Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

mkuu sana Pasco baada ya kusoma maelezo yako, nimegundua bado haujajua ugumu wanaokutana nao polisi wakati wa kupambana na majambazi wenye silaha. Kwenye mapambano yeyote anaweza kuuawa jambazi au askari. Kauli ya kuwanyang'anya majambazi silaha, lengo lake ni kuwaondoa hofu askari. Lakini majambazi wanaoua watu bila hatia, wakinyang'anywa silaha hata wewe utakua na amani kwa usalama wako.
Hapo amefungulia mbwa kwani askari watawaua watu waliobeba fedha na madini kwa kutumia mwanya wa 'kuruhusiwa kunyang'anya silaha'. Rejea mauaji ya wafanyabiashara wale wa Morogoro pale ukuta wa Posta, unaambiwa jinsi polisi walivyonyang'anyana fuko la fedha, ilikuwa aibu
 
Unaandika maandishi meengi na marefu wakati ungeweza kuyafupisha tu, Raisi Magufuli anatumia metaphor anachokisema kina mlengwa na mlengwa siku zote huelewa raisi anamaanisha nini, nitakupa mfano Raisi alivyosema kwamba wanaotumia br. ta DART wakamatwe na magari yao yang'olewe matairi sasa hiyo ni metaphor na wahusika walielewa alichomaanisha kwamba wachukuliwe sheria kali lkn watu mkafanya ikawa ishu kuuubwa wkt ni kitu kidogo tu lkn matokeo yake leo hii wanaovunja hii sheria ni wachache na watu wameanza kustaarabika!

Hivyo raisi Magufuli ni kipimo cha IQ TanZania asiyemuelewa ni kwamba IQ yake haitoshi ni rahisi kihivyo tu ndiyo maana unaona watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri kama Mbowe, Msigwa, Sugu &Co. wanapata shida sana kumuelewa raisi anachomaanisha, watu kama ninyi mmezoea mtu awape jibu kwamba 2 +5 =7 lkn akikwambia kinyume na hapo unashindwa kupata jibu na ndiyo maana mnakuja na tafsiri zenu za ajabu ajabu lkn leo hii ukienda kuongea na wahusika wakuu wa Askari wetu watakwambia Raisi alichomaanisha, na kazi itafanyika na matokeo yataonyekana wote tutakuwa mashahidi!
Dah wewe nawe ni shida tupu. Kwa hiyo una maana kuwa IQ ya huyu mgeshimiwa ndo top. Mimi nafikiri una shida kubwa ya uelewa ndo maana hukumwelewa pasco. Kwa maoni yangu raisi anapaswa kuwa makini katika kauli zake asije zua sintofahamu ya uelewa inayoweza kuwafanya askari wetu watumia agizo hilo vibaya. Unahitaji IQ ya wastani tu kuelewa kuwa kwa matamko kama haya usalama wa raia na wananchi unabakia kuwa nadharia tu. Ushauri wangu ni kwamba askari wafanye kazi zao kwa kuzingatia sheria au sheria zibadilike ili kuendana na matamko ya mkuu wa nchi.
 
Sina U hakika na namna ambavyo watafanya kuwanyang'anya kama walikuwa wakadhindwa kuwsnyang'anya mapanga na marungu kwenye vituo vyao. Labda kama kuna maana tofauti
 
Nitangulie kusema nimestushwa na kauli ile hadi nikasahau kuianzishia mjadala. Asante Pasco kwa kuniwahi.
Barbarossa utuambie, toka lini baba yako akakupa assignment ya kufanya through metaphor? Labda hukuishi na baba ndio maana hutojibu. Rais ni baba, tena mkali. Akisimama kusema jambo tunatakiwa kuwa very attention kusikiliza maneno yote bila kuacha. Na akisema anamaanisha. Na hii no amri ambayo uliagizwa kuitekeleza huwezi kumkatisha kauli na kumwambia hapo siwezi.
Hili LA kutuambia polisi akikuona na toy LA silaha akumalize halijakaa njema hats kidogo. Ni hatari Sana kwa usalama wetu. Hebu fikiri MNA bifu na polisi itakuwaje akiamua kuumaliza ugomvi huo kwa staili ya kuua jambazi? Ni kweli hawajui polisi wetu na visa vyao huku mtaani. Watatumaliza. Hugo anayesema habari za metaphor hajui Maana ya kauli za rais. Kwa matamko haya tutakwisha kwa risasi nyingi za polisi.

Mkuu, ndio maana kuna askari kanzu, CID na wengine mabarabarani ili kusaidia "smooth operation".

Hivyo kama eneo fulani umetokea ujambazi basi polisi watafanya response kulingana na situation ya mahala husika.

Hivyo hatuwezi jua IGP Mangu amejipanga vipi.

Miaka ya 80 wakati wa IGP Solomon Riyani, D'Vaz na Mahundi kulikuwa na strategy inayoeleweka, ndio maana naona kama Mangu hana siku nyingi vile maana mkulu kaweka KPIs kila ofisi.
 
Dah wewe nawe ni shida tupu. Kwa hiyo una maana kuwa IQ ya huyu mgeshimiwa ndo top. Mimi nafikiri una shida kubwa ya uelewa ndo maana hukumwelewa pasco. Kwa maoni yangu raisi anapaswa kuwa makini katika kauli zake asije zua sintofahamu ya uelewa inayoweza kuwafanya askari wetu watumia agizo hilo vibaya. Unahitaji IQ ya wastani tu kuelewa kuwa kwa matamko kama haya usalama wa raia na wananchi unabakia kuwa nadharia tu. Ushauri wangu ni kwamba askari wafanye kazi zao kwa kuzingatia sheria au sheria zibadilike ili kuendana na matamko ya mkuu wa nchi.


Raisi Magufuli anatumia metaphor hivyo wahusika wameshamuelewa alichomaansiha na ambao hawajamuelwa ni kwamba IQ haitoshi, ni rahisi kihivyo tu!
 
Ni wakati wa kutekeleza sheria ipasavyo kwa wanaovunja sheria! Watanzania tumelea uzembe kwa muda mrefu wakati huohuo kila mtu analalamikia utekelezaji hata wanaowajibika kutekeleza nao wanalalamika.

Rais Alichokisema na kuagiza ni sahihi kabisa. Mwisho wa kuunda kamati za kuchunguza uovu umefika, ni wakati wa vyombo vilivyoundwa Kikatiba na kisheria kutekeleza wajibu wao bila kigugumizi.
 
Kwani waliowafuga hao majambazi ni akina nani? Utawala ulikuwa chini ya chama gani? Nadhani kuna haja ya kuwa wawazi na pale inapogundulika kwamba tulikosea ni vyema tukili tu ili yaishe
 
Raisi Magufuli anatumia metaphor hivyo wahusika wameshamuelewa alichomaansiha na ambao hawajamuelwa ni kwamba IQ haitoshi, ni rahisi kihivyo tu!



Wewe tetea utumbo tu siku yalikukuta ndo utajua metaphor

Hujui polisi wa kibongo wewe
 
Kuna kitu inaitwa wrong time at the wrong place!au misinformation ukakuta mmelimwa shaba hata msiohusika hapo ndo shida itapokuwepo.askari wenyewe sio waelewa wanataka sifa wataua hadi wasiousika kwa ukiraza wao wa std7
 
Barbarosa unataka kutuambia Magufuli amekuwa Yesu, sasa anaongea in 'parables'?
Ok, sio mbaya kama Injinia wetu ameamua kuongea kwa 'codes'
Mtupe na sisi hizo code tuwe tunaelewa.
Yani, haki ya nani, watumishi wa umma tripu hii watakoma.
Unapewa order kwa 'metaphor'!!

Paul Alex nadhani wewe ni mmoja wa wale wa Barbosa. JPM anaongozwa na Katiba ya nchi. Matamushi yake (ambayo ni maagizo) ni kusisitiza uwajibikaji ndani ya sheria.

Tuamini Jeshi la Polisi linaongozwa na binadamu na siyo Robot.

Waliokuwa wakitenda uhalifu kana kwamba hakuna mkono wa sheria mwisho wao sasa.
 
Enzi za akina Mussolin naona zinarudi kwa kasi sana hapa Bongo. Dah! Tuombe Mungu yasitukute ya kule Kuwait sijui Iraq, aaah! Kumbe ni Libya.
 
Kauli ikiotolewa ni ahueni kwa walengwa ila wasiojua maana ya kauli ile mtajua nikumfata jambazi umbusu akuoe bunduki lahasha, ndio tofaut ya ccp na ifm.
Ndugu yangu mimi najua na nina minafahamu na nina mambo mengi ya police international na hapa kwetu polisi ukifika
wanaangalia uko vp maswali mengi wakijua wewe mambo yako safi
Hapo amefungulia mbwa kwani askari watawaua watu waliobeba fedha na madini kwa kutumia mwanya wa 'kuruhusiwa kunyang'anya silaha'. Rejea mauaji ya wafanyabiashara wale wa Morogoro pale ukuta wa Posta, unaambiwa jinsi polisi walivyonyang'anyana fuko la fedha, ilikuwa aibu
Ni kweli uongo wa polisi unakubalika. Ukweli wa raia haukubali.
 
Kwakuwa hauna ndugu au jamaa yako wa karibu alieuawa na majambazi utaona kama JPM anakosea,

Jambazi anaekuja na silaha ana nia moja tu ya kukudhuru, sasa mtu kama huyo sio wa kumuacha
Vile vile haufahamu ugumu wanaokutana nao askari pindi akikabiliana na majambazi.
Polisi akiua jambazi anasimama mahakamani, akimuaacha anakufa yeye.
 
Unaandika maandishi meengi na marefu wakati ungeweza kuyafupisha tu, Raisi Magufuli anatumia metaphor anachokisema kina mlengwa na mlengwa siku zote huelewa raisi anamaanisha nini, nitakupa mfano Raisi alivyosema kwamba wanaotumia br. ta DART wakamatwe na magari yao yang'olewe matairi sasa hiyo ni metaphor na wahusika walielewa alichomaanisha kwamba wachukuliwe sheria kali lkn watu mkafanya ikawa ishu kuuubwa wkt ni kitu kidogo tu lkn matokeo yake leo hii wanaovunja hii sheria ni wachache na watu wameanza kustaarabika!

Hivyo raisi Magufuli ni kipimo cha IQ TanZania asiyemuelewa ni kwamba IQ yake haitoshi ni rahisi kihivyo tu ndiyo maana unaona watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri kama Mbowe, Msigwa, Sugu &Co. wanapata shida sana kumuelewa raisi anachomaanisha, watu kama ninyi mmezoea mtu awape jibu kwamba 2 +5 =7 lkn akikwambia kinyume na hapo unashindwa kupata jibu na ndiyo maana mnakuja na tafsiri zenu za ajabu ajabu lkn leo hii ukienda kuongea na wahusika wakuu wa Askari wetu watakwambia Raisi alichomaanisha, na kazi itafanyika na matokeo yataonyekana wote tutakuwa mashahidi!
Mwambie Pasco aache fitina juu ya magu. Kama hakukuelewa Basi tu
 
Ndugu yangu mimi najua na nina minafahamu na nina mambo mengi ya police international na hapa kwetu polisi ukifika
wanaangalia uko vp maswali mengi wakijua wewe mambo yako safi

Ni kweli uongo wa polisi unakubalika. Ukweli wa raia haukubali.
Sawasawa
 
Back
Top Bottom