Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Kulikuwa na haja ya kunuku uzi wote huu?Inaonekana JPM hakufuatilia kesi ya kina Zombe & co. na hawajui sawa sawa polisi wetu!!! Napata woga sana!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulikuwa na haja ya kunuku uzi wote huu?Inaonekana JPM hakufuatilia kesi ya kina Zombe & co. na hawajui sawa sawa polisi wetu!!! Napata woga sana!!!!
Nafikiri kitufe cha "r" ndo kina shida!Mkuu we ni mtu wa tanga? Maana hapo nimeona Uingeeza....ukimaanisha Uingereza,Maekani.....ukimaanisha.....Marekani na askai.....nadhani hapo ulikuwa unamaanisha askari
Mkuu kama ni organized crime anawafanya police kuwa target kwa majambazi. Hawa wanaofanya hizo organized crimes they are well trained, wengi ni ex police or para military officers na wao wamemsikia nao watajiandaa kukabiliana kujilinda na mauti. Mimi wasiwasi wangu uko kwa police wetu. Uelewa wao katika hili, Wengi wasivyowaelewa wanaweza kutumia fursa hii kuuwa innocent people kwa kisingizio cha ujambazi ili wapande vyeo.Mkuu, kinachoongelewa ni majambazi kutumia silaha na kupora kwenye mabenki na majumbani mwa watu.
Rejea lile tukio la Salasala ambapo raia mwema mwenye fedha zake alipigwa risasi kama nguruwe pori na kisha begi la pesa zake kuchukuliwa.
Tunazungumzia "serious organised crimes" wa kutumia silaha na sio wizi wa kuku.
Mkuu kama ni organized crime anawafanya police kuwa target kwa majambazi. Hawa wanaofanya hizo organized crimes they are well trained, wengi ni ex police or para military officers na wao wamemsikia nao watajiandaa kukabiliana kujilinda na mauti. Mimi wasiwasi wangu uko kwa police wetu. Uelewa wao katika hili, Wengi wasivyowaelewa wanaweza kutumia fursa hii kuuwa innocent people kwa kisingizio cha ujambazi ili wapande vyeo.
Askakari wanawajua hao wote. but its one deal wangapi wanatoa taarifa kwa polisi lakini mambo hayafuatiliwi. hao wanakula polisi wetu kijumla .mkuu sana Pasco baada ya kusoma maelezo yako, nimegundua bado haujajua ugumu wanaokutana nao polisi wakati wa kupambana na majambazi wenye silaha. Kwenye mapambano yeyote anaweza kuuawa jambazi au askari. Kauli ya kuwanyang'anya majambazi silaha, lengo lake ni kuwaondoa hofu askari. Lakini majambazi wanaoua watu bila hatia, wakinyang'anywa silaha hata wewe utakua na amani kwa usalama wako.
Bwana Pasco
Nimejua kwamba wewe sio mtumishi wa idara za ulinzi na usalama na ndio maana kauli hii kidogo imekua ngumu kuielewa..
Maana ya kauli ile kwa walengwa yaani polisi na vyombo vingine nya ukinzi na usalama, tayari wameelewa maana iliopo ndani ya maana halisi ya kauli.
Kwahyo nikuambie tu tafsiri ulioipata sio hiyo iliomaanishwa, that statement is beyond the focus to interpret to an ordinary citizen.
Lakini kwa wapiganaji unasema "Tutatekeleza afandeeee".
Over and out
Mkuu mimi sio allie wa siasa ila nimejaribu kumuambia akiwa kama raia wa kawaida hawezi elewa raha na utamu wa kauli jinsi itakavyorahisisha kazi.Mkuu, hoja imeeleweka vizuri ila Pasco na kundi lake wanatumwa kupotosha.
Kilichobakia ni kitu kimoja tu ama unaungana na jitihada za raisi au unazipinga kwa kutumia mbinu mbalimbali.
Maneno na vitendo ni vitu viwili tofauti kuitikia sio kutenda.Bwana Pasco
Nimejua kwamba wewe sio mtumishi wa idara za ulinzi na usalama na ndio maana kauli hii kidogo imekua ngumu kuielewa..
Maana ya kauli ile kwa walengwa yaani polisi na vyombo vingine nya ukinzi na usalama, tayari wameelewa maana iliopo ndani ya maana halisi ya kauli.
Kwahyo nikuambie tu tafsiri ulioipata sio hiyo iliomaanishwa, that statement is beyond the focus to interpret to an ordinary citizen.
Lakini kwa wapiganaji unasema "Tutatekeleza afandeeee".
Over and out
Mkuu mimi sio allie wa siasa ila nimejaribu kumuambia akiwa kama raia wa kawaida hawezi elewa raha na utamu wa kauli jinsi itakavyorahisisha kazi.
Kauli ikiotolewa ni ahueni kwa walengwa ila wasiojua maana ya kauli ile mtajua nikumfata jambazi umbusu akuoe bunduki lahasha, ndio tofaut ya ccp na ifm.Maneno na vitendo ni vitu viwili tofauti kuitikia sio kutenda.
Ukitaka kuwajua polisi wetu uwe na kesi. they after money.jamani mwacheni Mtukufu malaika