Hili la wanawake kwenda salon za kunyolewa nywele za sehemu za siri (Waxing) limekaaje?

Hili la wanawake kwenda salon za kunyolewa nywele za sehemu za siri (Waxing) limekaaje?

Mimi nafanya local ya nta ya sukari. Hiyo nyingine inakuwa kama ni gundi hivi unaipaka unaweka kitambaa juu unabandua. Inang'oa nywele from the root inaanza kuota upya tofauti na uki shave na wembe au shaving creams hizi nywele haioti upya inaendelea pale ulipoikatia na inakuwa kali inatoboa toboa.
Ila ukifanya wax nywele haichomozi kabisa hadi wiki nne hadi 6 na inakuwa laini.
Yaani najaribu kupiga picha jinsi kwapa lako lilivyo... yaani laiiiiini!

Sema mi nae niache unafiki na urongo... eti kwapa dah! Hilo la kwamba eti kwapa mi nimesingizia tu kwa kweli klakini akili yangu ipo kwingine kabisa... aaaargh!!
 
We acha masihara, kidume lazima mnara uende hewani, we wakati unaanda vifaa ukashika mjegejo kwa mkono laini unadhani dunguso halitoenda dede, na sisi kusimamisha mnara si shida wala nini, naweza kile kitendo cha kukuona tu, labda ugonjwa wangu lipsi [emoji182] nawe ndio unazo nipendazo mimi, basi akili ikihama kidogo tu, dudukila lazima liinuke, hapo bado hujashika shika wakati unabandika ile ishu. [emoji23]
Sawa itasimama lakini kazi ikiaanza lazimailale[emoji23]
 
Mimi nafanya local ya nta ya sukari. Hiyo nyingine inakuwa kama ni gundi hivi unaipaka unaweka kitambaa juu unabandua. Inang'oa nywele from the root inaanza kuota upya tofauti na uki shave na wembe au shaving creams hizi nywele haioti upya inaendelea pale ulipoikatia na inakuwa kali inatoboa toboa.
Ila ukifanya wax nywele haichomozi kabisa hadi wiki nne hadi 6 na inakuwa laini.
Waxing - Lesson 101😜
 
Yaani najaribu kupiga picha jinsi kwapa lako lilivyo... yaani laiiiiini!

Sema mi nae niache unafiki na urongo... eti kwapa dah! Hilo la kwamba eti kwapa mi nimesingizia tu kwa kweli klakini akili yangu ipo kwingine kabisa... aaaargh!!
Ikili ipo wapi eti?
Ila huo uongo wako ni wa kweli.
 
Sijui ni ushamba wangu au ni nini ila mimi binafsi nawaza mtu mzima mwenye miaka ya kutosha ati kila nywele zikikuota unaenda kuchanua makwapa na kipochimanyoya saloon; ati unyolewe na mtu mzima mwenzio, mwanamke au mwanaume kwa malipo!
Inawezekana hawana wenzi wa kuwanyoa
 
Brazil kuna wanaume wanapeleka wake zao kwenye majumba ambayo kuna wanaume wamaojua kugegeda na kulizisha na mumewe anakuwa anamsubir mkewe kwenye sebule ya receiption akiwa anasoma gazeti

Dunia inaenda kasi sana

Dar kuna hela za bure kwel,elfu 70 mtu anaitoa kwa huduma ndogo kama hii.

Ndo maana hata madogo wenye vigodoro na mapovu wanaosafisha magari wanapiga mpaka elfu 30 kwa siku hii pesa ambayo mwalimu wa shule za serikali hawez ifikisha
 
Sawa itasimama lakini kazi ikiaanza lazimailale[emoji23]
Haiwezi kufanyika kazi nyingine, itabidi kwanza tusolve hili tatizo lililojitokeza ghafla.

Unataka kwenda nanjilinji, unapakia nguo unaona begi limechanika, utabeba nguo kwenye buti begi ukashonee nanjilinji, hapana, unashona begi kwanza kisha safari inaendelea. [emoji23]
 
Haiwezi kufanyika kazi nyingine, itabidi kwanza tusolve hili tatizo lililojitokeza ghafla.

Unataka kwenda nanjilinji, unapakia nguo unaona begi limechanika, utabeba nguo kwenye buti begi ukashonee nanjilinji, hapana, unashona begi kwanza kisha safari inaendelea. [emoji23]

Tena nje ya utaratibu na nje ya mipango
HATARI sana
 
Back
Top Bottom