Sweta LA Tanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 897
- 2,835
Nakazia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vinakera kweli. Vinaondoa ule usoft. Unajua ukishika mkono wa mwanamke hata gizani inabidi ujue ni wa mwanamke kwa ule usoft wake. Sasa hivi vinyweleo vinaondoa ule usoft kabisa.Sasa kumbe wewe umenielewa. Ningekuwa naweza ningepost picha yake hapa tukiwa swimming last week na vinyweleo vyake mikononi na juu ya kitovu. Sipendi
aise ule wa kwako safari yako ya kutoka mkoa na kuja jijini dzm...au ngoja nisearchNikutag kwenye uzi gani mkuu? Uzi unaohusu nini?
Tatizo la wahenga wenzangu wanawaza maisha yao yale ya miaka ya 90 kurudi nyuma,siku hizi mambo yamebadirika,enzi zetu kuona mwanaume kafuga Rasta ilikuwa uchuro,kila mtu atashangaa,siku hizi watoto wetu wa kiume wanafuga Rasta,wanakuwa na kazi nzuri tu madokta,wafanyabiashara,wahandisi,waanaheshimika kwenye jamii,na wanakuwa family people sana tu,Sasa bomu gani linatengenezwa hapo mkuu? Mbona mnapenda kuyafanya maisha yawe magumu sana aise?
Watu wanataka k iwe na ngozi kama ya mtotoNa kutokufanya hivyobwala sio ushamba, hao wafanyaji ndio mapunguwani. Haiwezekani ukaweke sehemu hako ya siri akunyoe, tena umlipe nasikia ni 70 elfu? Utasemaje huyi mzima kichwani.
Be free,so you are warmly welcomeNaomba nikufanyie hypothesis, testing and verification mkuu
Huduma unafanyiwa na mwanaume au mwanamke?Kwanini asijue Mkuu? anajua na anapenda nifanye na huwa anatoa pesa nikafanye hiyo huduma
Mwanamke anafanyiwa na mwanaume [emoji29]Huduma unafanyiwa na mwanaume au mwanamke?
inafanywa na mwanamke Mkuu.Huduma unafanyiwa na mwanaume au mwanamke?
Kwann walikuwa wanawatesa hvyo wakat dawa ya kuyazuia anayo huyo mpevukaji mwenyewe?Zamani kuna makabila kama wazaramo, wamama walikua wanatumia majivu yenye moto kumnyoa mwanamke aliepevuka ili ma**zi yasiote.
dawa ipi?Kwann walikuwa wanawatesa hvyo wakat dawa ya kuyazuia anayo huyo mpevukaji mwenyewe?
Zamani kuna makabila kama wazaramo, wamama walikua wanatumia majivu yenye moto kumnyoa mwanamke aliepevuka ili ma**zi yasiote.
Vitu vingne ni ngumu kuvisema mbele ya jamhuri. Na inatokea mara moja tu kwaiyo wengi hum imeisha wapitadawa ipi?
Hii Mimi pia nafanya Ni nzuri japo Ina maumivu nayoMimi nafanya local ya nta ya sukari. Hiyo nyingine inakuwa kama ni gundi hivi unaipaka unaweka kitambaa juu unabandua. Inang'oa nywele from the root inaanza kuota upya tofauti na uki shave na wembe au shaving creams hizi nywele haioti upya inaendelea pale ulipoikatia na inakuwa kali inatoboa toboa.
Ila ukifanya wax nywele haichomozi kabisa hadi wiki nne hadi 6 na inakuwa laini.
let's meet please to yeyeBe free,so you are warmly welcome
Una ushahidi ?Saluni zipo wanyoaji wapo tena wanaongezeka kila kuchwao
Kumbe mdauIla wax ya kwenye papuchi na kwapa inauma jamani. Bora ya bikini line au vinyweleo.