Uchaguzi 2020 Hili la Sheikh Ponda liacheni. Hatua ya Ponda ni kwa maslahi ya Waislam na Watanzania

Uchaguzi 2020 Hili la Sheikh Ponda liacheni. Hatua ya Ponda ni kwa maslahi ya Waislam na Watanzania

Kwamba teuzi ni za upendeleo ?ni kweli Samia Suluhu (Makamu) ,Majaliwa Kasim(waziri Mkuu) ,Suleman Jafo(tamisemi) ,Mwinyi (ulinzi) hao wote ni Wakristo inauma sana yani tena ngazi za juu kabisa hata Jaji Mkuu wa Tanzania ni Mkristo hapa Lazima tutupe Lawama kwa Raisi John Magufuli maana walifungwa kwenye Utawala wake walitolewa Bara wakapelekwa Visiwani nakufungwa tunataka mapadre wetu waachiwe maana hata Raisi Mstaafu alikuwa Mkristo,mwaka huu tunatembea na Haki hatutaki Amani.
Mwnye akili anaelewa Libya haina Amani haki gani waliyonayo zaidi ya machafuko.

Mimi nitatembea na JPM
Hao wote ulio wataja ni makafiri tu ila wnajiita Waislam Mwislam gani anaweza kusimamia uchafu wa Magu kupiga Shangazi kudhulumu mali kutoa uhai watu hovyo dhuluma?
 
..Haki ingekuwepo Mashehe wasingeendelea kukaa mahabusu bila kufikishwa mahakamani.

..Haki ingekuwepo kungekuwa na uwanja sawa ktk shughuli za vyama vya siasa nchini.

..Haki ingekuwepo wagombea wa vyama mbadala wasingekuwa wanaenguliwa kihuni na wasimamizi makada wa ccm.

..Haki ingekuwepo wananchi wa kusini wasingenyang'anywa korosho zao kwa amri ya kidikteta ya Magufuli.

..Haki ingekuwepo wananchi tungekuwa na mamlaka zaidi ya kuamua kuhusu vipaumbele vyetu vya maendeleo.
Duh asee kwa hiyo baada ya uchaguzi tuanze kelele tena za mikutano kaz zisimame huku wao wanapata ruzuku .
Zitto alikuwa haongei ?
Mbowe kaongea mara ngapi hata kwenye misiba.!
Ukitaka mkutano toa taarifa mbona iliwekwa wazi tu.
Swala korosho una ushahidi kuwa zilivyochukuliwa wote hawakulipwa ?na ulifanya reseach kulijua hilo na kumbe Rais alifanya kosa kuwatetea kuhusu bei ya korosho dah kweli shukrani za punda ni mateke ila kama hawakulipwa waliporwa basi hakika utashuhudia ushindi wa JPM nakuombea Mungu akuweke,japo najua kangomba pia walikwazwa na huo utaratibu .
Naomba usiniquote maana sitakujibu kesho tunaamkia Korogwe kazi ni nyingi Allamsik
 
Duh asee kwa hiyo baada ya uchaguzi tuanze kelele tena za mikutano kaz zisimame huku wao wanapata ruzuku .
Zitto alikuwa haongei ?
Mbowe kaongea mara ngapi hata kwenye misiba.!
Ukitaka mkutano toa taarifa mbona iliwekwa wazi tu.
Swala korosho una ushahidi kuwa zilivyochukuliwa wote hawakulipwa ?na ulifanya reseach kulijua hilo na kumbe Rais alifanya kosa kuwatetea kuhusu bei ya korosho dah kweli shukrani za punda ni mateke ila kama hawakulipwa waliporwa basi hakika utashuhudia ushindi wa JPM nakuombea Mungu akuweke,japo najua kangomba pia walikwazwa na huo utaratibu .
Naomba usiniquote maana sitakujibu kesho tunaamkia Korogwe kazi ni nyingi Allamsik

..mbona Magufuli alikuwa anafanya mikutano nchi nzima akiropokwa na kudhalilisha wanawake? Je, kazi zilisimama?
 
Hao wote ulio wataja ni makafiri tu ila wnajiita Waislam Mwislam gani anaweza kusimamia uchafu wa Magu kupiga Shangazi kudhulumu mali kutoa uhai watu hovyo dhuluma?
Shida yenu ndugu zetu mnajionaga wasafi sana Mtu akionekana yupo na urafiki wa upande wa pili wakati hata wewe unakula Tigo kwa mke wako na unafuga majini ndio mana mnapenda sana Lissu apewe chapuo na hata mfalme wa Morroco kuwajengea msikiti kwa ombwe la Rais mnachukia maana hata nyinyi mmegawanyika usifikiri hatujui.
 
Shida yenu ndugu zetu mnajionaga wasafi sana Mtu akionekana yupo na urafiki wa upande wa pili wakati hata wewe unakula Tigo kwa mke wako na unafuga majini ndio mana mnapenda sana Lissu apewe chapuo na hata mfalme wa Morroco kuwajengea msikiti kwa ombwe la Rais mnachukia maana hata nyinyi mmegawanyika usifikiri hatujui.

..umeshindwa hoja sasa umeishia kutukana.
 
Ila tuseme ukweli! Ile kauli ya Ponda eti Raia wailazimishe tume ya Uchaguzi kumtangaza Lissu kua Raisi ni ya vitisho na Uchochezi!!
Watu washaanza kutamka kauli zaidi ya hiyo goli la mkono mama samia juzi nae katoka na Boko hata tukishindwa hatutoki hizi sio kauli za uchochezi uchaguzi unafanyika wa nini sasa...
 
Kusema ukweli Sh Ponda kashatufungua macho waislamu wengi wanamuamini 90% kuliko Bakwata, akiendelea hizi siku zilio baki za kampeini, CCM ni kwaheri, kumbukeni CCM kwa mda mrefu imetumia ignorance ya waislamu kozoa kura zao, tena kumbukeni waislamu tuko 60% ya watanzania.......na tuna Imani na Ponda kuliko Bakwata
Waislamu wapo 80%
Kumbuka wanazaana sana.

Na wote wanamuamini sana sheikh ponda.

Yani mwaka huu lazima tuingie kitaaa.

Takbiiiiiiri.
 
Kwenu Masheikh na wahadhiri wetu
Nawasalimien Assalam Aleikum.

Jana mmefanya press conference, mmezungumza na kutoa kauli yenu kuhusu hatua ya Sheikh Ponda kusimama na kuwataka Waislamu na wananchi wamchague mheshimiwa Lissu katika uchaguzi huu.

Mmepinga vikali kauli yake kuwa Waislamu wamekubaliana kumchagua Ndugu Lissu katika uchaguzi huu, naomba niwakumbushe yafuatayo.

1. Je, mnafahamu kuwa kuna waraka wa shura ya maimamu unaoelezea mtu gani anafaa kuchaguliwa?
Kabla hamjamuita Sheikh Ponda muongo kwamba eti waislamu hawana makubaliano juu ya mtu gani wa kumchagua, ningependa muurejee waraka wa majuzi wa shura ya maimamu, umetoa orodha ya Sifa nyingi sana za mtu anayefaa kuchaguliwa sifa mojawapo awe mtu anayependa HAKI.

Sasa nyie Masheikh wetu hebu tuambieni, kama kwenye waraka wa Shura maimamu wamekemea suala la kutokuwepo kwa haki nchini katika utawala huu wa rais Magufuli, hapo Shura ya Maimamu ina maana gani inaposema waislamu wachague mtu wa HAKI?, Kiufupi shura inaelezea kuhusu kubadili utawala kwenye uchaguzi huu na hicho ndicho Sheikh Ponda anachokifanya sasa hivi, Yaani kujaribu kusimamia azimio la Shura la kuondoa utawala wa dhulma na kuleta nchini utawala wa HAKI. Waislamu tunasimama na wapenda haki wote nchini bila kujali dini zao.

2. Wahadhiri na Masheikh wetu mmeonyesha double standard
Kwenye hiyo press conference mliyofanya hapo jana, mlikuwa chumba kimoja na Masheikh wanaoipigia kampeni CCM waziwazi, mlikuwa na Alhadi (huyu siyo sheikh anyway ni mjanjamjanja tu aliyesoma dini), Pia alikuwepo Sheikh Majini, wote hawa wameipigia kampeni CCM waziwazi, Tena huyo Alhadi amefanya kufuru kubwa kwa kuomba kwa jina la asiye ALLAH, na mnafahamu Qur'an imefundisha nini kuhusu wale wafanyao shirki wana hukumu gani mbele ya ALLAH.

Kwenye hiyo press conference nilitegemea Ustaadh Mazinge umpe kwanza huyo Alhadi vifungu vya Bible na Qur'an kuonyesha kuwa amekosea kwa sababu wewe ni mtaalamu wa elimu ya Comparative religions (yaani malinganisho ya dini mbalimbali kwa kutumia vitabu vyao) na tunakupenda na kukuheshimu sana kwa kazi uliyoifanya kwa Takriban zaidi ya miaka 25 sasa. Tulitegemea umuambie Alhadi auombe radhi umma wa Waislamu kwa kuidunisha dini yetu, wakati inapaswa iwe juu na kusiwepo kuchanganya haki na batili hata kidog katika dini. Sasa utamnyoosheaje Kidole Ponda wakati pembeni yenu wamekaa wakosaji wa wazi?

3. Waislamu tunaumizwa sana na Masheikh wetu walioko jela kiuonevu
Leo hii sisi ni wakiwa, Masheikh wetu wako jela, wako jela Dar, Arusha, Mtwara, wako Jela kila mahali. Sisi waumini tunaumia, nyoyo zetu zimepigwa ganzi, tumejishika tama, tunahuzunika sana. Ni nani atakayetufundisha neno la ALLAH, ni nani atakayetupa faraja ya mtume wetu, ni nani atakayetufundisha mema tupate faida za duniani na mbinguni kama siyo Masheikh wetu walio jela?. Wamewekwa ndani na serikali ya CCM, wananyakuliwa mmoja mmoja kama mwewe anyakuavyo kifaranga na kuswekwa ndani. Sasa kweli nyie wahadhiri Mnamnyooshea kidole Ponda mtu anayetaka aingie madarakani mtu wa HAKI ili awatoe jela Masheikh wetu?.
Uislamu umefundisha, ukiona Jambo baya liondoe kwa mkono wako, ukishindwa kemea, na ukishindwa hata kukemea basi chukia, ila hiyo option ya mwisho ni udhaifu wa Imani. Hebu nyie wahadhiri wetu mnaomnyooshea kidole Sheikh Ponda leo, Mmekemea lini mbele ya hadhara ya Watanzania suala la Masheikh wetu kukaa ndani bila haki?

4. Sheikh Ponda yuko sahihi, hatua yake ni kwa maslahi ya umma wa kiislamu
Katika nchi hii vyama vya siasa, chaguzi na haki za kikatiba ni vitu halali na vya kisheria. Ni mfumo wa kubadili uongozi ili kila mtu au kundi fulani la jamii kuweka utawala ambao wanahisi watanufaika au kupata ahueni, fursa na manufaa fulanifulani. Napenda kuwafahamisha wahadhiri wetu kuwa kumekuwepo kilio katika jumuia za kiislamu kuhusu Udini wa wazi katika awamu hii, Shura ya maimamu ilitoa waraka wenye kuonyesha kisayansi kabisa teuzi zilizofanywa na awamu hii zinavyonuka udini. Teuzi zimelalia upande wa imani moja mpaka aibu almost kwa uwiano wa 80:20.

Haya kwanza kabisa aliyakemea Sheikh Khalifa na baadae Shura ya maimamu ikatoa waraka mzito, wa kishujaa na wa kukumbukwa juu ya jambo hili. Sasa kwa ubaguzi huu wa dhahiri kabisa usio na aibu nyie wahadhiri wetu mnaanza kumpiga mishale mtu ambaye anatumia taratibu halali zilizoko nchini ili kusimika utawala utakaotenda haki kwa wote?

Hatua anayoichukua leo Sheikh Ponda ni hatua kama ambazo Masheikh wetu walichukua kumsaidia Nyerere ili kumtoa mkoloni ili kusimika utawala mpya utakaoheshimu maslahi yao na haki yao. Sheikh Ponda hana tofauti na masheikh akina Tambaza, Ramia, Chaurembo na wengineo waliosimama bega kwa bega na Nyerere kung'oa utawala dhalimu na kuleta utawala wa haki.

5. Masheikh na wahadhiri wetu tunaomba mtuache, tarehe 28 tuna jambo letu
Dhulma huondolewa kwa mkono na kauli. Kauli yetu ni HAKI, UHURU na MAENDELEO YA WATU na mkono wetu ni Kura zetu. Tunawaomba wahadhiri wetu mtuache, hii ni nafasi adimu na adhimu ya kuondoa Dhulma na Uonevu katika nchi. Huyu Tundu Lissu anayetetea haki zetu Si Muislamu lakini ni Mtu wa Haki, huyu hana tofauti na Annaajashi (King Negus of the ancient Ethiopia), alikuwa ni Mfalme Mkiristo lakini mpenda Haki na muadilifu, huyu ndiye aliyeunusuru Uislamu na Waislamu kwa kuwapa hifadhi katika himaya yake wanafunzi wa mtume waliokimbia mateso na manyanyaso ya wapagani wa Makka. Tundu Lissu ni mkiristo mpenda haki, huyu ndiye anayetufaa na siyo yule ambaye hatupi nafasi za kutosha kwenye serikali yake halafu anatuhadaa kutujengea misikiti, lini sisi tumewahi kuwa na shida ya kujengewa msikiti na mtawala?. Sisi Shida yetu ni HAKI, UHURU na MAENDELEO YA WATU!

Mwisho kabisa nitoe nasaha kwa Watanzania wenzangu
Hatua ya Sheikh Ponda ni hatua ya kizalendo sana, Si hatua ya Udini hata kidogo, Maana kama Ponda angekuwa mdini maana yake angemuunga mkono Hashim Rungwe au Lipumba ambao ni waislamu wenzie. Ponda kamuunga mkono Lissu ambaye yeye Lissu na Magufuli ni wa Imani moja na dhehebu moja ila tofauti yao kuu ni kuwa Lissu ni mtu wa Haki wakati Mgombea wa CCM si mtu wa haki hata kidogo (Ana double standard na ndimi mbili). Tuungane kumuweka Lissu madarakani ili atuondolee dhulma ya kutisha katika nchi!
Sheikh Ponda hajawahi kufanikiwa kwenye mission yake ya kuleta ugaidi Tanzania na hatafanikiwa!
 
Naamini Lissu ndio anamtumia Ponda kama chombo cha kumfikisha ktk malengo yake kisha akifika atashuka na kuachana na chombo(Ponda). siamini hata kidogo kama Lisu anakubaliana na waraka wa sheki Ponda maaana haijawahi kuzungumza hata mara moja kama ni kweli au la na athari zake.
 
Umeuliza Mh Lissu kafanya nini ? Sasa afanye kama nani? Kumbuka alikuwa mbunge tu je kipi hajafanya ? Naamini uko timamu na unajua kazi ya mbunge na pia unapata taarifa za jiwe kuwa hapeleki maendele kwenye jimbo walikochagua upinzani wakati huko huo anasema maendeleo hayana chama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hivi wewe unasoma mwenyewe au kuna mtu anakusomea humu ndio anakwambia ambavyo sijavieleza humu? Hakuna nilipouliza Lissu kafanya nini,nimeuliza Lissu kasema nini(kampeni) kuhusu Mahakama ya kadhi?
 
Waislamu wapo 80%
Kumbuka wanazaana sana.

Na wote wanamuamini sana sheikh ponda.

Yani mwaka huu lazima tuingie kitaaa.

Takbiiiiiiri.
Yani unapozungumzia waislamu ni kana kwamba waislamu wa Tz wote ni siasa kali wakati wengine hata huyo Sheikh Ponda hawamjui vizuri wala anashughulika na nini zaidi ya kusikia tu leo kasema hivi mara kesho kakamatwa. Na unapozungumzia hiyo 80% humo wapo waislamu wengine ni ccm,wengine ndio type za Akina Diamond na Ali kiba sasa sijui hawa huyo Ponda kama wanamuelewa.
 
Mimi Sina uhakika kama kuna waislamu wengine jela bila hatia
Ila mimi ninauhakika kuna viongozi wetu sio tu wamuamsho Bali kuna mashekh wengi tu wapo jela kwa makosa ya ugaidi kuanzia arusha mpaka mtwara
Sasa wewe kama unaona wema ni kumpigia kura magufuli fanya hivyo ila waislamu wengi tunasikia uchungu kwa nini tunyanyasike katika nchi yetu?
Huwezi kujua kwa sababu huna time nao sio muhimu hata kujua ndio maana hujui,wewe kwako muhimu ni hao masheikh tu ndio maana unajua uwepo wao huko jela na unataka kumpigia kura Lissu ili tu akawatoe masheikh.

Halafu et unaona uchungu kunyanyasika,hao masheikh wa uamsho wamekamatwa kipindi cha Kikwete(muislamu) na Sheikh Ponda alimpigia kampeni huyo Kikwete kwa waislamu 2010.
 
Huwezi kujua kwa sababu huna time nao sio muhimu hata kujua ndio maana hujui,wewe kwako muhimu ni hao masheikh tu ndio maana unajua uwepo wao huko jela na unataka kumpigia kura Lissu ili tu akawatoe masheikh.

Halafu et unaona uchungu kunyanyasika,hao masheikh wa uamsho wamekamatwa kipindi cha Kikwete(muislamu) na Sheikh Ponda alimpigia kampeni huyo Kikwete kwa waislamu 2010.
Sio kwamba Sina time nao..... mimi siwezi kusapoti mtu yeyote anaefanyiwa dhulma hata awe wa dini gani

Sasa wewe mwenzetu unaejua kuna waislamu na wasio waislamu wapo jela bila makosa inachukua hatua gani kuiadhibu serikali dhalim??,,,,,,,,

KUHUSU masheikh waliopo jela sio tu wauansho kuna viongozi wetu Chungu nzima wapo jela wamekamatwa kuanzia 2016 huyu kafiri akiwa tayari ni Rais

Na wale wa uamsho walikamatwa zanzibari mwaka 2014 kabla kafiri hajawa rais ila wakaletwa Tanganyika ili waadhibiwe

Kilio cha waislamu wa haki ni tofauti na waislamu wanafiki Hilo lipo wazi hata Qur'aan inafundisha hivyo
Kama walikamatwa kabla kafiri hajakuja madarakani Sasa Ndio waendelee kuteswa?

Of course wewe haikuumi wala haikushughulishi na unamshangaa mtu akijisikia majonzi kwa viongozi wetu wakiteswa Sana na makafiri
Na mimi nakushangaa wewe kushabikia dhulma
 
Kwenu Masheikh na wahadhiri wetu
Nawasalimien Assalam Aleikum.

Jana mmefanya press conference, mmezungumza na kutoa kauli yenu kuhusu hatua ya Sheikh Ponda kusimama na kuwataka Waislamu na wananchi wamchague mheshimiwa Lissu katika uchaguzi huu.

Mmepinga vikali kauli yake kuwa Waislamu wamekubaliana kumchagua Ndugu Lissu katika uchaguzi huu, naomba niwakumbushe yafuatayo.

1. Je, mnafahamu kuwa kuna waraka wa shura ya maimamu unaoelezea mtu gani anafaa kuchaguliwa?
Kabla hamjamuita Sheikh Ponda muongo kwamba eti waislamu hawana makubaliano juu ya mtu gani wa kumchagua, ningependa muurejee waraka wa majuzi wa shura ya maimamu, umetoa orodha ya Sifa nyingi sana za mtu anayefaa kuchaguliwa sifa mojawapo awe mtu anayependa HAKI.

Sasa nyie Masheikh wetu hebu tuambieni, kama kwenye waraka wa Shura maimamu wamekemea suala la kutokuwepo kwa haki nchini katika utawala huu wa rais Magufuli, hapo Shura ya Maimamu ina maana gani inaposema waislamu wachague mtu wa HAKI?, Kiufupi shura inaelezea kuhusu kubadili utawala kwenye uchaguzi huu na hicho ndicho Sheikh Ponda anachokifanya sasa hivi, Yaani kujaribu kusimamia azimio la Shura la kuondoa utawala wa dhulma na kuleta nchini utawala wa HAKI. Waislamu tunasimama na wapenda haki wote nchini bila kujali dini zao.

2. Wahadhiri na Masheikh wetu mmeonyesha double standard
Kwenye hiyo press conference mliyofanya hapo jana, mlikuwa chumba kimoja na Masheikh wanaoipigia kampeni CCM waziwazi, mlikuwa na Alhadi (huyu siyo sheikh anyway ni mjanjamjanja tu aliyesoma dini), Pia alikuwepo Sheikh Majini, wote hawa wameipigia kampeni CCM waziwazi, Tena huyo Alhadi amefanya kufuru kubwa kwa kuomba kwa jina la asiye ALLAH, na mnafahamu Qur'an imefundisha nini kuhusu wale wafanyao shirki wana hukumu gani mbele ya ALLAH.

Kwenye hiyo press conference nilitegemea Ustaadh Mazinge umpe kwanza huyo Alhadi vifungu vya Bible na Qur'an kuonyesha kuwa amekosea kwa sababu wewe ni mtaalamu wa elimu ya Comparative religions (yaani malinganisho ya dini mbalimbali kwa kutumia vitabu vyao) na tunakupenda na kukuheshimu sana kwa kazi uliyoifanya kwa Takriban zaidi ya miaka 25 sasa. Tulitegemea umuambie Alhadi auombe radhi umma wa Waislamu kwa kuidunisha dini yetu, wakati inapaswa iwe juu na kusiwepo kuchanganya haki na batili hata kidog katika dini. Sasa utamnyoosheaje Kidole Ponda wakati pembeni yenu wamekaa wakosaji wa wazi?

3. Waislamu tunaumizwa sana na Masheikh wetu walioko jela kiuonevu
Leo hii sisi ni wakiwa, Masheikh wetu wako jela, wako jela Dar, Arusha, Mtwara, wako Jela kila mahali. Sisi waumini tunaumia, nyoyo zetu zimepigwa ganzi, tumejishika tama, tunahuzunika sana. Ni nani atakayetufundisha neno la ALLAH, ni nani atakayetupa faraja ya mtume wetu, ni nani atakayetufundisha mema tupate faida za duniani na mbinguni kama siyo Masheikh wetu walio jela?. Wamewekwa ndani na serikali ya CCM, wananyakuliwa mmoja mmoja kama mwewe anyakuavyo kifaranga na kuswekwa ndani. Sasa kweli nyie wahadhiri Mnamnyooshea kidole Ponda mtu anayetaka aingie madarakani mtu wa HAKI ili awatoe jela Masheikh wetu?.
Uislamu umefundisha, ukiona Jambo baya liondoe kwa mkono wako, ukishindwa kemea, na ukishindwa hata kukemea basi chukia, ila hiyo option ya mwisho ni udhaifu wa Imani. Hebu nyie wahadhiri wetu mnaomnyooshea kidole Sheikh Ponda leo, Mmekemea lini mbele ya hadhara ya Watanzania suala la Masheikh wetu kukaa ndani bila haki?

4. Sheikh Ponda yuko sahihi, hatua yake ni kwa maslahi ya umma wa kiislamu
Katika nchi hii vyama vya siasa, chaguzi na haki za kikatiba ni vitu halali na vya kisheria. Ni mfumo wa kubadili uongozi ili kila mtu au kundi fulani la jamii kuweka utawala ambao wanahisi watanufaika au kupata ahueni, fursa na manufaa fulanifulani. Napenda kuwafahamisha wahadhiri wetu kuwa kumekuwepo kilio katika jumuia za kiislamu kuhusu Udini wa wazi katika awamu hii, Shura ya maimamu ilitoa waraka wenye kuonyesha kisayansi kabisa teuzi zilizofanywa na awamu hii zinavyonuka udini. Teuzi zimelalia upande wa imani moja mpaka aibu almost kwa uwiano wa 80:20.

Haya kwanza kabisa aliyakemea Sheikh Khalifa na baadae Shura ya maimamu ikatoa waraka mzito, wa kishujaa na wa kukumbukwa juu ya jambo hili. Sasa kwa ubaguzi huu wa dhahiri kabisa usio na aibu nyie wahadhiri wetu mnaanza kumpiga mishale mtu ambaye anatumia taratibu halali zilizoko nchini ili kusimika utawala utakaotenda haki kwa wote?

Hatua anayoichukua leo Sheikh Ponda ni hatua kama ambazo Masheikh wetu walichukua kumsaidia Nyerere ili kumtoa mkoloni ili kusimika utawala mpya utakaoheshimu maslahi yao na haki yao. Sheikh Ponda hana tofauti na masheikh akina Tambaza, Ramia, Chaurembo na wengineo waliosimama bega kwa bega na Nyerere kung'oa utawala dhalimu na kuleta utawala wa haki.

5. Masheikh na wahadhiri wetu tunaomba mtuache, tarehe 28 tuna jambo letu
Dhulma huondolewa kwa mkono na kauli. Kauli yetu ni HAKI, UHURU na MAENDELEO YA WATU na mkono wetu ni Kura zetu. Tunawaomba wahadhiri wetu mtuache, hii ni nafasi adimu na adhimu ya kuondoa Dhulma na Uonevu katika nchi. Huyu Tundu Lissu anayetetea haki zetu Si Muislamu lakini ni Mtu wa Haki, huyu hana tofauti na Annajaashi (King Negus of the ancient Ethiopia), alikuwa ni Mfalme Mkiristo lakini mpenda Haki na muadilifu, huyu ndiye aliyeunusuru Uislamu na Waislamu kwa kuwapa hifadhi katika himaya yake wanafunzi wa mtume waliokimbia mateso na manyanyaso ya wapagani wa Makka. Tundu Lissu ni mkiristo mpenda haki, huyu ndiye anayetufaa na siyo yule ambaye hatupi nafasi za kutosha kwenye serikali yake halafu anatuhadaa kutujengea misikiti, lini sisi tumewahi kuwa na shida ya kujengewa msikiti na mtawala?. Sisi Shida yetu ni HAKI, UHURU na MAENDELEO YA WATU!

Mwisho kabisa nitoe nasaha kwa Watanzania wenzangu
Hatua ya Sheikh Ponda ni hatua ya kizalendo sana, Si hatua ya Udini hata kidogo, Maana kama Ponda angekuwa mdini maana yake angemuunga mkono Hashim Rungwe au Lipumba ambao ni waislamu wenzie. Ponda kamuunga mkono Lissu ambaye yeye Lissu na Magufuli ni wa Imani moja na dhehebu moja ila tofauti yao kuu ni kuwa Lissu ni mtu wa Haki wakati Mgombea wa CCM si mtu wa haki hata kidogo (Ana double standard na ndimi mbili). Tuungane kumuweka Lissu madarakani ili atuondolee dhulma ya kutisha katika nchi!
Andiko lenye mantiki kubwa sana hiki,asante sana
 
Waislamu wapo 80%
Kumbuka wanazaana sana.

Na wote wanamuamini sana sheikh ponda.

Yani mwaka huu lazima tuingie kitaaa.

Takbiiiiiiri.
Huo ndo ukweli kama unakejeli endelea tu CCM tumesha wazoea ila mwisho wenu ni tarahe 28 octomber
 
Yani unapozungumzia waislamu ni kana kwamba waislamu wa Tz wote ni siasa kali wakati wengine hata huyo Sheikh Ponda hawamjui vizuri wala anashughulika na nini zaidi ya kusikia tu leo kasema hivi mara kesho kakamatwa. Na unapozungumzia hiyo 80% humo wapo waislamu wengine ni ccm,wengine ndio type za Akina Diamond na Ali kiba sasa sijui hawa huyo Ponda kama wanamuelewa.
Kama hujui she Ponda jua uiislamu wako unamshaka sana, utakua Muislamu kwa bahati mbaya
 
Udini upo Tanzania. Angalia uteuzi wa JPM amejaza Wakristo tu. Ila usilete hoja ya Majaliwa na Samia kwa kuwa hakuwa na options
Katiba ya JMT imetamka wapi kuwa hii nchi ina dini?
 
Sio kwamba Sina time nao..... mimi siwezi kusapoti mtu yeyote anaefanyiwa dhulma hata awe wa dini gani
Sasa wewe mwenzetu unaejua kuna waislamu na wasio waislamu wapo jela bila makosa inachukua hatua gani kuiadhibu serikali dhalim??,,,,,,,,
KUHUSU masheikh waliopo jela sio tu wauansho kuna viongozi wetu Chungu nzima wapo jela wamekamatwa kuanzia 2016 huyu kafiri akiwa tayari ni Rais
Na wale wa uamsho walikamatwa zanzibari mwaka 2014 kabla kafiri hajawa rais ila wakaletwa Tanganyika ili waadhibiwe
Kilio cha waislamu wa haki ni tofauti na waislamu wanafiki Hilo lipo wazi hata Qur'aan inafundisha hivyo
Kama walikamatwa kabla kafiri hajakuja madarakani Sasa Ndio waendelee kuteswa?
Of course wewe haikuumi wala haikushughulishi na unamshangaa mtu akijisikia majonzi kwa viongozi wetu wakiteswa Sana na makafiri
Na mimi nakushangaa wewe kushabikia dhulma
Sasa Magufuli unamwita Kafiri na inaonesha kuwa unaona hatendi haki kwa sababu ni kafiri ila hapohapo unataka kumpigia kura Lissu ambaye nae pia ni kafiri,una matatizo gani Sheikh? Ndiyo maana nimekumbusha kuwa wazee wetu walishirikiana na Nyerere ambaye nae alikuwa Kafiri ila sasa imebaki majuto tu kwa kushirikiana na Kafiri na wewe unaona haki itapatikana kwa kutoka kwa kafiri.

Halafu labda nikwambie kuwa mie huwa sipigi kura hivyo sikumbigia kura Kikwete ambaye nyie mlipigia kwa kuhamasishwa na huyo Ponda na matokeo yake masheikh wa uamsho na waislamu wengine wengi wakakamatwa katika utawala wa huyohuyo Kikwete,na sasa tena huyhuyo Sheikh Ponda sasa hivi anataka mumchague Kafiri kabisa et ndio ili kupata HAKI.
 
Back
Top Bottom