitu kinapungua kwenye uwezo wa kufikiria (unakua mpumbavu fulani hivi).
Kwanza kubishana Wachezaji ni ukosefu wa nidhamu?

Sadio Mane alimlalamikia vibaya vinaya Mohammed Salah baad ya kunyimwa pasi hadi akapoozwa na Kocha wao Jurgen Klopp.

Kama Mane na Salah ambao ni true professionals wanadaiwa kutokuwa na nidhamu kwa tafsiri yenu, itakuwaje kwa wa kwetu
 
descipline
😅😅😅
Nimemwambia ajifunze Kiingereza kwanza. Mtu hajui hata cha kuandika halafu anajifanya kutoa comments.

Kugombana Wachezaji ni kawaida tuu. Mwaka jana Christiano Ronaldo alim mind sana Mason Greenwood baada ya dogo Greenwood kutompa pasi. Naona Ronaldo hana nidhamu. Ni mambo ya kawaida sana katika mpira. Nashangaa linakuwa blown out of proportion
 
Attention to details. Small things matter a lot kama ulikuwa hujui. Simba is just under dog [emoji240]. Il inatumia media kulazimisha ukubwa
Ni under dog ukiwafananisha na kina nani ?
 
Hii kitu ifanyiwe kazi. Na roho mbaya ni mbaya maan mwisho wa siku watakuwa wanaomba timu ifungwe Tu Ikiwa ni sehemu ya kukomoana.

Ila mtanisamehe Hii ni shida sana ya watu WAFUPI . Watu wafupi hii jamii ni shida sana. Hata kwenye maisha ya kawaida .they are always like that nimesha observe sana hii kitu

I am sorry for my language but I think kuna kaukweli. Ndio maana USA hawataki Rais Mfupi, they also focus na height za marais .
It matters sana.
Mbaya sana.
Ufupi sio ulemavu
 
Umechambua kisomi ......

Acha niongezee hapo kwenye Henry fayol aka mzee wa 14 principles

Teamwork

Order


Chain of authority

Chain of command

Unity of direction
 
Mgunda hana uwezo wa ku-manage mastaa wakubwa ,why? Hajawahi kufundisha mpira katika klabu kubwa zaidi ya simba. Simba ndiyo klabu yake khbwa ya kwanza kuifundisha, hajawahi kushiriki kuifikisha timu katika hatua hizi kubwa za CAF champions league. Ni wazi kuwa timu itamsumbua.

Simba inahitaji makocha wapya wa kizungu kutoka ulaya. Makocha ambao wamefundisha vilabu vikubwa ulaya au afrika. Kocha kama katoka klabu kubwa za ulaya au hapa Afrika akifika simba hawezi kupata tabu nayo.

Pia waafrika tumejengeka kuwadharau waafrika wenzetu, ipo hivyo ila akija kocha mwarabu au mzungu basi wachezaji wote watatii kama ilivyokuwa kwa babu Zoran Maki.
 
Nimemwambia ajifunze Kiingereza kwanza. Mtu hajui hata cha kuandika halafu anajifanya kutoa comments.

Kugombana Wachezaji ni kawaida tuu. Mwaka jana Christiano Ronaldo alim mind sana Mason Greenwood baada ya dogo Greenwood kutompa pasi. Naona Ronaldo hana nidhamu. Ni mambo ya kawaida sana katika mpira. Nashangaa linakuwa blown out of proportion

What is English by the way ? Halafu unakuta mtu kama wewe huwezi kusimama na kujipambanua kwa kingereza hata kwa dakika tano tu.

Focus na contents Sina shida na English ni mtazamo wako na fault-Finder.

After all hii Forum ni ya kutoa mawazo HURU na sio ya kuoneshana who is better In English. Ndio maana sina haja ya Kufanya proofreading kutoa hayo makosa unayoyaona wewe kamtu.

Simba ni under dog na hamuwezi kwenda kokote. Mkajifujze management kwanza na maana ya UKUBWA na probably wewe ni short guy. Pole!
 
Umechambua kisomi ......

Acha niongezee happy kwenye Henry fayol aka mzee wa 14 principles

Teamwork

Order


Chain of authority

Chain of command

Unity of direction

Upo vizuri. Sasa haya mambo wanatakiwa kuyajua. Mpira sio Media. Ukubwa wa simba Upo kwenye Media lakini the reality on the ground is always different. SSC haina Characters za kujiita TIMU KUBWA.

Ikiwa Wachezaji timu moja wenye Focus moja wanapigana mbele ya Head Coach Hiyo ni Timu ya Wahuni na wavuta Bangi
Hakuna nidhamu
 
Back
Top Bottom