Hili la Wabongo kusuasua kwa maamuzi linakaa vipi

Hili la Wabongo kusuasua kwa maamuzi linakaa vipi

Sasa mnangoja nini?Si hii ni ile tz ambayo hata maamuzi yao wenyewe, yaani yale ya ndani kwa ndani nchini tz wanafanya kwa mwendo wa konokono?Maswala ya kimataifa wataweza kweli?Hao kwa fikra zao wanadhani maamuzi kama hayo ni yale walioyazoea,yaani yale ya mama ntilie na 'stock' kwenye kibanda chake!
 
Sasa mnangoja nini?Si hii ni ile tz ambayo hata maamuzi yao wenyewe, yani ile ndani kwa ndani nchini wanafanya kwa mwendo wa konokono?Maswala ya kimataifa wataweza kweli?Hao kwa fikra zao wanadhani maamuzi kama hayo ni yale walioyazoea yale ya mama ntilie na 'stock' ya kibanda chake?


Ndiyo tumeshaamua kwamba hatutaki EPA, hivyo Kenya, Uganda &Co. wanaweza kuendelea na kusaini EPA lkn TanZania yetu ni NOPE!
 
Ndiyo tumeshaamua kwamba hatutaki EPA, hivyo Kenya, Uganda &Co. wanaweza kuendelea na kusaini EPA lkn TanZania yetu ni NOPE!
Sasa unaandika kwa 'bold letters' kwani ulihusika kwenye maamuzi hayo?Si ni wazee wa karne iliyopita,sisiemu ambao wanawazingua kwa kukosa kuielewa dunia ya leo?Endeleeni na ushabik kwa wazee.Mtajiju wenyewe!Haitumii hataa,nikuwashangaa tu!Yetu macho tu jombaa!
 
Asante, japo ni kawaida yangu kujifunza lugha nyingi na kuziongea ipasavyo, kwa mfano ukinikuta kijijini wakati najadili masuala nyeti na wazee, huku tukitumia kilugha cha asili yangu cha Kikikuyu, utadhani naishi huko siku zote.

Hata Bongo nilijaribu sana kujifunza Kinyakyusa, Kihaya/Kinyambo na kadhalika.

Hilo la uraia, asante kwa ofa, lakini niliapa kamwe sitaihama nchi yangu, naipenda kwa dhati na haitotokea nibadilishe uraia. Japo napenda kutembelea maeneo mengi kwenye nchi za watu na kujifunza desturi zao kwa kina. Tanzania nimekatiza mikoa mingi sana, nina washikaji wengi sana humo.

Kuna vijiji Bongo ambavyo nikiwaibukia leo, itakua raha aisei, maana niliacha sifa nzuri huko.
Ulifukuzwa kwenu
 
Kweli inauma maana mnatuchelewesha wakati ulimwengu wa sasa unataka mambo yafanywe kwa kasi, kwa kingereza tunaita "thinking on your feet", viongozi wenye uwezo wa kuangalia issue, kuwaza na kwa muda mfupi kufanya maamuzi yenye busara. Sio kila siku mnaibuka na "tutakutana tukae"

Halafu mnakosa maamuzi ya kueleweka, maana mnachokatalia leo, mnakikubali kesho halafu mnaghairi kesho kutwa tena mnakubalia mtondogoo, hicho hicho cha mwanzo. Tunaheshimu maamuzi yenu, haswa kama yanalenga kuwanufaisha Watanzania, lakini mfanye maamuzi na kuja na msimamo mmoja ambao unaeleweka na kutiwa muhuri. Lakini hili la leo hiki, kesho kile....

Huo mnaita uzalendo na umakini wenu kwenye kufanya maamuzi nina mashaka nalo maana nchi yenu bado inaliwa, mna madini lakini bado maskini kweli.
Nani anakuchelewesha... Tanzania sio jimbo la Kenya na kama ni EAC si tayari mna COW !!!!!.......

Just move on coz you seems to know where you are heading to and its non of your concern to know if you 've left us behind
 
Uganda will regret its misguided decision in the coming years to break off the deal with Kenya and go with Tanzania.
For all these years he's been in power and dealt with the EAC, doesnt M7 already know how capricious these Tanzanians can be? Criusly?
a
Kenya has higher political risk than Tanzania thus why Uganda prefer TZ to Kenya ,plus other related cost of project
 
Mkuu, kumbuka pia kiingereza ni lugha iliyoletwa na mkoloni(mnyonyaji aliyefanya waafrica hatujiamini hadi leo), wakati wa ukoloni,

Kwaiyo kama mtu anadhani kuongea kingereza ni ujanja ama ndio kipimo cha uelewa huyo ni ******** na ni wazi mkoloni alifanikiwa kumshika kalio na anaendelea kumshika kalio hadi Leo..
Sio kalio tuuu. Hata ushoga kaukubali
 
Leo Wabongo wameghairi makubaliano baina ya EAC na EU. Inakua vigumu sana kutabiri ndugu zetu hawa, hata kama wana hoja ya msingi au la, tatizo wanakua vigeugeu hadi hawaaminiki kwa lolote. Leo wanakubali hiki, kesho wanaghairi, kesho kutwa wanakubali hicho hicho mtondogoo wanaghairi kile kile cha mwanzo.

Sasa sielewi itakua labda wanawatuma vi.laza kwenye hivi vikao wanaokwenda kushangaashangaa, au kingereza kinakua changamoto kwao. Maana makubaliano mengi sana ya EAC yanakwama kwa ajili ya hili tatizo la Wabongo kusuasua, watakuambia subiri tukakae wenyewe halafu tutakupa jibu, baadaye wanakubali, kabla hamjatulia wanaibuka na kukatalia.

Wengine tukipiga moyo konde na kuamua kufanya maamuzi, Wabongo wanalia ooh mnatutenga, ooh sasa hiyo CoW yenu haitokwenda bila Wabongo. Dah! shughuli sana.

Umeona tuna msimamo. Ha ha ha ha
Nilikwambia hata Kagame ilikuwa changa ya macho tu, kitu entertainment anapewa.
 
Kenya haikatazwi ku-negotiate EPA nje ya EAC block (EU EPA provisions allow that) kama vile Tanzania haikatazwi ku-negotiate na SADC kama tukiona tunapata raw deal! Hayo maua na chai isitufanye tukaingia mkenge kumbuka kuna immense potentials in Tanzania our govt is trying to tap from leather to agriculture to tyres manufacturing!

We can't have an equal footing with the EU n expect to survive! If Kenya believes can win the EU on open market for every goods then go ahead...
 
Kwanini Kenya haiwezi kufanya kitu Bila tz, Kwani sisi ni baba zanu? Kuna mmeona ni dili sana fanyeni wenyewe cc mtuache bn
 
Umeona tuna msimamo. Ha ha ha ha
Nilikwambia hata Kagame ilikuwa changa ya macho tu, kitu entertainment anapewa.

Hivi umeelewa ninachohoji kweli? Hebu rejelea na usome bandiko langu mara kumi halafu uje upya.
 
Iconoclastes, so far Uganda plus Rwanda have found a right partner in Tanzania! They r not regreting going south!

Kenya was offering a raw deal to both Uganda n Rwanda! Take example of a blockade on sugar, eggs n chicken from Uganda n a violation of BASA Agreement n 5th freedom right to Rwandair issued by Uganda btn Uganda n Kenya routes.
 
Sasa mnangoja nini?Si hii ni ile tz ambayo hata maamuzi yao wenyewe, yaani yale ya ndani kwa ndani nchini tz wanafanya kwa mwendo wa konokono?Maswala ya kimataifa wataweza kweli?Hao kwa fikra zao wanadhani maamuzi kama hayo ni yale walioyazoea,yaani yale ya mama ntilie na 'stock' kwenye kibanda chake!
Maisha ya bongo ni matamu balaaaa, sasa masuala cjui ya kimataifa yanatusaidia nn cc wananchi wa Kawaida? Au mnafikiri wadhungu wanawapendeni saaana sio,
 
Leo Wabongo wameghairi makubaliano baina ya EAC na EU. Inakua vigumu sana kutabiri ndugu zetu hawa, hata kama wana hoja ya msingi












au la, tatizo wanakua vigeugeu hadi hawaaminiki










kwa lolote. Leo wanakubali hiki, kesho wanaghairi, kesho kutwa wanakubali hicho hicho mtondogoo wanaghairi kile kile cha mwanzo.


Sasa sielewi itakua labda wanawatuma vi.laza kwenye hivi vikao wanaokwenda


kushangaashangaa, au kingereza kinakua changamoto kwao. Maana makubaliano mengi


sana ya EAC yanakwama kwa ajili ya hili tatizo la Wabongo kusuasua, watakuambia subiri tukakae wenyewe halafu tutakupa jibu, baadaye wanakubali, kabla hamjatulia wanaibuka na kukatalia.

You can't read between the lines wewe ni illiterate

Wengine tukipiga moyo konde na kuamua kufanya maamuzi, Wabongo wanalia ooh mnatutenga, ooh sasa hiyo CoW yenu haitokwenda bila Wabongo. Dah! shughuli sana.
 
pingli-nywee, don't confuse btn konokono n not accepting the agreements! Tanzania has refused to sign agreements since the agreements do not fit them right..
 
Bongo maisha ni matamu kama unakazi yenye kipato kizuri...unakaa sehemu yenye huduma nzuri za kijamii mf maji safi,umeme na barabara nzuri ....tofauti na hapo maisha ni magumu mno
 
Bongo maisha ni matamu kama unakazi yenye kipato kizuri...unakaa sehemu yenye huduma nzuri za kijamii mf maji safi,umeme na barabara nzuri ....tofauti na hapo maisha ni magumu mno
Ndugu wakenya huko kwao ni choka mbaya sana we acha tu bongo kutamu sana ukiwa mjanja ulali njaa
 
Kweli inauma maana mnatuchelewesha wakati ulimwengu wa sasa unataka mambo yafanywe kwa kasi, kwa kingereza tunaita "thinking on your feet", viongozi wenye uwezo wa kuangalia issue, kuwaza na kwa muda mfupi kufanya maamuzi yenye busara. Sio kila siku mnaibuka na "tutakutana tukae"

Halafu mnakosa maamuzi ya kueleweka, maana mnachokatalia leo, mnakikubali kesho halafu mnaghairi kesho kutwa tena mnakubalia mtondogoo, hicho hicho cha mwanzo. Tunaheshimu maamuzi yenu, haswa kama yanalenga kuwanufaisha Watanzania, lakini mfanye maamuzi na kuja na msimamo mmoja ambao unaeleweka na kutiwa muhuri. Lakini hili la leo hiki, kesho kile....

Huo mnaita uzalendo na umakini wenu kwenye kufanya maamuzi nina mashaka nalo maana nchi yenu bado inaliwa, mna madini lakini bado maskini kweli.
Bomba lenyu ni mfano wa Kukurupuka. Poleni Nchi ya masikini na wakurupukaji eti "thinking on your feet "?
 
Hivi umeelewa ninachohoji kweli? Hebu rejelea na usome bandiko langu mara kumi halafu uje upya.

Nimekuelewa vizuri, sema nimekujibu ile topic ile kule kwa kutumia hii ktk kigezo hiki.
Turudi kwa topic.
Una negotiate ukiona negotians zako hazi make through unajitoa. Kama UK walivyonegotiate wakashindwa wameamua kujitoa. Hiyo haina maana kuwa huna msimamo, hiyo ndo ina maana unawezo wa ku stand kwa miguu yako.

On top if any, inawezekana je uwe na free market bila free movement ya watu? just curious to know. Wao wanakuja kupatia VIZA airport kwa kujaza tu jina na tarehe ya kuzaliwa kwenye ka form uchwara. Wewe omba sasa VIZA ha ha ha, samaki na ndizi zako zote zitaoza kabla hata yakupata VIZA.
Free market inaendana na free movement ya watu, unaenda kutafuta soko kwanza na wadau. Wao wangeanza kwanza kwa ku scrap VIZA watu wa roam EU bila viza, Just to say the least. Pili swala la standard la bidhaa liangaliwe upya, bidhaa zetu very hardly zita pass std yao wana visababu vingi mno vya kuzuia bidhaa zetu zisingie sokoni kwao.

Mwisho, tume negotiate tumeshindana, tumekataa ku sign mkataba wao, sasa hiyo ni weakness ama ni sehemu ambayo tuko strong? Nafikiri tungekuwa weak kama tungesaini harafu baadae tukaaanza kulalamika na kutaka kujitoa kama UK.

Kama chief Magungo alivyosaini mikata ya kilaghai akaja kulazimisha akina Mkwawa kupigana hadi kufa kwa kulalamikia hizo treaty. Hiyo ndo weakness, mkuu.
 
Back
Top Bottom