Huko Ardhi kwa ujumla kunahitajika overhaul. Kupata hati ni mtihani mgumu sana.....inachukua miaka! Binafsi, nimengaika kupata hati ya kiwanja Dodoma toka 2018 na malipo yote nililipa.....hatuwezi kuendelea kama nchi kwa aina ya watu tulionao kwenye wizara hiyo ya Ardhi.
Kama sekta za Ardhi na Majengo zikiongozwa vema, tunaweza kupata kodi karibu robo au zaidi ya bajeti yetu.