Hili la wanawake kwenda salon za kunyolewa nywele za sehemu za siri (Waxing) limekaaje?

Hili la wanawake kwenda salon za kunyolewa nywele za sehemu za siri (Waxing) limekaaje?

Sijui ni ushamba wangu au ni nini ila mimi binafsi nawaza mtu mzima mwenye miaka ya kutosha ati kila nywele zikikuota unaenda kuchanua makwapa na kipochimanyoya saloon; ati unyolewe na mtu mzima mwenzio, mwanamke au mwanaume kwa malipo!

Tena unayolewa kwa kusuguliwa haswaaaa. Hili jambo linachukuliwa kikawaida ila linanistaajabisha na lina ukakasi sana maana huku ndiko tunakoenda kuzalisha mambo mengine ya kishetwani ambayo tutakuja kuyajutia

Najua haya ni mapenzi ya watu na pia ni kazi za watu lakini athari zake ni zipi kijamii? Tulianza na kusuguliwa miguu, tukaenda kwenye massages za kawaida, tukaingia kwenye full body massage sasa tunanyoana kwa kusuguana haswaaa wenyewe tumeipa jina la kizungu waxing.

Sijui kama wana vibali hawa watoa huduma, sijui kama wanatakiwa kuwa na vigezo gani ili waweze kufanya hizi kazi, sijui kama serikali imepima faida na hasara ya hizi biashara na inanufaika vipi nazo.

Kusema ukweli tunatengeneza bomu.

c.c GENTAMYCINE

Screenshot_2022-02-22-15-47-49-54.jpg
 
Ndio ni palaini. Si unajua sukari inavyolainisha? +vile vinywele vinakuwa vimeondoka vyote kama ya mtoto
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Halafu cjui kwanini kuna ka-image fulani hivi kashajengeka akilini na kanaji-rewind rewind eti akili iki-assume ndivyo palivyo 😀 !

Ila we Hannah mwongo, dah!

Bila kapicha, sikuamini wala nini!
 
Inachukua muda gani mpka kufanya tena waxing!? Yaan ukifanya waxn leo, n itakaa kipind gan mpk kufanya waxn nyngne.

Sjui nmeeleweka hili swal meuliza [emoji6]
Mimi nilikuwa nikifanya nafanya tena baada ya 6 weeks ambayo ni mwezi na nusu. Ila sasa hivi naenda hadi miezi miwili na zaidi. Hapa inategemea na speed yako ya kukuwa kwa nywele. My friend yeye sasa hivi anafanya mara tatu tu kwa mwaka.

Unajua kwanini? Ukifanya waxing unang'oa nywele kabisa na kadri unavyorudia rudia unakuwa unadhoofisha root ya zile nywele hivo zitaanza kuota pole pole na wakati mwingine zinaacha kuota kabisa. (Hususani zile zinazoota maeneo yasiotakiwa).
 
Mimi nilikuwa nikifanya nafanya tena baada ya 6 weeks ambayo ni mwezi na nusu. Ila sasa hivi naenda hadi miezi miwili na zaidi. Hapa inategemea na speed yako ya kukuwa kwa nywele. My friend yeye sasa hivi anafanya mara tatu tu kwa mwaka.

Unajua kwanini? Ukifanya waxing unang'oa nywele kabisa na kadri unavyorudia rudia unakuwa unadhoofisha root ya zile nywele hivo zitaanza kuota pole pole na wakati mwingine zinaacha kuota kabisa. (Hususani zile zinazoota maeneo yasiotakiwa).
Lete kapicha tuone mfano wake.
 
Mimi nilikuwa nikifanya nafanya tena baada ya 6 weeks ambayo ni mwezi na nusu. Ila sasa hivi naenda hadi miezi miwili na zaidi. Hapa inategemea na speed yako ya kukuwa kwa nywele. My friend yeye sasa hivi anafanya mara tatu tu kwa mwaka.

Unajua kwanini? Ukifanya waxing unang'oa nywele kabisa na kadri unavyorudia rudia unakuwa unadhoofisha root ya zile nywele hivo zitaanza kuota pole pole na wakati mwingine zinaacha kuota kabisa. (Hususani zile zinazoota maeneo yasiotakiwa).

Nmevutiwa saana na hii huduma, usaf pia n urembo.

Nashukuru kwa ushrkiano.😊
 
Sasa bomu gani linatengenezwa hapo mkuu? Mbona mnapenda kuyafanya maisha yawe magumu sana aise?
[emoji16][emoji16] binafsi pia sikuona shida yoyote aisee. Maana ni huduma kama huduma nyingine na hiari sio lazima
 
Back
Top Bottom